Sunday, July 12, 2015

MATOKEO YA UCHAGUZI NI John Pombe Magufuli 87%, Balozi Amina Ali 10% na Asha-Rose Migiro 3%.

July 12 2015 Tanzania ilikuwa inasubiri kwa hamu kujua Mgombea yupi anasimamishwa na CCM kwenye nafasi ya Urais 2015, ninayo Ripoti nyingine kutoka Dodoma sasahivi!!
Kura zimepigwa na Wajumbe wa Halmashauri Kuu CCM na matokeo yako hivi
 John Pombe Magufuli 87%, Balozi Amina Ali 10% na Asha-Rose Migiro 3%.

Katika Mkutano Mkuu uliofanyika usiku wa kuamkia leo mjini Dodoma, Dk. Magufuli amechaguliwa kwa kura 2104 sawa na asilimia 87.08, akifuatiwa na Balozi Amina Salum Ali aliyepata kura 253 sawa na asilimia 10.4 na Asha-Rose Migiro aliyepata kura 59 sawa na asilimia 2.44702.


Jumla ya kura zilizopigwa kwenye Mkutano Mkuu wa CCM kumchagua Mgombea atakayepeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi Mkuu wa 2015 ni kura 2422, kura zilizoharibika ni sita, kura halali walizopigiwa wagombea ni 2416.
habari kamili :: read more...

Tuesday, July 7, 2015

Ramadhani Singano "MESSI wa Bongo" huru kusajiliwa na Timu yoyote.

HATIMAYE Shirikisho la soka Tanzania limethibitisha kuwa mchezaji Ramadhani Singano ‘Messi’ kuwa yupo huru na anaweza kusajiliwa na timu yeyote itakayo muhitaji baada ya klabu yake aliyokuwa akiichezea siku za nyuma Simba kushindwa kutekeleza baadhi ya vipengele vilivyopo kwenye mkataba.

habari kamili :: read more...

Sunday, May 17, 2015

Impossible for Liverpool to replace Gerrard, admits Rodgers.


Gerrard thanked an emotional Anfield crowd after making his final appearance in front of the Kop on Saturday, but hopes of a fairytale ending were shattered as Crystal Palace ran out 3-1 winners.

The 34-year-old is joining MLS outfit LA Galaxy this summer after a 17-year professional career on Merseyside that has yielded every major honour bar the Premier League, and Rodgers admits his captain will leave a monumental void.

"I have always said he is a player and a person who is irreplaceable with the standard he has set and what he has done here," Rodgers told reporters. "We will have to plot a way to improve in the summer, and that is our challenge.

"In my time here, we have lost a couple of players in Jamie Carragher and Steven Gerrard. Those two players in the Premier League years here have been monumental.

"Throw in a world-class player like Luis Suarez and of course it is difficult, but we will rise to the challenge.

"He got a wonderful send-off and did everything right until the very end. The support he got was absolutely brilliant and what they would expect of him. He has been a wonderful player and gave his all for the club. It was fantastic for him and his family."


habari kamili :: read more...

Thursday, February 12, 2015

MHE. WASIRA AAMUA KUMWONA NGOWI ILI AMTENGENEZEE SUTI ZAKE.



Mhe. Stephen Wasira akichukuliwa vipmo vya suti na mbunifu wa mavazi, Sheria Ngowi.

BAADA ya kuandamwa sana katika mitandao ya kijamii kuhusu kutofunga vizuri vifungo vya suti yake,
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhe. Stephen Wasira ameamua kumuona mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi ili aanze kumtengenezea suti zake.

Waziri Wasira akijaribu kurekebisha suti yake iliyokosewa kufungwa vifungo na kuzua mjadala mitandaoni.

Mhe. Wasira ameamua kukutana na mbunifu huyo aliyeanza mara moja kumchukua vipimo vyake ili amtengenezee mavazi yake ambayo atakuwa akiyatumia katika shughuli zake mbalimbali za kiserikali.

Picha za Waziri Wasira zilienea mitandaoni alipopiga picha ya pamoja akiwa na Viongozi wa Kanisa la Kisabato kwenye Uwanja wa Taifa, Dar huku koti la suti yake likiwa limekosewa kufungwa vifungo.
Baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii walirusha picha mbalimbali zikimuonesha Mhe. Wasira huku mmoja wa watangazaji akisema kuwa iwapo akikubaliwa, atajitolea kuwa wabunifu wa suti zake za mitoko ili jambo hilo lisijitokeze tena.

Mhe. Wasiara akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kanisa la Kisabato kwenye Uwanja wa Taifa, Dar huku koti la suti yake likiwa limekosewa kufungwa vifungo.

Kwa kuamua kumuona Sheria Ngowi, Mhe. Wasira atakuwa amepata mti shamba wa tatizo hilo lililotawala mitandao ya kijamii hivi karibuni.

U.S. Leads 12 Air Strikes Against Islamic State – U.S. Military.

UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Wednesday, February 11, 2015

U.S. Leads 12 Air Strikes Against Islamic State – U.S. Military.

The United States and its coalition partners has struck four units of Islamic State militants amid 11 air strikes in Iraq since early Monday, the U.S. military said in a statement while speaking with journalists, Reuters inclusive.

