Thursday, October 30, 2014

BUNGE LA BURKINA FASO LACHOMWA MOTO.


Waandamanaji hao wakishangilia baada ya kuchoma bunge.

Magari nayo yameteketezwa kwa moto.

WAANDAMANAJI nchini Burkina Faso leo wamechoma moto bunge la nchi hiyo kupinga kupitishwa kwa katiba itakayomruhusu rais wa nchi hiyo, Blaise Compaore kuongeza muda wa kukaa madarakani.

Rais Compaore anataka kuongeza muda zaidi katika utawala wake wa miaka 27 aliyotumia kuliongoza taifa hilo.

Taarifa kutoka Mji Kuu ya nchi hiyo, Ouagadougou, zinasema kuwa ukumbi wa chama tawala na makao makuu ya chama hicho cha Congress for Democracy and Progress yamechomwa moto pia.

Bunge hilo lilitaka kubadili katiba itakayomuwezesha Compaore, aliyeingia madarakani tangu mwaka 1987 ili aweze kuiongoza tena nchi hiyo mwakani.

Kumekuwepo kampeni za wapinzani wanaomtaka rais huyo kuachia ngazi na kutogombea katika uchaguzi wa mwaka ujao.

Kabla ya kuchomwa moto bunge hilo, polisi walilipua mabomu ya machozi kuwazuia waandamanaji waliokuwa wakielekea katika jengo la bunge hilo japo takribani watu 1,500 walifanikiwa kupenya na kulichoma bunge hilo.

Waandamanaji walionekana wakichoma nyaraka na kupora baadhi ya vifaa vya kompyuta huku magari yaliyokuwa nje ya jengo hilo nayo yakichomwa moto.

JOKATE ATAFUTA MWANAMME RASMI WA KUMZALISHA MTOTO..!!!


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

PIGO BONGO MUVI: MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA.

Mzee Manento enzi za uhai wake.
MSANII wa filamu za Kibongo, Mzee Manento amefariki dunia jana jioni akiwa jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Mzee Manento alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya moyo na mpaka mauti yanamfika alikuwa amelazwa katika Hospitali ya TMJ iliyopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Mzee Manento atakumbukwa katika filamu alizocheza kama 'Hero of the Church', 'Dar to Lagos', 'Fake Pastor' na nyinginezo. Ndugu, jamaa na marafiki kwa sasa wamekutana nyumbani kwa marehemu huko Kigogo, Dar kujadiliana kuhusu taratibu za mazishi.
Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahali pema peponi. AMEEN!

RAIS WA ZAMBIA MICHAEL SATA AMEFARIKI DUNIA.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

KOFI ANNAN: EBOLA NI UGONJWA WA WATU MASKINI NA SIO MATAJIRI.

Mwana Diplomasia kutoka Ghana ambaye pia ni Katibu Mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa (UN) Kofi Annan amesema ugonjwa wa Ebola ni wa ‘maskini’ na sio matajiri.Annan amesema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na kituo cha CNN ambapo amezungumzia sababu kadhaa zinazopelekea mapambano ya dhidi ya Ebola kuchukua muda mrefu huku maelfu ya watu wakipoteza maisha.

Katibu Mkuu huyo mstaafu amesema Ebola ni ugonjwa wa maskini kwa kuwa tangu ugundulike ni takribani miaka 40 imepita, ambapo kwa nchi tajiri ingewezekana kufanyika tafiti ambazo zingesaidia kupata ufumbuzi wa tiba ya ugonjwa huo, kitu ambacho nchi maskini za Afrika hazina uwezo wa kuwekeza kwenye tafiti hizo.

Match report; Cornella 1-4 Real Madrid: Varane at the double in easy victory.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

RAIS WA ZAMBIA MICHAEL SATA AMEFARIKI DUNIA.

Sata, 77, had been in office since September, 2011 [AP]
Zambian President Michael Sata has died in London, where he had been receiving treatment for an undisclosed illness, three private Zambian media outlets said. The reports on the private Muzi television station, and the Zambia Reports and Zambian Watchdog websites, said the southern African nation's cabinet was about to meet. Government officials gave no immediate comment.
The reports said Sata had died on Tuesday evening at London's King Edward VII hospital. The hospital declined to comment.

Sata, 77, left Zambia for medical treatment on October 19 accompanied by his wife and family members, according to a brief government statement that gave no further details.

There has been no official update on his condition and acting president Edgar Lungu had to lead celebrations last week to mark the landlocked nation's 50th anniversary of independence from Britain.
Concern over Sata's health has been mounting in the country since June, when he disappeared from the public eye without explanation and was then reported to be getting medical treatment in Israel.
He missed a scheduled speech at the UN General Assembly in September amid reports that he had fallen ill in his New York hotel.
A few days before that, he had attended the opening of parliament in Lusaka, joking: "I am not dead." Sata has not been seen in public since he returned to Zambia from New York in late September.
Sata, who once worked as a railway porter in London, had been the country's president since September, 2011 after winning a tight presidential race against the then incumbent, Rupiah Banda.

