Askari wa kikosi cha zimamoto na uokoaji wamefanikiwa kuzima jaribio la kujirusha la kijana mmoja aliyetaka kujirusha maeneo ya ubungo Dar kama hataonanan na rais kisa kesi aliyebambikizwa na polisi.
Tuesday, December 31, 2013
Kijana ataka kujirusha katika mnara wa simu Ubungo Dar.Askari Zimamoto na Uokoaji wamdhibiti.
Askari wa kikosi cha zimamoto na uokoaji wamefanikiwa kuzima jaribio la kujirusha la kijana mmoja aliyetaka kujirusha maeneo ya ubungo Dar kama hataonanan na rais kisa kesi aliyebambikizwa na polisi.
Hivi ndivyo Police wa China walivyomnasa Jack Patrick na Heroin
Mambo yaliyochangia kunaswa kwake ni uso wa uchovu, kuanza kuwa na hali mbaya ya mwili,
kushindwa kujibu maswali vizuri na hati yake ya kusafiria (passport) yake kuonesha kugongwa mihuri ya kuingia nchini humo kila mara.
Habari zinasema ndipo maafisa wa uwanja huo walipomweka pembeni na baadaye kumpeleka kwenye chombo cha kukagua kwa undani mwili wa binadamu,
walipojiridhisha ana ‘mzigo’ wakampa polisi mwanamke (WP) kwa ajili ya kwenda kusimamia utoaji wa kete hizo chooni kwa njia ya haja kubwa.
habari kamili :: read more...
kushindwa kujibu maswali vizuri na hati yake ya kusafiria (passport) yake kuonesha kugongwa mihuri ya kuingia nchini humo kila mara.
Habari zinasema ndipo maafisa wa uwanja huo walipomweka pembeni na baadaye kumpeleka kwenye chombo cha kukagua kwa undani mwili wa binadamu,
walipojiridhisha ana ‘mzigo’ wakampa polisi mwanamke (WP) kwa ajili ya kwenda kusimamia utoaji wa kete hizo chooni kwa njia ya haja kubwa.
Baada ya kutoka chooni, ikafuata hatua nyingine. Jack aliwekwa mbele ya mapaparazi akiwa amevalishwa maski nyeusi usoni ili asionekane sura kisha akapigwa picha za kumwaga.
Wasanii wa bongo tusivae kama hawa haya sio maadili kabisa
Kizazi kinakoelekea sio kuzuri kabisa kwani wasnii ni kioo cha jamii sasa mnavyofanya mambo ya ajabu basi tambueni kuwa jamii itaiga mambo hayo.
Tumezoea kuona mambo yaho yakifanyika marekani lakini kwa sababu ya utandawazi hata bongo yameshaf.
Wasanii wamarekani wanamivao gani isiyo na maadili?
Wanaume hushusha surali kwa nyuma kiasi cha kuonesha matako staili hii sio nzuri kabisa hapa kwani itaharibu kizazi kipya.
habari kamili :: read more...
Tumezoea kuona mambo yaho yakifanyika marekani lakini kwa sababu ya utandawazi hata bongo yameshaf.
Wasanii wamarekani wanamivao gani isiyo na maadili?
Wanaume hushusha surali kwa nyuma kiasi cha kuonesha matako staili hii sio nzuri kabisa hapa kwani itaharibu kizazi kipya.
Monday, December 30, 2013
Vijana wazieni kazi mkiwaza kuwaridhisha wake zenu hamtafanikiwa.
Mzee mmoja (jina lake na mkoa anaotoka tunahifadhi)amewaasa vijana
wasilimbuke na ngono na badala yake waelekeze nguvu zao katika ubunifu
wa kujitafutia kipato.
Yeye ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 93 anasema shida za kutoaminiana ziko toka enzi hizo wala hazijaanza jana hivyo vijana wakibweteka kudhani eti kusalitiana kunatokana na kutoridhishana sio kweli kwani mwanamke ni mwanamke tu hata ungefanyeje.
habari kamili :: read more...
Yeye ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 93 anasema shida za kutoaminiana ziko toka enzi hizo wala hazijaanza jana hivyo vijana wakibweteka kudhani eti kusalitiana kunatokana na kutoridhishana sio kweli kwani mwanamke ni mwanamke tu hata ungefanyeje.
Sunday, December 29, 2013
Tiba asilia ya kuacha kupiga Punyeto.
Zipo
sababu mbalimbali zinazo wapelekea wanaume
kupiga punyeto, ila kubwa kati ya hizo
ni pamoja na kutokuwa na wapenzi, kutokuwa
na wapenzi wanao kidhi vigezo vyao, kuwa
katika mazingira yasiyokuwa na wanawake (
mfano katika shule za sekondari za
bweni za wavulana tu ), kujiepusha na
hatari ya kupata maambukizi ya v.v.u
nakadhalika.
Subscribe to:
Posts (Atom)