The strikes, near seven Iraqi cities including Tal Afar, Kirkuk and Bayji, also hit an Islamic State bunker, fighting positions, a checkpoint and other targets, said the statement released on Tuesday.

sponsored post

The U.S.-led coalition also conducted one air strike in Dayr az Zawr, Syria, hitting an Islamic State vehicle, the statement said.

EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Chibok girls have not yet released – Defence HQ.

Abuja (NAN) – The Defence Headquarters (DHQ) has said that “the story circulating in respect of the release of the Chibok girls is not true.”

The clarification is contained in a statement posted on the DHQ website on Tuesday.

According to the statement, the buses that drove into the barracks in Maiduguri purportedly carrying the girls were conveying other individuals.

The News Agency of Nigeria (NAN), however, learnt that the DHQ would soon address newsmen on some of the recent developments in the counter-insurgency campaign. Many terrorists were said to have died in the campaign, while many were captured by troops and some others willingly surrendered themselves.

EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Tanzania Yasikitishwa na Uamuzi wa Kenya wa kuzuia magari ya kitalii ya Tanzania.

Serikali imeelezea kusikitishwa na uamuzi wa Kenya wa kuzuia magari ya kitalii ya Tanzania kwenda kuchukua na kushusha watalii wanaotumia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, kwa kusema kuwa hatua hiyo haijengi wala kuendana na dhamira njema ya mkataba wa kuanzisha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Waziri wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe alisema jana kuwa,  dhamira ya kuanzishwa upya kwa jumuiya hiyo haiendani  na tukio la aina hiyo.

Hata hivyo alisema kwamba Serikali ya Tanzania itaendelea kuheshimu na kuzingatia amri iliyotolewa na Kenya ili kulinda undugu na urafiki uliopo kati ya nchi hizo huku wakitafakari hatua za kuchukua kuondoa bughudha iliyotokea kwa watalii na wasafiri wanaopitia uwanja huo.

Waziri Mwakyembe alieleza kwamba Serikali ya Tanzania itaendelea na mchakato ulioanzishwa wa kuhusisha wadau wote wanaoguswa na tatizo hilo hadi kufikia  uamuzi ambao utauwasilisha kwa Serikali ya Kenya kupitia vikao rasmi vya Jumuiya.
Hata hivyo, alisema pamoja na kwamba amri hiyo ya Serikali ya Kenya inakwenda nje ya mkataba wa 1985 kwa kuvihusisha hata viwanja vya ndege kuwa sehemu ya vivutio vya utalii, Serikali ya Tanzania itaheshimu na kuzingatia amri hiyo ili kulinda undugu na urafiki uliopo kati ya nchi hizo mbili.
Alisema pia kwamba Serikali itatafakari hatua za kuchukua ili kuondoa bughudha kubwa itakayotokea kwa watalii na wasafiri wanaokuja nchini wanaopitia uwanja huo wa Jomo Kenyatta.
Alizitaja hatua hizo kuwa ni pamoja na kuwafahamisha watalii na wageni wote wenye nia ya kutembelea vivutio vya kitalii vya Tanzania kutumia viwanja vingine vya ndege ili kuepuka kadhia na gharama zisizo za lazima.

Waziri huyo alisisitiza kuwa viwanja vya ndege hasa vile vya kimataifa vitaendelea kuwa sehemu ya milango ya kuingilia na kutokea kwenda kokote ndani ya Jumuiya au nje ya Jumuiya na havitachukuliwa kama vivutio vya utalii.

"Tanzania haitazuia magari ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki au nchi nyingine yoyote kuingia katika viwanja vyake vya ndege kuleta au kuchukua watalii wanaopitia katika viwanja hivyo na kwenda katika nchi zao," alisema.

Dk Mwakyembe ambaye ni Waziri mpya kwenye wizara hiyo alisema mkataba wa mwaka 1985 kati ya Tanzania na Kenya ulilenga kutoa mwongozo wa ushirikiano katika Sekta ya Utalii kati ya nchi hizo mbili.

Aliongeza kuwa makubaliano hayo yalielekeza maeneo muafaka kwa ajili ya kubadilishana watalii huku ikizingatiwa kuondoa bughudha kwa watalii.

Maeneo hayo ni pamoja na miji ya mipakani na miji rasmi iliyopendekezwa na kukubalika na pande zote mbili ikiwemo Nairobi ambako Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Jomo Kenyatta kipo.

EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Thursday, February 5, 2015

EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA.

EXCLUSIVE! Kile kisa cha mtalaka wa mwimba taarab mahiri Bongo, Aisha Ramadhani Nkongo ‘Isha Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’ kuteswa na kudhalilishwa nchini Afrika Kusini kisa kikidaiwa ni kudhulumu mzigo wa wafanyabiashara wenzake kimeingia awamu nyingine!
Kwa mara ya kwanza Gazeti Pendwa la Amani Tanzania limeweza kuzungumza na Tevez kwa dakika arobaini na tano kutokea nchini humo ambako anauguza majeraha.

Majeraha ya mgongoni aliyopata, Jumanne Hassan ‘Tevez’ wakati wa kuteswa.