Match report; Cornella 1-4 Real Madrid: Varane at the double in easy victory.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

CHEKI VIDEO LIVE YA MPAMBANO WA MCHAWI NA MTUMISHI; Du KAZI KWELI KWELI

VIDEO HIYO HAPO CHINI

JOKATE ATAFUTA MWANAMME RASMI WA KUMZALISHA MTOTO..!!!


Match report; Cornella 1-4 Real Madrid: Varane at the double in easy victory.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

AIBU ILIYOJE KWA WAKWEWE! MUME WA MTU ANASWA NDANI YA DANGURO.


NI aibu iliyoje! Mwanaume mmoja ambaye anadaiwa kuwa ni mume wa mtu, amekutwa ndani ya danguro moja lililopo Sinza ya Mapambano jijini Dar ikiwa ni mazingira ya kutatanisha.

Njemba huyo akisihi kuachiwa baada ya sakata hilo.

Ishu hiyo ilijiri usiku wa manane wa Ijumaa kuelekea Jumamosi ya wiki iliyopita. Awali, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilipokea taarifa kutoka kwa vyanzo vyake kuwa ndani ya danguro hilo, ameingia mwanaume huyo aliyeonekana kuwa na heshima zake na kwa vile inaeleweka vitu vinavyoendelea, vyanzo vilikuwa na wasiwasi naye!Bila kupoteza muda, kikosi kazi cha OFM kilifuatilia eneo hilo na kufanikiwa kuingia ndani ya danguro hilo ambako walimkuta jamaa huyo akiwa anazungumza na wasichana watatu ingawa haikueleweka mara moja walikuwa wakizungumzia nini.

Mmoja wa changudoa hao akikurupushwa kutoka kwenye danguro hilo.

Baada ya kuwaona makamanda wa OFM, waliacha mazungumzo yao na kuwatumbulia, lakini walipoanza kupigwa picha, ukaibuka mzozo mpya baina ya watu hao wakisaidiwa na walinzi wanaolinda danguro hilo, dhidi ya waandishi.

OFM ambao walikuwa wameandamana na walinzi shirikishi ili kudhibiti usalama, walisimama kidete kutekeleza majukumu yao huku mwanaume huyo akitoa vitisho, kwamba atawaua kwa bastola waandishi, endapo hawataacha kupiga picha. Wakati akitoa vitisho hivyo alikuwa akielekea kwenye gari lake ambako alichukua kitu kinachofanana na chuma, kilichowafanya walinzi shirikishi kutimua mbio kuhofia kuuawa.

Machangudoa hao wakitiwa nguvuni.

Wakiwa wamebaki peke yao, waandishi wetu walianza kupigwa na wasichana, mwanaume huyo na walinzi waliokuwa na fimbo, mawe na silaha nyingine za jadi. Baadaye mapaparazi wetu walifanikiwa kupiga simu kwa kamanda mkuu wa OFM ambaye naye aliwasiliana na polisi waliofika eneo hilo dakika chache mbele.

Pamoja na ujio wa polisi hao, mwanaume huyo ambaye wakati huo alikuwa ameshawasababishia majeraha waandishi wetu, aliendelea kuwa mbishi, hadi baadaye alipokubali kuingia kwenye gari lake na askari kuelekea Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’ kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Njemba huyo akiwa chini ya ulinzi.

Akiwa njiani, mwanaume huyo aliliendesha gari kwa kasi na kutaka kuligongesha kwenye mti hali iliyomfanya askari aliyekaa mbele upande wa abiria  na bunduki kuruka ili kunusuru maisha yake.

Askari mwingine aliyebaki ndani ya gari na waandishi alifanikiwa kumtuliza mtu huyo ambaye baadaye alipigwa pingu na askari kuendesha gari hadi kituoni. Ili kujua nini kiliendelea, fuatilia kesho kwenye Gazeti la Ijumaa maana jamaa huyo alilala kituoni hapo tangu Ijumaa usiku hadi Jumatatu iliyopita kutokana na hali ya mwandishi mmoja kuwa mbaya. 

JOKATE ATAFUTA MWANAMME RASMI WA KUMZALISHA MTOTO..!!!


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

ROSE NDAUKA: SIOLEWI TENA BORA NITAFUTE HELA ZANGU KULIKO KUTEGEMEA ZA WANAUME.

Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka.
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amesema kuwa kwa sasa yupo bize na malezi ya mwanaye hivyo hana mpango wa kuwa na mwanaume yeyote hata awe pedeshee mwenye uwezo wa fedha kiasi gani kwani mwenyewe anajitosheleza.

Akipiga stori na paparazi wetu alisema, kipindi hiki hafagilii kabisa mambo ya mabwana na wala hahitaji mapedeshee kwa kuwa yeye mwenyewe ana uwezo wa kujitosheleza kifedha. “Mimi sina bwana kwa sasa na wala sihitaji hao mapedeshee, watanisaidia nini wakati nafanya kazi zangu zinazoweza kuniingizia fedha, nina akili timamu, nina miguu na nina macho sasa kwa nini nitegemee pesa ya mtu?” alihoji Rose.

