Saturday, January 31, 2015

Masogange Drops Five New K!lling Photos….Lazima uzione.

 Masogange Drops Five New K!lling Photos….Lazima uzione.




Ronaldo akanusha ripoti za kumtukana Messi.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Sunday, January 11, 2015

DU kweli kazi ipo: Everton 1-1 Manchester City.

Steven Naismith's late equaliser ensured that Manchester City fell two points behind Chelsea in the Premier League title race after being held by Everton at Goodison Park.

Manuel Pellegrini's defending champions entered the match level with the Blues at the Premier League summit and Fernandinho's 74th-minute header appeared set to preserve that state of affairs.

Yet Joe Hart, who had earlier made a pair of fine saves from Romelu Lukaku, came needlessly from his line and allowed Naismith to convert Leighton Baines' free-kick four minutes later.

City's slick passing game clicked instantly into gear as they dominated for long periods of the first half, although wasteful finishing from Stevan Jovetic and Jesus Navas threatened to undermine them before Everton full-back Seamus Coleman clattered the crossbar from distance.

A more even second half followed and a buoyant Goodison Park crowd was delighted to see Naismith end a worrying slump for manager Roberto Martinez.

John Stones made his first Everton start since Boxing Day at centre-back with Antolin Alcaraz (suspension) and Sylvain Distin (groin) unavailable, while Aiden McGeady was preferred to Kevin Mirallas.

Captain Vincent Kompany and top scorer Sergio Aguero returned to the City bench following injury lay-offs as Yaya Toure's Africa Cup of Nations absence meant Fernando partnered Fernandinho in midfield.

David Silva posed early problems in front of the Everton defence and City's Spain playmaker threaded a pass for Jovetic to blast over in the ninth minute.

An error from Phil Jagielka gave Silva the chance to craft a clearer opening but Navas side-footed wastefully wide.

Everton spurned promising free-kick opportunities as Lukaku and Baines drove into defensive walls, but City remained on top in open play – Jovetic twice off target from the edge of the area having linked smoothly with Silva.

Pellegrini's team arguably over-played when pinning Everton back under sustained pressure and they almost paid two minutes before the break.

Hart stood firm to deny Lukaku and Coleman crashed a swerving left-footed strike against the crossbar to conclude the attack.

Those near-misses spurred Everton on during the opening exchanges of the second half, with Lukaku's powerful forward play to the fore.

The Belgium international stormed beyond Eliaquim Mangala in the 57th minute to draw a second excellent stop from Hart.

With City lacking a similar presence in attack, Pellegrini turned towards Aguero in favour of Jovetic with 24 minutes remaining.

Jagielka had the ball in the net in the 69th minute but Naismith was penalised for a foul on Hart, while Aguero teed himself up to volley goalwards at the other end.

Silva was predictably involved when City broke the deadlock – Fernandinho heading past Coleman on the line when his team-mate's deflected shot looped in his direction – yet their advantage was short-lived.

Baines arched in a fine free-kick from the left but Hart's decision to come for the cross was rash and Naismith nodded home, leaving City to ponder a two-point deficit at the summit as they prepare to host Arsenal next weekend.

MBUNGE WA MBEYA MJINI APATA AJARI MILIMA KITONGA IRINGA.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Saturday, January 10, 2015

MBUNGE WA MBEYA MJINI APATA AJARI MILIMA KITONGA IRINGA.


Mbunge wa mbeya mjini mr sugu akiwa na rafiki yake kando ya gari lao baada ya kupinduka katika mteremko wa kitonga leo.


Ajari hiyo imetokea mchana wa leo wakati gari hilo likiwa na watu wanne likitokea mkoani Mbeya kuelekea Dar es salaam,na hakuna aliyepoteza maisha katika ajari hiyo.
Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Ramadhan\ Mungi amethibitisha kutokea kwa ajari hiyo japo amesema taarifa kamili itatolewa na askari polisi waliokwenda katika tukio hilo la ajari
 


MIMBA YAMTIBUA AUNT EZEKIEL.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

MIMBA YAMTIBUA AUNT EZEKIEL.

MAMBO si mambo! Tayari mimba ya muigizaji Aunt Ezekiel imeanza kumtibua baada ya nyota huyo kushindwa kufanya baadhi ya kazi ambazo alikuwa akizifanya mwenyewe.

Mose Iyobo akimsaidia kuvaa kiatu muigizaji maarufu Bongo, Aunt Ezekiel.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, kutokana na tumbo kuwa kubwa, Aunt kwa sasa hawezi kufunga viatu vyake, kufua, kuosha vyombo na hata akitaka kwenda toileti inabidi apewe kampani na mtu.

“Mh! Jamani Aunt hata kuinama ni mtihani sasa sijui kama ni kujidekeza au nini maana anapokuwa karibu na bebi wake ndiyo usiseme ni full kudeka anasema akiinama anaumia jamani?“Eti sasa hivi shosti wake Wema Sepetu na bebi wake Mose Iyobo ndiyo wamekuwa wakifanya kazi ya ziada kumsaidia kila kazi nyingi anazoshindwa,” kilisema chanzo hicho.