KWANZA SIKU YA TUKIO
Kabla Tevez hajasimulia kilichompata na hali yake kwa sasa, ni muhimu kukumbuka kuwa, tukio hilo ambalo lilikuwa habari ya Jiji la Dar es Salaam, lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo picha zake zilizagaa zikimuonesha akiwa amefungwa kamba huku mwili wake ukiwa umetapakaa damu na majeraha kadhaa.

AMANI LAMSAKA
Kwa vile habari za tukio hilo ziliandikwa na baadhi ya vyombo vya habari bila kupata balansi (uwiano) na Tevez mwenyewe, Amani liliingia kazini kumsaka mhanga huyo usiku na mchana.

MSIKIE SASA
Akizungumza kwa hisia kali na gazeti hili juzi, Februari 3, mwaka huu kutoka Mji wa Durban, Afrika Kusini, Tevez alisema:
“Kusema ukweli tukio lililonikuta watu huko nyumbani (Bongo) wanalitafsiri tofauti sana. Nimesikia kwamba wanasema eti nilidhulumu mzigo wa mtu, ndiyo maana niliteswa! Si kweli.”

‘Tevez’ akiwa salama nyumbani kwake.

UKWELI NI UPI?
“Ishu iko hivi, mwenyeji wangu hapa Durban, anaitwa Ibra, ndiye ambaye alinipokea siku nilipotua hapa.
“Huyu bwana inaonekana  ni tamaa. Aliniundia njama, aliita wenzake na kuniteka kisha kunitesa sana wakidhani nina pesa nyingi.
“Niliteswa sana kwa kweli. Kama mlivyoona picha. Nilidhalilishwa sana, lakini katika yote ukweli sijadhulumu mzigo wa mtu.”

ULICHOPOTEZA KATIKA UTESWAJI
 “Katika mateso yangu, walifanikiwa kunipora Dola za Marekani elfu 14 (kama shilingi milioni 22) na Landi za Afrika Kusini elfu 3 (shilingi 480,000) zikiwemo simu zangu mbili aina ya Sumsung na Nokia ambayo nilikuwa naitumia sana kuwasiliana na watu wangu muhimu.”

HAIKUWA KAZI RAHISI
Tevez akazungumzia jinsi jamaa walivyomkamata: “Jamaa siku wananiteka usiku kiukweli nilipambana nao sana hadi wanafikia hatua ya kunizidi nguvu na kunifunga kamba. Nilikuwa nimewachapa kwelikweli ila kwa vile walikuwa wengi na walikuwa wakitumia silaha nilijikuta nikiishiwa nguvu baada ya kunipiga na kitu kizito kichwani nikapoteza fahamu, nilipojitambua ndiyo nikakuta wamenifunga kamba.”

KINACHOKUUMA NINI?
“Tukio linaloniuma zaidi ni yule jamaa ambaye anaonekana katika picha amekaa jirani na mimi, hana shati. Alinichoma pasi mgongoni, namchukia sana lakini nimemwachia Mungu.”

‘Tevez’akiwa na mwanaye.

KUHUSU KUKATWA NYETI, KUFANYIWA KITU MBAYA
Tevez: “Nasikia watu huko Tanzania wanazusha eti nimekatwa nyeti, si kweli kabisa. Mimi nimepigwa na kuchomwa pasi wala hakuna kitu kama hicho zaidi ya kunichoma na pasi.
“Nimesikia wengine wanasema nimetobolewa macho, huo ni uzushi wa watu tu! Mimi niko safi na hali yangu ya kiafya inaendelea vizuri.”

SABA WAMEKAMATWA
Tevez tena: “Nashukuru sana serikali ya huku wameweza kunisaidia kwani mpaka sasa ninapoongea na wewe Musa Mateja hawa jamaa wamekamatwa saba.
“Jana (Jumatatu) walifikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya kunishambulia na kupora fedha. Wanatarajiwa kurejea tena mahakamani baada ya siku 7, ingawa nimeambiwa kesho (jana Jumatano) wataletwa Polisi Central ya huku kwa ajili ya mimi kuwatambua zaidi.”

BONGO LINI TEVEZ?
“Bongo natarajia kurudi Alhamisi (leo) au Ijumaa (kesho) kama mambo yangu yatakuwa kwenye mstari ila pia sasa hivi natarajia kuwasiliana na balozi wetu ili nijue kama ana taarifa zangu na namna ambavyo ataweza kunisaidia kama kiongozi wangu.”

HALI YAKO KWA SASA
“Kusema ukweli naendelea vizuri ni majeraha tu ambayo hata hivyo yanakauka. Ila hili la pasi mgongoni ndiyo  linasumbua kwa mbali, lakini naamini litakaa sawasawa.”

This Woman has refused to Smile for 40 years to avoid wrinkles.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

AUNTY: WANAOSEMA NIMEJIFUNGUA NI MAPEPO.

STAA wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel amewabwatukia watu waliomzushia kuwa amejifungua na kusema kuwa anawaona kama wametumwa na mapepo wabaya.

Staa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel.

Akizungumza na Centre Spread, Aunty alisema anawashangaa wanaokurupuka na kuzungumza kitu ambacho si cha kweli kabisa na kwamba hakuna mtu ambaye alikuwepo siku aliyopata ujauzito huo.