MLEGEZO WAMPONZA CHID BENZ ATAITIWA MAHAKAMANI, POLISI WATOKA NAYE MKUKU.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

MLEGEZO WAMPONZA CHID BENZ ATAITIWA MAHAKAMANI, POLISI WATOKA NAYE MKUKU.


Mwana Hip hop huyo, ‘Chid Benz’ akivaa kwa adabu zaidi.

KIBANO! Kuonesha wapo ‘serious’ na mavazi, polisi walimtaiti staa wa Bongo Fleva, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ na kumtaka akavae vizuri kisha arejee mahakamani. Tukio hilo lilitokea juzi, Jumanne katika Makahama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar, wakati staa huyo alipokuwa amefikishwa kusomewa mashtaka yake ya kukutwa na madawa ya kulevya.

Staa wa Bongo Fleva, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ akiwa chini ya ulinzi mkali ndani ya Makahama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar.

Akiwa katika viunga hivyo vya mahakama, Chid Benz alionekana akiwa ametinga jinzi ambayo ililegezwa mkanda na alipoingia ndani ya chumba cha mahakama, mlegezo uliongezeka zaidi hadi kufikia chini ya makalio kitendo ambacho polisi walishindwa kukivumilia. Kuonesha kwamba hawakufurahishwa na kitendo hicho, maafande waliokuwa wakimsindikiza Chid mahakamani hapo, walimtaiti kwa kumshika kiunoni na kumtoa nje kwenda kumpandisha suruali hiyo kisha kumrudisha akiwa amevaa vizuri.

Akiwa mahakamani hapo mbele ya Hakimu Waliarwande Lema na mwendesha mashtaka, PP Mwanaamina Komba, Chid alisomewa mashtaka matatu alyokutwa nayo Oktoba 24, mwaka huu katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar. Mashtaka hayo ni; kukutwa na madawa ya kulevya aina ya heroin gramu 0.25 yenye thamani ya Sh. 38,638, bangi gramu 1.72 ambayo thamani yake ni Sh. 1,720 na vifaa vya kuvutia (kifuu cha nazi na kijiko).

Chid aliyakana mashtaka yote matatu hakimu akaahirisha kesi hiyo hadi Novemba 11, mwaka huu na kuweka dhamana wazi ya faini ya shilingi  milioni moja na wadhamini wawili lakini mshtakiwa hakukidhi masharti ya dhamana, akaomba kukamilisha masharti hayo kesho yake (Jumatano) hivyo akarudishwa mahabusu Segerea.

Match report; Cornella 1-4 Real Madrid: Varane at the double in easy victory.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Match report; Cornella 1-4 Real Madrid: Varane at the double in easy victory.


Real Madrid opened their Copa del Rey defence with an ultimately comfortable 4-1 win over third-tier side Cornella on Wednesday.

In the first leg of the sides' fourth-round clash, a much-changed Real side were somewhat laboured in securing victory at Espanyol's Estadi Cornella-El Prat home, but did enough to secure a 10th consecutive triumph in all competitions.

Real made hard work of the first half, but were ahead at the break thanks to two Raphael Varane headers, which sandwiched a stunning equaliser from Cornella's lone striker Oscar Munoz.

The Liga giants' greater quality shone through after the interval as Javier Hernandez quickly established a two-goal cushion.

Real's fourth of the game, and 50th of the season, was scored by Marcelo and ensured a routine win for coach Carlo Ancelotti, who rested a host of key players including Cristiano Ronaldo, Toni Kroos and Luka Modric.

Cornella's part-timers will have a chance to impress at the Santiago Bernabeu in the tie's second leg - slated for mid-December.

The Liga side quickly hit the front as Varane rose unchallenged to firmly nod home James Rodriguez's inswinging corner.

Though camped firmly in their own half, Cornella found a response as a long heave out of defence was flicked infield and Alex Gallar prodded into the path of Munoz, who held off Alvaro Arbeloa's challenge and lashed past Keylor Navas.

Real were struggling to create opportunities as Cornella captain David Garcia - a dentist by trade - kept his midfield colleagues well drilled, Isco and Rodriguez routinely drifting in from the flanks only to find their path blocked.

Yet the visitors retook the lead with 10 minutes to go in the opening half, Varane again scoring from a corner - this time delivered by Isco - as Cornella goalkeeper Jose Segovia failed to get a fist on the ball.

Hernandez settled any remaining nerves five minutes into the second half, drifting across the 18-yard line before clipping a low angled shot beyond Segovia's reach and into the corner.

Second-half substitute Marcelo saw a cheeky backheeled effort saved, but the Brazilian claimed a goal with 20 minutes to go after following in Isco's parried shot to score from a narrow angle.

Ancelotti responded by withdrawing stand-in captain Karim Benzema and Isco - Raul de Tomas handed a debut in place of the former, while midfielder Alvaro Medran came on for his second outing at first-team level.