“ Nafikiri watakuwa na mapepo wabaya hao wanaozungumza kitu ambacho si cha kweli.  Hakuna mtu ambaye anajua nilipata ujauzito lini na nitajifungua lini, waniache kabisa,” alisema Aunty.

This Woman has refused to Smile for 40 years to avoid wrinkles.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Muendesha pikipiki apigwa rirasi shingoni na kuporwa pikipiki mkoani Morogoro.

Mtu mmoja mikocheni wilayani mvomero mkoani Morogoro ameuwawa kwa kupigwa risasi shingoni na kisha kuporwa pikipiki aina Boxer ambapo jeshi la polisi linawashikilia watu watatu waliohusika na tukio hilo.

Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Leonard Paulo amesema jeshi la polisi lilifika katika eneo la tukio nakufanikiwa kuwakamata watu watatu wanasadikiwa kujihusisha na tukio hilo na linaendelea kuwahoji kisha watafikishwa mahakamani.

Aidha kamanda Paulo amesema jeshi la polisi linaendelea kumtafuta mtuhumiwa aliye kimbia ambapo katika hatua nyingine wamefanikiwa kumkamata hawara wa mtu huyo aliyejulikana kwa majina ya Husuna Isimaeli mkazi wa mkindo ambaye alikuwa akimhifadhi mtuhumiwa  na jeshi la polisi litaendelea kumshikilia kwa mahojiano ilikumpata mtuhumiwa aliye kimbia.

This Woman has refused to Smile for 40 years to avoid wrinkles.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Tuesday, February 3, 2015

This Woman has refused to Smile for 40 years to avoid wrinkles.

It's 40 years now and this woman has neither smiled nor laughed. At nights out with friends she has made a conscious effort not to laugh or smile. Even with champagne flowing and their conversation gets more raucous and peals of laughter hang over their table.

There’s always an odd one out in the happy scene. Tess, 50 sits stony-faced while her friends giggle around her. Not even a flicker of smile, let alone a laugh, escapes her lips.



She has made a conscious decision for the past 40 years not to smile or laugh even at the birth of her only daughter. For her, it’s a way to keep her admittedly, impressive youthful looks.

‘I don’t have wrinkles because I have trained myself to control my facial muscles. I haven’t laughed or smiled since I was a teenager. My dedication has paid off. I don’t have a single line on my face’ says Tess.

Celebrities such as Kim Kardasihan 34 have also admitted to not smiling or laughing because it causes wrinkles.

MBUNGE WA MBEYA MJINI APATA AJARI MILIMA KITONGA IRINGA.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Afisa Elimu Mbinga avuliwa madaraka.

BARAZA la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma limemvua madaraka afisa elimu msingi wa wilaya hiyo Daniel Mkali baada ya kufanyiwa uchunguzi kwa muda kwa tuhuma mbalimbali zilizotajwa na baadhi ya madiwani pamoja na viongozi wa idara hiyo ya elimu msingi na kuelekea kutishia kuibuka kwa mgogoro wilayani humo.
 
Akitangaza uamuzi huo wa kumvua wadhifa huo pamoja na kumshusha cheo na kutakiwa kupangiwa shule ya kufundisha mwenyekiti wa halmashauri hiyo ya Mbinga Alanus Ngahi, mbele ya madiwani pamoja na watumishi wengine wa halmashauri hiyo amesema uamuzi huo umefikiwa na kamati ya maadili iliyokutana kujadili suala hilo la kinidhamu na kiutumishi na baraza hilo kuridhia hatua zichukuliwe dhidi ya afisa elimu huyo.
 
Akizitaja tuhuma nne zilizokuwa zikimkabili afisa elimu huyo, mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mbinga Hussein Isa amesema ni pamoja na kusajili asasi isiyokuwa ya kiserikali iliyojulikana kwa jina la (UWEKAMBI) umoja wa waratibu elimu kata ya Mbinga na kuwaagiza walimu wakuu wa shule za msingi wilayani humo kuhamishia fedha zote za capitation na michango ya Umitashumta jumla ya shilingi milioni 232 ambapo katika fedha hizo shilingi milioni 60 ni michango ya Umitashumta, milioni 10 ni michango ya wazazi na shilingi milioni 61 ni fedha kwa ajili ya capitation na mitihani zilipelekwa kwenye akaunti yenye namba 61714000405 iliyopo katika benki ya NMB tawi la Mbinga.
 
Ameitaja tuhuma nyingine kuwa ni kughushi nyaraka kwa lengo la kutoa fedha kupitia ununuzi wa mafuta ya diesel lita 5500 na petrol lita 5500 na kuwaagiza walimu wakuu wachangie fedha za kupiga picha wanafunzi wa darasa la saba pamoja na fedha kwa ajili ya TSM 9 kwa maelekezo hayo ni kosa kwa sababu alikuwa akijua kuwa gharama za TSM 9 hugharamiwa na serikali kwa asilimia mia moja.
 