The youngsters appeared eager to impress, though they could not force Segovia into action, and the more senior members of the squad will return looking to keep Real's form up when they head to Granada in La Liga on Saturday.

WOLPER AMWANGUKIA MKONGO!.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Wednesday, October 29, 2014

WOLPER AMWANGUKIA MKONGO!.


BAADA ya hivi karibuni kumchana laivu Mkurugenzi wa Mwami Foundation, raia wa Kongo, Mwami Rajabu, staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe anadaiwa kumwangukia jamaa huyo na kumuomba msamaha.

Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe.

Kikizungumza na Risasi Mchanganyiko, chanzo makini kilidai kwamba baada ya gazeti ndugu na hili kuripoti habari ya Wolper kumchana Mkongo huyo huku akidai hana hadhi ya kuwa naye, wiki iliyopita alionekana kwenye Hoteli ya Double Tree iliyopo Masaki jijini Dar ambako ndipo alipofikia mwanaume huyo.

Kiliendelea kueleza kwamba mwanadada huyo alifika hotelini hapo kwa ajili ya kumuomba msamaha Mkongo na alikuwa akifanya jitihada kubwa ili asamehewe kwa kumtumia mwanamuziki wa FM Academia, raia wa Kongo, Patcho Mwamba amuombee msamaha.

“Nimemuona Wolper akiwa na huyo Mkongo kwenye hoteli hiyo aliyofikia ambapo kilichompeleka ni kuomba msamaha kutokana na maneno aliyozungumza kwenye gazeti,” kilisema chanzo hicho.

Mwanamuziki wa FM Academia,raia wa Kongo, Patcho Mwamba.

Baada ya kupata habari hizo kutoka kwa chanzo, kwanza alitafutwa Patcho Mwamba aliyedaiwa kusumbuliwa na Wolper akimtaka amuombee msamaha kwa Mkongo huyo ambaye ndiye aliyemuunganisha naye ambapo alikuwa na haya ya kusema:

“Siyo kweli kwamba Wolper anaomba msamaha mpaka sasa, kwani ameshasamehewa na wako vizuri kabisa kwani siku ile gazeti lilipotoka tu usiku wake tulikutana na Mkongo wakayamaliza.”

Kwa upande wa Mkongo alipoulizwa kuhusiana na habari hiyo alisema ni kweli Wolper alikuwa hotelini hapo akiomba msamaha huku akisema kwamba hakuwahi kuzungumza maneno kama hayo yaliyoandikwa gazetini hivyo aliamua kumsamehe.

Mkurugenzi wa Mwami Foundation, raia wa Kongo, Mwami Rajabu.

“Nilimsamehe na sasa sisi ni marafiki wa kawaida tu siyo kimapenzi kwa sababu mimi nina mke na watoto sita na ninamuogopa sana mke wangu halafu hapa Tanzania sijaja kutafuta wanawake bali nimekuja kwa ajili ya biashara lakini nawashangaa hawa wasanii wa kike kunipakazia kwamba mimi nina uhusiano nao.

“Ipo siku nitafunguka mengi na watakoma kumendea waume wa watu,” alisema Mkongo.
Kujibu tuhuma hizo, Wolper alisema: “Watu wanasema sana lakini hakuna anayejua mimi na Mwami tukoje, kama ni bosi wangu au ni bwana wangu. Labda kama mtu aliniona nasalimiana naye akadhani nilikuwa naomba msamaha. Hakuna kitu kama hicho.”

RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA YAKE RASMI YA SIKU MBILI VIETNAM‏.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Northumberland, Uingereza John Cummings amesimamishwa kwa kipindi cha miezi 4kosa la kumwambia mwamuzi wa kike kuwa sehemu anayopaswa kuwapo mwanamke ni jikoni na sio katika uwanja wa mpira wa miguu.

Makamu wa Rais wa shirikisho la mpira wa miguu kaunti ya Northumberland, Uingereza John Cummings amesimamishwa kwa kipindi cha miezi 4 kwa kosa la kumwambia mwamuzi wa kike kuwa sehemu anayopaswa kuwapo mwanamke ni jikoni na sio katika uwanja wa mpira wa miguu.

Cummings amemtolea kauli hiyo mwamuzi Lucy May, kwamba hawezi kuhimili kazi ya kuwa mwamuzi, na kuongeza kuwa katika maisha yake yote hakuwahi kuona mwanamke akichezesha mpira wa miguu.

Tume huru ya uratibu wa shirikisho la mpira wa miguu imesema kuwa Cumming amekiuka kanuni za mpira wa miguu za shirikisho hilo kwa kutumia lugha ya kukashifu na ubaguzi wa kijinsia.

Makamu huyo wa rais amekiri kuwa hakuwa anamaanisha kwenye kile alichokizungumza bali ilikuwa ni utani ambao huenda May hajauchukulia hivyo, japo chama hicho kimesema nafasi ipo wazi kwa refarii huyo kukata rufaa juu ya hukumu hiyo.

Hukumu aliyopewa refa huyo inaambata na adhabu ya faini ya paundi 250 na pia adhabu ya kuhudhuria mafunzo.