Amesema kati ya fedha hizo kiasi cha shilingi milioni 12.47 zilipelekwa kwenye akaunti hiyo ya UWEKAMBI na ameitaja tuhuma nyingine kuwa ni kumdanganya mwajiri kuwa hakujakusanywa fedha yoyote kutoka kwa wazazi na hakuna fedha ya capitation iliyopelekwa kwenye akaunti hiyo ya UWEKAMBI.
 
Aidha mkurugenzi mtendaji amesema baada ya maamuzi hayo yaliyotolewa na baraza la madiwani hatua nyingine zinazohusishwa na mamlaka nyingine zikiwemo za kinidhamu zitafuata ingawa kwa sasa anapaswa kuyatumikia maamuzi yaliyotolewa na baraza hilo la madiwani.

HATIMAYE JOTI WA ORIGINAL COMEDY AMVISHA PETE MCHUMBA WAAKE WA SIKU NYINGI.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

HATIMAYE JOTI WA ORIGINAL COMEDY AMVISHA PETE MCHUMBA WAAKE WA SIKU NYINGI.


 Kwa mujibu wa mtandao wa JF, Mwigizaji wa vichekesho Lucas Mhuvile, almaarufu kama Joti, anayepiga kazi kwenye kampuni ya Orijino Komedi, amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi, ikiwa ni ishara na dalili njema kwamba safari ya kuelekea kwenye taasisi muhimu zaidi duniani ya NDOA imewadia.

Akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti alionekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.
 Kama ni kweli, tunampongeza sana na kumtakia kila la kheri yeye pamoja na mwenza wake.

Masogange Drops Five New K!lling Photos….Lazima uzione.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Saturday, January 31, 2015

Masogange Drops Five New K!lling Photos….Lazima uzione.

 Masogange Drops Five New K!lling Photos….Lazima uzione.




Ronaldo akanusha ripoti za kumtukana Messi.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Sunday, January 11, 2015

DU kweli kazi ipo: Everton 1-1 Manchester City.

Steven Naismith's late equaliser ensured that Manchester City fell two points behind Chelsea in the Premier League title race after being held by Everton at Goodison Park.

Manuel Pellegrini's defending champions entered the match level with the Blues at the Premier League summit and Fernandinho's 74th-minute header appeared set to preserve that state of affairs.

Yet Joe Hart, who had earlier made a pair of fine saves from Romelu Lukaku, came needlessly from his line and allowed Naismith to convert Leighton Baines' free-kick four minutes later.

City's slick passing game clicked instantly into gear as they dominated for long periods of the first half, although wasteful finishing from Stevan Jovetic and Jesus Navas threatened to undermine them before Everton full-back Seamus Coleman clattered the crossbar from distance.

A more even second half followed and a buoyant Goodison Park crowd was delighted to see Naismith end a worrying slump for manager Roberto Martinez.

John Stones made his first Everton start since Boxing Day at centre-back with Antolin Alcaraz (suspension) and Sylvain Distin (groin) unavailable, while Aiden McGeady was preferred to Kevin Mirallas.

Captain Vincent Kompany and top scorer Sergio Aguero returned to the City bench following injury lay-offs as Yaya Toure's Africa Cup of Nations absence meant Fernando partnered Fernandinho in midfield.

David Silva posed early problems in front of the Everton defence and City's Spain playmaker threaded a pass for Jovetic to blast over in the ninth minute.

An error from Phil Jagielka gave Silva the chance to craft a clearer opening but Navas side-footed wastefully wide.

Everton spurned promising free-kick opportunities as Lukaku and Baines drove into defensive walls, but City remained on top in open play – Jovetic twice off target from the edge of the area having linked smoothly with Silva.

Pellegrini's team arguably over-played when pinning Everton back under sustained pressure and they almost paid two minutes before the break.

Hart stood firm to deny Lukaku and Coleman crashed a swerving left-footed strike against the crossbar to conclude the attack.

Those near-misses spurred Everton on during the opening exchanges of the second half, with Lukaku's powerful forward play to the fore.

The Belgium international stormed beyond Eliaquim Mangala in the 57th minute to draw a second excellent stop from Hart.

With City lacking a similar presence in attack, Pellegrini turned towards Aguero in favour of Jovetic with 24 minutes remaining.

Jagielka had the ball in the net in the 69th minute but Naismith was penalised for a foul on Hart, while Aguero teed himself up to volley goalwards at the other end.

Silva was predictably involved when City broke the deadlock – Fernandinho heading past Coleman on the line when his team-mate's deflected shot looped in his direction – yet their advantage was short-lived.

Baines arched in a fine free-kick from the left but Hart's decision to come for the cross was rash and Naismith nodded home, leaving City to ponder a two-point deficit at the summit as they prepare to host Arsenal next weekend.

MBUNGE WA MBEYA MJINI APATA AJARI MILIMA KITONGA IRINGA.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Saturday, January 10, 2015

MBUNGE WA MBEYA MJINI APATA AJARI MILIMA KITONGA IRINGA.


Mbunge wa mbeya mjini mr sugu akiwa na rafiki yake kando ya gari lao baada ya kupinduka katika mteremko wa kitonga leo.