Mkurugenzi wa chama cha soka Northumberland, Clive Oliver amekemea kitendo hicho na kusema mpira wa miguu unajumuisha watu wote na hakuna ubaguzi wowote unaopaswa kuvumiliwa.

RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA YAKE RASMI YA SIKU MBILI VIETNAM‏.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Tuesday, October 28, 2014

RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA YAKE RASMI YA SIKU MBILI VIETNAM‏.

 President Dr Jakaya Mrisho Kikwete lies a wreath at the Mausoleum of the First President Ho Chi Minh in Hanoi on  his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014

President Dr Jakaya Mrisho Kikwete shown some historical items as he visits the Garment 10 Corporation textile mill at Nguyen Van Linh Street in Sai Dong Ward, Gia Lam District, Hanoi on  his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014
 
President Dr Jakaya Mrisho Kikwete visits the Hung Fen Food Stuff Corporation at Trung Son in Hanoi on his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014

President Dr Jakaya Mrisho Kikwete visits the Garment 10 Corporation textile mill at Nguyen Van Linh Street in Sai Dong Ward, Gia Lam District, Hanoi on his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014

President Dr Jakaya Mrisho Kikwete in a souvenir photo with workers of  the Garment 10 Corporation textile mill he visited at Nguyen Van Linh Street in Sai Dong Ward, Gia Lam District, Hanoi on his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014

KAMANDA NZOWA ATUMIWA PAKA 3 OFISINI KWAKE; PAKA HAO WAMZONGA YEYE TU! NA KUWAACHA WATU WENGINE.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHIN

habari kamili :: read more...

TANZANIA YAKATAA RASMI NDOA ZA JINSIA MOJA KWENYE AGENDA ZA MAENDELEO YA MILENIA‏

  Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Wanawake, Anna Collins akitoa hotuba yake wakati akifungua warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.iliofanyika Makao Makuu ya Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Oktoba 27, 2014 jijini Dar es Salaam.


Mkurugenzi wa Programu kutoka Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Dkt Tausi Kida akitoa mada juu ya umuhimu wa kutafuta rasilimali za kutosha katika kufikia malengo ya milenia hasa kwa nchini zinazoendelea.

Mkurugenzi wa Idara Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akizungumza kwenye warsha ya siku moja kuhusu Malengo ya Milenia kwa washiriki mbalimbali na kwa kiasi ngani Tanzania imeweza kufikia malengo hayo.

Mhadhiri wa kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dkt Osward Mashindano akifafanua umuhimu wa kuwashirikisha wananchi wa ngazi ya chini kuhusu maswala ya malengo ya milenia ili yaweze kufikiwa kwa urahisi zaidi.

Mdau akichangia mada yake.

Wadau wakifurahia jambo wakati ya warsha hiyo.


Wadau mbalimbali walioudhuria wakifuatilia mada mbalimbali.



SERIKALI ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya milenia 2015 mpaka 2030 katika mkutano wa Umoja wa Mataifa.

Akizungumza jijini Dar es Salaam kwenye mkutano wa majadiliano ya malengo ya milenia yanayotazamiwa kumalizika mwakani na kuanza malengo mapya, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy amesema serikali ya Tanzania imekataa kutambua ushoga kama moja ya agenda za maendeleo.

“tunatambua haki za binadamu, usawa wa kijinsia kati ya wanaume na wanawake na hata katiba yetu pendekezwa imetoa haki za sawa kati ya wanaume na wanawake lakini katika swala la kutambua ndoa za jinsia moja hilo tumekataa,” amesema Balozi Mushy

Amesema kwamba tumewaambia nchi zilizoendelea na wahisani wa maendeleo katika Umoja wa Mataifa kwamba swala la ndoa za jinsia moja (ushoga) si agenda ya watanzania na si agenda ya maendeleo.
“Watanzania na Afrika kwa ujumla inataka malengo ya millennia na haki za binadamu zizifike mahali kuwadharirisha watu kutoka bara hili kwa kuruhusu mambo yanayokwenda kinyume na historia yao, mila na desturi za mwafrika,”aliongeza.

Kwa upande wake, Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dkt Osward Mashindano amesema kwamba malengo ya milenia kwa kiasi kikubwa yamefikiwa na Tanzania hasa katika upande wa elimu na kupunguza vifo vya wakinamama na watoto wakati wa kujifungua.

“leo tumekutana hapa kuzungumza ni kwa kiasi ngani nchi yetu ya Tanzania imefikia malengo ya milenia na changamoto ni zipi katika malengo mapya ambayo ni 17 badala ya 8 ya awali,” aliongeza

Dkt Mashindano alifafanua kwamba ni lazima sasa serikali kutazama katika Nyanja za ubora katika huduma hizi muhimu kwa jamii baada ya kufikia lengo la kuandikisha watoto wenye umri wa kwenda shule kwa asilimia 85.
Aliongeza kwamba Tanzania na dunia kwa ujumla wameona ni muhimu kuweka agenda ya ubora katika kila agenda za malengo ya milenia kwa nchi zote ambao ni wanachama wa Umoja wa Mataifa.

Dkt Tausi Kida, Mkurugenzi wa Programu wa Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii, amesema kwamba malengo haya ya milenia ni lazima yaguse maisha ya watu katika ngazi ya chini ili matokeo chanya yaweze kuonekana kwenye jamii

Amesema kwamba ni lazima nchi zilizoendelea ziweke mkazo katika kuhakikisha kwamba nchini zinazoendelea zinajengewa uwezo wa kutafuta fedha za kutimiza malengo ya milenia.

KAMANDA NZOWA ATUMIWA PAKA 3 OFISINI KWAKE; PAKA HAO WAMZONGA YEYE TU! NA KUWAACHA WATU WENGINE.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHIN

habari kamili :: read more...

KAMANDA NZOWA ATUMIWA PAKA 3 OFISINI KWAKE; PAKA HAO WAMZONGA YEYE TU! NA KUWAACHA WATU WENGINE.

MAAJABU! Paka watatu wenye macho mekundu walimshangaza Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa pale alipowakuta katika mlango wa ofisi yake na kumng’ang’ania miguuni.

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa akiwa ofisini kwake.

Sakata hilo lilitokea wiki iliyopita wakati Kamanda Nzowa akitoka ofisini na mgeni wake aliwakuta paka hao mlangoni.Kufuatia hali hiyo, wageni na baadhi ya askari anaofanya nao kazi walionekana kushangazwa na tukio hilo huku wakijiuliza kwa nini paka hao wamzingire kamanda huyo na kuwaacha watu wengine?

Hata hivyo, baadhi ya wageni waliokwepo walihisi kuwa huenda paka hao walitumwa kishirikina na watu anaopambana nao kwa kuwakamata kutokana na kupatikana na madawa ya kulevya kwani ameweza kwa kiasi kikubwa kudhibiti biashara hiyo haramu hapa nchini.

Akizungumza na Uwazi, askari mmoja alisema Kamanda Nzowa amekuwa akipata vitisho na majaribu ya kila aina ikiwemo rushwa lakini kwa kuwa ni mcha Mungu mzuri anashinda.

Hadi wageni hao wanaondoka paka hao bado walikuwa wamemng’ang’ania kamanda huyo.
 Hata hivyo, kamanda huyo alirudi nyuma na kufunga mlango na kuwaacha paka hao wakiwa wamesimama nje ya mlango wa ofisi yake.

Mwandishi wetu alipomuuliza Nzowa kutokana na hali hiyo alisema ni mambo ya kawaida kwake na kinachomsaidia ni Mungu kwani kila mara amekuwa akisali.

BINTI ATEKWA NA WACHUNA NGOZI NA KUNUSURIKA


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHIN

habari kamili :: read more...

BINTI ATEKWA NA WACHUNA NGOZI NA KUNUSURIKA


MBONA majanga! Mrembo aliyejitambulisha kwa jina la Latifa Abdallah (19), mkazi wa Kinondoni –Mkwajuni, Dar amesimulia alivyotekwa na watu aliodai ni wachuna ngozi wakiwa na mwanamke aliyevalia kininja ndani ya gari jeusi.

Binti anayetambulika kwa jina la Latifa Abdallah (wa pili kushoto) akiwa na ndugu zake.

Akizungumza na Uwazi jijini Dar, juzi, Latifa alidai Oktoba 19, mwaka huu akiwa anatoka kumsindikiza dada yake aliyekuwa akienda Kibaha, Pwani ghafla msichana aliyevalia kininja akajigonga kwenye mwamvuli alioushika na kumwambia alimgonga kwa makusudi.

“Nilimwomba msamaha na kumwambia ni bahati mbaya lakini alinikamata na kuniingiza ndani ya gari jeusi lililopaki kando ya barabara ambapo kuna mtu alifungua mlango yule mwanamke akanisukumia ndani,” alisema Latifa.

Akizidi kusimulia, binti huyo alisema kuwa, ndani ya gari hilo alimkuta msichana mmoja kama yeye na mtoto kama wa miaka miwili wakiwa wamefungwa vitambaa vyeusi machoni na yeye akafungwa kama wenzake.

“Tulikwenda kushushwa kwenye nyumba moja sijui ni wapi, tukaingizwa katika  chumba kidogo na kufunguliwa vitambaa. Ndipo nilipogundua kuwa, watekaji wote walivaa kininja. Mmoja alikuwa mwanaume, mwingine ndiyo yule aliyenisukumia ndani ya gari pale kwenye Kituo cha Daladala cha Vijana Kinondoni (Dar).

Fomu ya PF3 ya Latifa Abdalla aliyopewa kituo cha Polisi Oysterbay.

“Yule mwanaume alisema lazima tufanye  naye mapenzi la sivyo atatufanya kama watakavyomfanyia yule mtoto. Wakamchukua yule mtoto na kumchoma sindano, alilia sana kisha akanyamza ghafla huku ngozi yake ikiumuka kama puto. Yule mwanaume alitoa kisu na kuanza kumchuna ngozi yule mtoto akianzia shingoni.