Ajari hiyo imetokea mchana wa leo wakati gari hilo likiwa na watu wanne likitokea mkoani Mbeya kuelekea Dar es salaam,na hakuna aliyepoteza maisha katika ajari hiyo.
Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Ramadhan\ Mungi amethibitisha kutokea kwa ajari hiyo japo amesema taarifa kamili itatolewa na askari polisi waliokwenda katika tukio hilo la ajari
 


MIMBA YAMTIBUA AUNT EZEKIEL.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

MIMBA YAMTIBUA AUNT EZEKIEL.

MAMBO si mambo! Tayari mimba ya muigizaji Aunt Ezekiel imeanza kumtibua baada ya nyota huyo kushindwa kufanya baadhi ya kazi ambazo alikuwa akizifanya mwenyewe.

Mose Iyobo akimsaidia kuvaa kiatu muigizaji maarufu Bongo, Aunt Ezekiel.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, kutokana na tumbo kuwa kubwa, Aunt kwa sasa hawezi kufunga viatu vyake, kufua, kuosha vyombo na hata akitaka kwenda toileti inabidi apewe kampani na mtu.

“Mh! Jamani Aunt hata kuinama ni mtihani sasa sijui kama ni kujidekeza au nini maana anapokuwa karibu na bebi wake ndiyo usiseme ni full kudeka anasema akiinama anaumia jamani?“Eti sasa hivi shosti wake Wema Sepetu na bebi wake Mose Iyobo ndiyo wamekuwa wakifanya kazi ya ziada kumsaidia kila kazi nyingi anazoshindwa,” kilisema chanzo hicho.

Aunt Ezekiel akiwa kwenye pozi na Mose Iyobo.

Baada ya chanzo hicho kupenyeza habari,  paparazi wetu alimsaka Aunt na kufanikiwa kumnasa kwa nyakati tofauti akiwa anasaidiwa kufungwa viatu na Wema pamoja na Iyobo.Alipoulizwa Aunt kama anashindwa kweli kufanya kazi mwenyewe au anadeka, alifunguka:

“Jamani hivi niiname nimkunje mtoto wangu bila sababu za msingi na watu wapo ambao wanaweza kunisaidia kwa nini nijiumize, acheni nisaidiwe,” alisema Aunt.Kwa upande wake, Mose ambaye inaaminika kuwa ndiye mhusika wa mimba hiyo ya Aunt alipozungumza na mwanahabari wetu, alijisifu na kusema anafurahi kuwa baba bora wa Aunt.

“Sioni tatizo kutamka, mimi ndiye mhusika mwenyewe, baba bora mimi, watakaochukia wachukie,” alisema Iyobo.Kabla ya kuanzisha uhusiano na Iyobo, Aunt aliolewa na mfanyabiashara, Sunday Demonte anayedaiwa kufungwa nchini China kwa msala wa madawa ya kulevya.



JAMAA AKIFANYIZIWA LIVE

UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Friday, January 9, 2015

Meet this Sexy 61 year old Woman who stays young by sleeping with young men.


Laila Gledhill could easily pass for a woman in her forties - and the lady from Yorkshire claims to have dated over thirty strapping young men in her life.. She has been married to a 22-year-old army officer, engaged to a 27-year-old for four years and has a casual ongoing fling with a university student.

And 61-year-old Laila Gledhill, isn't even a little bit ashamed about her passion for toyboys.Not one bit.Laila from Hull, Yorkshire says: "No man over 40 has ever approached me. She tells UK Mirror..

"Dating toyboys has kept me looking young and given me a zest for life."I feel like my appearance has stood still in time because of the way younger men treat me."From my experience, younger men treat older women with respect, find them infinitely more attractive and genuinely enjoy their company."And the sex is so much better."Older men often have baggage and a bigger belly. Why should I be with a sixty-year-old man when I can be one who is twenty-four?

Laila, who turns 62 next year, says:
 "A group of twenty-something women became jealous of me when their boyfriends remarked that I was attractive.The girls made some nasty comments regarding my body, saying that it must be wrinkly under my clothes.So to show them, I took some racy photos of me in my swimwear and posted them to Facebook!"

Her adult life started largely conventionally when she married her childhood sweetheart, Marcus, when she was twenty-seven-years old.
"We met when I was seventeen and we married each other a decade later."Although even Marcus was two years younger than me - I like to consider him my first toyboy,"
But after fourteen years together, Marcus declared that he was leaving Laila for a younger woman.
 "He was my first love. We had known each other since we were teenagers.But now Marcus was telling me he wanted to leave me for a woman in her early thirties who was thinner, taller and prettier than me.I kicked him out.Marcus walking out on me made me really think about what I deserved in life and from men.

 And a few weeks later, the now 41-year-old divorcee met a handsome 21-year-old army officer called David..Laila adds:

"It was so funny because a few months after walking out, Marcus called and begged me to take him back.I responded with 'Sorry Marcus but I've met someone who's younger than you and fitter than you'."
David fell head-over-heels in love with Laila and popped the question after a year of dating. When David was posted to Germany, they moved together. The pair were happily married for five years but David's parents disliked the fact that Laila was much older than him.
She explains, "His family were unhappy about the age gap between David and me. That finally came between us and we split up."

Laila is dating a few younger men at the moment. She says,

 "Older women have everything they need in life. They have great jobs and great friends. We don't have to settle anymore.We can pick and choose the men that we want to date. In my mother's generation for example, it was a different situation.My mother had to rely on my father for everything and she didn't have the freedom in middle-age that I have now.If a woman wants to date toyboys, they should. There's no problem with it.Can you imagine how different I would look now if I was with an older man?

OFFICIAL VIDEO: ALIKIBA - MWANA.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Yaya Toure mwanasoka bora Barani Afrika.

kiungo wa timu ya Manchester City Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kutajwa na shirikisho la soka barani Afrika kuwa mchezaji bora wa mwaka kwa mwaka wanne mfululizo.
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na golikipa mnigeria Vicent Enyeama.Toure pia alikwaa tuzo ya FIfa ya Ballon D'Or mwezi wa kumi mwaka wa jana..

OFFICIAL VIDEO: ALIKIBA - MWANA.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

British Mother who still Breastfeeds her 6-yr-old Daughter says she has no plans to stop.

 Denise Sumpter,44, still breast-feed her 6-year-old daughter Belle who is the oldest of her children and Denise says she'll continue do to so until Belle decides it's time to stop.

"I'll feed Belle as long as she asks," the 44-year-old mother told Daily Mail.The little girl nurses anywhere from twice a day to once a week. Sometimes she'll join her 18-month-old brother, Beau in a feeding. Other times she'll latch one when she's looking for some one-on-one time with her mother.

"I don't think there's anything weird about it. I feed both children on demand, whenever they want it," Denise says.

sponsored post

Denise, a Ph.D. student studying ancient science in London, credits her "mama's milk" to the vigor of her kids.

She says, "My children have hardly been ill. Beau came down with something the other day and because I nursed him through it he was better in 24 hours. I've had similar with Belle. If they're upset it calms them. It helps them sleep."

"I used to get the odd comment from relatives who'd say, 'Here we go with the milk thing again,' but I think because people know I'm confident in my decision they let me get on with it."

"People think by feeding Belle this long I will stunt her confidence. But she is extremely independent," she continued.

"Her teachers say she is mature for her age. If you'd asked me five years ago I never would have thought I'd still be breast-feeding Belle. However, it turned out to be one of the best things I could have done for my family."

Denise says that her daughter understands that she is not the norm. She even pretends to breast-feed her dolls.

"When Belle finishes I'll be sad but it's a natural progression. Her milk teeth are going and I get the impression she won't be feeding for much longer. But she can take her time." And as for her son, Denise intends to breast-feed him as long as she has Belle, provided that's what he wants. "The other day at play group Beau picked up a toy bottle and didn't have a clue what it was. I was proud of that."

OFFICIAL VIDEO: ALIKIBA - MWANA.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

UMEIPATA HII YA BILL GATES KUNYWA MAJI YA KINYESI.

Bill Gates akinywa maji yaliyotokana na kinyesi.
Mmiliki wa kampuni ya Microsoft Bill Gates amekunywa maji yaliotengenezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya itakayoweza kutoa maji safi katika mataifa yanayoendelea.
Mwanzilishi huyo wa Microsoft amesema kuwa ataisambaza mitambo ya teknolojia hiyo mpya kote duniani baada ya kuifanyia majaribio mwishoni mwa mwaka huu.Teknolojia hiyo imeungwa mkono na shirika la WaterAid ambalo limesema kuwa itasaidia sana katika maeneo ya miji.
Kulingana na shirika hilo la hisani takriban watu millioni 748 hawana maji safi ya kunywa.katika kanda ya video iliyowekwa katika blogu yake,Bwana Bill Gates alishuhudia kinyesi cha Binaadamu kikiingizwa katika mtambo huo kabla ya kunywa maji yaliokuwa yakitoka kutoka kwa kikombe.
''Maji hayo ni mazuri sana ikilinganishwa na maji yoyote yale niliokunywa,na baada ya kusomea teknolojia hii nitayanywa kila siku.Maji haya ni salama kabisa'',aliandika katika blogu yake.Kulingana na mtengenezaji wa mtambo huo Peter Janicki,maji taka hayo huchemshwa kabla ya mvuke wa maji hayo kutengwa na taka ngumu.
Taka hizo ngumu baadaye huwekwa katika moto na kutoa mvuke unaoendesha mashine zinazotoa nguvu za umeme kwa mtambo huo na pia kwa wakazi wa eneo hilo.Maji hayo baadaye hutiwa ndani ya mtambo wa kusafisha maji ili kutoa maji safi ya kunywa.
''lakini kwa nini mtu awe na wazo la kubadilisha uchafu kuwa maji ya kunywa na umeme'',aliuliza Gates.Jibu aliloandika ni kwamba kwa sababu magonjwa yanayosababishwa na mazingira machafu huwaua watoto 700,000 kila mwaka na huwakinga wengine wengi dhidi ya kuathirika kiakili na kimwili.

OFFICIAL VIDEO: ALIKIBA - MWANA.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Wednesday, January 7, 2015

Ngumi, mabomu uapishaji wenyeviti wa mitaa.