“Nikiwa katika hali ya kutetemeka kwa woga, yule mwanamke alisema tujiandae na kifo kama cha yule mtoto. Nilimwomba Mungu sana atuepushie kifo hicho.

“Siku ya Jumanne asubuhi wale watu walikuja kutuangalia kidogo na kuondoka. Baadaye jioni walirudi na kutupa maji ambayo hatukuelewa ndani yake yalikuwa na nini, walitunywesha na kutuambia kesho yake wangeturudisha makwetu, wakachukua namba za simu za ndugu zetu, sikuamini nikawatajia namba ya mwalimu wangu wa cherehani ambaye waliniambia akipokea nimwambie kuwa mimi ni mzima nitafika nyumbani kesho kutokea Kawe  jambo ambalo nililifanya.

“Kuanzia hapo yule mwanamke akawa anachati naye. Wakati huo yule mwenzangu kwao ni Mbezi naye aliwataarifu ndugu zake na tukawa tunasubiri kesho ifike. Kweli, kesho yake wakatuchukua, mimi nikashushwa pale Kituo cha Daladala Kinondoni–Studio (Dar), wakanipa shilingi 1,000 wakasema nipande bodaboda nirudi nyumbani,” alisema Latifa.

Mwalimu wa cherehani wa Latifa, Celestine ‘Baba Mkanji’ alisema tangu Latifa atoweke nyumbani amekuwa akipigiwa simu na kutumiwa meseji zinazoonesha Latifa alikuwa kwenye hali ya hatari jambo lililomshtua na kuwashirikisha ndugu zake nao wakaripoti Kituo cha Polisi cha Mzambarauni, baadaye Kituo cha Polisi cha Oysterbay jijini Dar.

Baada ya kurudishwa nyumbani, Latifa alipelekwa Oysterbay Polisi kwa ajili ya kupata PF3 na baadaye kwenda Hospitali ya Mwananyamala kwa ajili ya vipimo zaidi.
Naye mama mzazi wa Latifa, Habiba Saidi (56) alisema  amesikitishwa na kitendo alichofanyiwa mwanaye na kuomba watu wa haki za binadamu na wanasheria wamsaidie ili waliomfanyia mambo hayo mwanaye wakamatwe.

MWONE BOB JUNIOR LIVE NA ‘MCHEPUKO’.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHIN

habari kamili :: read more...

Monday, October 27, 2014

MWONE BOB JUNIOR LIVE NA ‘MCHEPUKO’.

Mchepuko? Baada ya kuachana na mkewe, Halima Ally, staa wa Nyota ya Chipsi Mayai na Prodyuza wa Sharobaro Records, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’ amenaswa live na mrembo anayejulikana kwa jina la Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ ambaye ni msanii wa filamu, wakiwa katika mahaba nipoteze kama ndege ya Malaysia.

Staa wa Nyota ya Chipsi Mayai , ‘Bob Junior’ akiangusha busu shavuni mwa mrembo anayejulikana kwa jina la Sabrina Omary ‘Sabby Angel’

Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Sabby ambaye ndiye aliyevujisha picha za tukio hilo, Sabby na Bob Junior kwa sasa wako katika mahaba mazito na ni watu wanaopendana kwa sababu kila unapomuona Sabby yupo karibu na mwanamuziki huyo.

Bebi huyo, ‘Sabby Angel’ akimkubatia 'Bob Junior' kimahaba.

“Sasa hivi Sabby na Raheem ndiyo habari ya mjini kwani kila sehemu wapo pamoja na wanapendana sana,” alidai rafiki huyo wa Sabby.Chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kwamba wawili hao wanaweza kuvalishana pete ya uchumba muda wowote kuanzia sasa.
Baada ya kunyetishiwa ubuyu huo, Ijumaa Wikienda lilimtafuta Bob Junior ambaye hakupatikana lakini alipotafutwa Sabby ili kusikia kauli yake kuhusu uhusiano wake na Bob Junior alikiri na kusema kuwa ni mtu ambaye anampenda na ndiye anamfanya awe na furaha.

Unaambiwa its Full Time Manchester United 1-1 Chelsea.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHIN

habari kamili :: read more...

Sunday, October 26, 2014

Unaambiwa its Full Time Manchester United 1-1 Chelsea.


Didier Drogba powered home a trademark header early in the second half but Branislav Ivanovic's red card gifted RVP the chance to level in injury time in a dramatic finale
 Even in a rebuilding season, Manchester United retain the ability to make an afternoon at Old Trafford a tortuous experience. Chelsea return to London with their unbeaten record intact but a bitter taste in their mouths after Robin van Persie snatched a point for the hosts in a finale reminiscent of the Sir Alex Ferguson era.

Louis van Gaal reverted to the classic Fergie playbook, seeking to embroil the Premier League leaders in a battle and assail them down the flanks. Marouane Fellaini produced the best performance of his short and troubled United career to stifle Cesc Fabregas, yet Chelsea still looked like winners when Didier Drogba stole in at the near post to head home the Spaniard's pinpoint corner.