ENEO la Riverside Ubungo jijini Dar es Salaam, jana liligeuka uwanja wa mapambano baada ya polisi kutumia risasi za moto na mabomu ya machozi ili kunusuru hafla ya kuapishwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa katika Wilaya ya Kinondoni.

Dalili za kuibuka kwa fujo zilianza kuonekana kwa wananchi waliokuwa wamekusanyika nje ya hoteli ya Land Mark ambako hafla hiyo ilipangwa kufanyika, waliokuwa wakipinga kuapishwa kwa waliokuwa wagombea uenyekiti kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliodai walishindwa katika uchaguzi huo.

Wananchi hao ambao wengi wao wanatoka mitaa ya Msisiri ‘A’, Kawe Ukwamani, Kata ya Saranga, Kimara King’ong’o na Mtaa wa Temboni, Kata ya Msigani, walidai katika maeneo yao, wagombea wa CCM walipewa ushindi kinyume na matokeo halali.

Walidai kuwa katika uchaguzi huo, wagombea halali walioshinda wanatoka Chama cha Wananchi (CUF), lakini matokeo yalibadilishwa siku ya pili baada ya kutangazwa.
MABOMU NA RISASI

Katika tukio hilo, polisi walilazimika kupiga mabomu ya machozi na kurusha juu risasi za moto, huku wakiwataka wananchi kuondoka eneo hilo baada ya kuona fujo zinaweza kuwa kubwa.
Wakati risasi zikirushwa, wananchi hao walikuwa wakiimba kwa kutaja neno “Ukawa, Ukawa…” na wengine walikuwa wakisikika wakisema “zipigwe risasi nyingine” ndipo polisi walipoanza kupiga mabomu ya machozi.
Pamoja na mabomu kupigwa, wananchi waliamua kuhamia upande wa pili wa hoteli hiyo.
Hali ilikuwa ngumu katika geti la kuingia hotelini hapo ambapo muda wote lilionekana limezingirwa.


NDANI YA MTARO
Mambo yalibadilika zaidi, baada ya aliyekuwa mgombea kutoka Mtaa wa Msisiri ‘A’, Juma Mbena (CCM) kushindwa kuingia ndani, baada ya kuzuiwa na wananchi.

Inadaiwa katika mtaa huo, matokeo halali yalibadilishwa, licha ya kuonyesha mgombea wa CUF, Gasper Chambembe ni mshindi kwa kupata kura 497 dhidi ya 450 za Mbena.
Muda wote wananchi walikuwa wakimtaka Mbena kuondoka eneo hilo, huku wakimvuta shati lake hadi kuchanika wakidai si kiongozi wao halali.

Baada ya kuona amezidiwa, Mbena alikimbia na kwenda kujificha ndani ya mtaro wa maji machafu.
“Huyu kiongozi aliyekuja kuapishwa hapa tutahakikisha haingii kwa kuwa si chaguo letu, eneo letu alishinda mgombea wa CUF, tuliamka asubuhi lakini ilipofika saa 4 matokeo yalibadilishwa na ofisa mtendaji kwa kufutwafutwa kwa kalamu ya wino na kumpa ushindi mgombea wa CCM ambaye alishindwa katika uchaguzi,” alisema mmoja wa wananchi hao aliyefahamika kwa jina moja la Nassoro.

Wananchi kutoka eneo la Kawe Ukwamani walifika kwenye hoteli hiyo wakiwa na aliyekuwa mgombea wao wa uenyekiti, Nasri Mohamed (CUF), lakini alizuiwa kuingia ndani kwa kile kichodaiwa hakuwa na barua ya mwaliko kutoka Manispaa ya Kinondoni.

“Mimi nimeingia ndani nikatolewa, amebaki mwenzangu wa CCM ambaye katika uchaguzi ule nilimshinda,” alisema Mohamed.
Alisema katika uchaguzi huo alishinda kwa kupata kura 568 dhidi ya aliyekuwa mgombea wa CCM, Suleiman Jeta aliyepata kura 560.
 MKURUGENZI WA MANISPAA
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mussa Nati, alisema wenyeviti 154 waliapishwa kati ya 191.
“Tumeapisha wenyeviti 154 kati ya 191. Kutokana na sababu mbalimbali zikiwamo ugonjwa na dharura nyingine wengine wameshindwa kufika,” alisema Nati.

Alipoulizwa kuhusu malalamiko ya wananchi na kuhusishwa kuvuruga uchaguzi huo, alisema hana jibu kwakuwa alikuwa akipata majina ya washindi kutoka kwa watendaji wa mitaa na kata.
Wenyeviti hao waliapishwa na Mwanasheria wa Manispaa hiyo, Burton Mahenge.

KAMANDA WA POLISI
Akizungumzia vurugu hizo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura, alikiri kutokea na kusema hadi jana walikuwa wanashikilia watu saba.

Aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Kinyaiya Shiriri, Fadhili Ally, Wilfred Ngowi, Stanley Hurio, Prisan Clement, Joseph Samki na Zito Fabiani.

Alisema wanaendelea kuwahoji na uchunguzi utakapokamilika jalada lao litapelekwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili sheria ichukue mkondo wake.

VPL: Matokeo ya Yanga vs Azam FC haya hapa.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...
 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top