United, however, appear to have recovered the spirit they lost under David Moyes, pressuring Branislav Ivanovic into a rash challenge that led to a second booking and a free-kick that yielded Van Persie's chaotic equaliser.

Much was made before this match about the friendship between Van Gaal and Jose Mourinho, and the truth is that when the dust settles, neither will be too unhappy. United have the biggest result of their brave new dawn, while Chelsea are unbeaten and done with Manchester for the season.

VIKOSI VILIKUWA
Chelsea (4-2-3-1): Courtois; Ivanovic, Cahill, Terry, Filipe; Matic, Fabregas; Willian, Oscar, Hazard; Drogba.
Chelsea subs: Cech, Zouma, Ake, Mikel, Baker, Salah, Schurrle.

Manchester United (4-2-3-1): De Gea; Rafael, Smalling, Rojo, Shaw; Blind, Fellaini; Januzaj, Mata, Di Maria; Van Persie.
Manchester United subs: Lindegaard, Blackett, Fletcher, Carrick, Herrera, Pereira, Wilson.

ETI HUU NI UKURASA WA MISS TANZANIA SITTI MTEMVU UNAVYOSOMEKA KWA SASA.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHIN

habari kamili :: read more...

ETI HUU NI UKURASA WA MISS TANZANIA SITTI MTEMVU UNAVYOSOMEKA KWA SASA.

KAZI KWELI KWELI.

Mbunge Shy-rose Bhanji azua timbwili ndani ya ndege.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Mbunge Shy-rose Bhanji azua timbwili ndani ya ndege.

Mbunge kijana anayewakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shyrose Bhanji, anadaiwa kuwa chanzo cha kuvunjika kwa vikao vya bunge hilo vilivyokuwa vikifanyika Kigali nchini Rwanda.

Gazeti la New Times la Rwanda limeandika kuwa Bi Shyrose aliporomosha matusi mazito na maneno ya kashfa dhidi ya wabunge wenzake na viongozi wa mataifa kadhaa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Hilo ndilo linalodaiwa kusababisha kuvunjika kwa vikao ambapo wabunge wenzio walimtaka Spika wa EALA, Bi Margret Nantongo Zziwa, amchukulie hatua Shyrose lakini hawakufanikiwa.

Kando na hilo kumekuwa na ujumbe unaosambazwa katika Whatsapp ukidai kwamba mbunge huyo alianzisha ugomvi ndani ya ndege wakati yeye na wabunge wenzake wakisafiri kwenda Ubelgiji hivi karibuni kwa shughuli za kikazi. Inaelezwa alikuwa kaambatana na wabunge wengine kutoka Tanzania, Adam Kimbisa na Angela Kizigha.

Hata hivyo Taarifa News haikufanikiwa kumpata Shyrose kujieleza kuhusu tuhuma hizo nzito na ambazo kama atapatikana na hatia kupitia taratibu za EALA anaweza kufukuzwa kutoka bunge hilo.

MGOMBEA 2015 ANASWA NA DENTI DOGO DOGO KABISA AKIMNANILII GESTI; PICHA LIVE ZA TUKIO HIZI HAPA.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

JOKATE ATAFUTA MWANAMME RASMI WA KUMZALISHA MTOTO..!!!


Jokate Mwegelo amesema kuwa anatamani sana kuoleWa na kuzaa watoto hasa kwa umri wake wa miaka 27 alionao sasa.
Akizungumza na gazeti moja Jokate alisema kuwa hata hivyo hawezi kukimbilia kila mwanaume sababu anataka mume mchapakazi,
anayejiheshimu sana na mwenye kujua majukumu ya kifamilia

PICHA MBALIMBALI ZA HALI ILIVYOKUA BAADA YA NAIBU WAZIRI KURUSHIANA RISASI NA MWANAE.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Inasadikika hii ndo Barua ya Diamond ! Duh noma!

Kazi kweli kweli

PICHA MBALIMBALI ZA HALI ILIVYOKUA BAADA YA NAIBU WAZIRI KURUSHIANA RISASI NA MWANAE.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Saturday, October 25, 2014

PICHA MBALIMBALI ZA HALI ILIVYOKUA BAADA YA NAIBU WAZIRI KURUSHIANA RISASI NA MWANAE.

 Polisi wakiwasili eneo la tukio ofisi za Faraja Trust Fund zinazomilikiwa na Mh Lucy Nkya ambapo tukio hilo lilitokea leo asubuhi.

Jonas Nkya Mtoto wa kwanza wa Mh Dr Lucy

Jonas akihojiwa na waandishi wa habari kuhusiana na tukuo hilo. Muda mfupi uliopita

Mhe Dr Lucy Nkya Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki

Mhe Dr Lucy Nkya akizungumza na Waandishi wa habari muda mfupi uliopita ofisini kwake Faraja muda mfupi uliopita.

A sex offender mum who was jailed for pimping out a schoolgirl is wanted for breaching the terms of her release from prison.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...
 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top