Aunt Ezekiel akiwa kwenye pozi na Mose Iyobo.

Baada ya chanzo hicho kupenyeza habari,  paparazi wetu alimsaka Aunt na kufanikiwa kumnasa kwa nyakati tofauti akiwa anasaidiwa kufungwa viatu na Wema pamoja na Iyobo.Alipoulizwa Aunt kama anashindwa kweli kufanya kazi mwenyewe au anadeka, alifunguka:

“Jamani hivi niiname nimkunje mtoto wangu bila sababu za msingi na watu wapo ambao wanaweza kunisaidia kwa nini nijiumize, acheni nisaidiwe,” alisema Aunt.Kwa upande wake, Mose ambaye inaaminika kuwa ndiye mhusika wa mimba hiyo ya Aunt alipozungumza na mwanahabari wetu, alijisifu na kusema anafurahi kuwa baba bora wa Aunt.

“Sioni tatizo kutamka, mimi ndiye mhusika mwenyewe, baba bora mimi, watakaochukia wachukie,” alisema Iyobo.Kabla ya kuanzisha uhusiano na Iyobo, Aunt aliolewa na mfanyabiashara, Sunday Demonte anayedaiwa kufungwa nchini China kwa msala wa madawa ya kulevya.



JAMAA AKIFANYIZIWA LIVE

UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Friday, January 9, 2015

Meet this Sexy 61 year old Woman who stays young by sleeping with young men.


Laila Gledhill could easily pass for a woman in her forties - and the lady from Yorkshire claims to have dated over thirty strapping young men in her life.. She has been married to a 22-year-old army officer, engaged to a 27-year-old for four years and has a casual ongoing fling with a university student.

And 61-year-old Laila Gledhill, isn't even a little bit ashamed about her passion for toyboys.Not one bit.Laila from Hull, Yorkshire says: "No man over 40 has ever approached me. She tells UK Mirror..

"Dating toyboys has kept me looking young and given me a zest for life."I feel like my appearance has stood still in time because of the way younger men treat me."From my experience, younger men treat older women with respect, find them infinitely more attractive and genuinely enjoy their company."And the sex is so much better."Older men often have baggage and a bigger belly. Why should I be with a sixty-year-old man when I can be one who is twenty-four?

Laila, who turns 62 next year, says:
 "A group of twenty-something women became jealous of me when their boyfriends remarked that I was attractive.The girls made some nasty comments regarding my body, saying that it must be wrinkly under my clothes.So to show them, I took some racy photos of me in my swimwear and posted them to Facebook!"

Her adult life started largely conventionally when she married her childhood sweetheart, Marcus, when she was twenty-seven-years old.
"We met when I was seventeen and we married each other a decade later."Although even Marcus was two years younger than me - I like to consider him my first toyboy,"
But after fourteen years together, Marcus declared that he was leaving Laila for a younger woman.
 "He was my first love. We had known each other since we were teenagers.But now Marcus was telling me he wanted to leave me for a woman in her early thirties who was thinner, taller and prettier than me.I kicked him out.Marcus walking out on me made me really think about what I deserved in life and from men.

 And a few weeks later, the now 41-year-old divorcee met a handsome 21-year-old army officer called David..Laila adds:

"It was so funny because a few months after walking out, Marcus called and begged me to take him back.I responded with 'Sorry Marcus but I've met someone who's younger than you and fitter than you'."
David fell head-over-heels in love with Laila and popped the question after a year of dating. When David was posted to Germany, they moved together. The pair were happily married for five years but David's parents disliked the fact that Laila was much older than him.
She explains, "His family were unhappy about the age gap between David and me. That finally came between us and we split up."

Laila is dating a few younger men at the moment. She says,

 "Older women have everything they need in life. They have great jobs and great friends. We don't have to settle anymore.We can pick and choose the men that we want to date. In my mother's generation for example, it was a different situation.My mother had to rely on my father for everything and she didn't have the freedom in middle-age that I have now.If a woman wants to date toyboys, they should. There's no problem with it.Can you imagine how different I would look now if I was with an older man?

OFFICIAL VIDEO: ALIKIBA - MWANA.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Yaya Toure mwanasoka bora Barani Afrika.

kiungo wa timu ya Manchester City Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kutajwa na shirikisho la soka barani Afrika kuwa mchezaji bora wa mwaka kwa mwaka wanne mfululizo.
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na golikipa mnigeria Vicent Enyeama.Toure pia alikwaa tuzo ya FIfa ya Ballon D'Or mwezi wa kumi mwaka wa jana..

OFFICIAL VIDEO: ALIKIBA - MWANA.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

British Mother who still Breastfeeds her 6-yr-old Daughter says she has no plans to stop.

 Denise Sumpter,44, still breast-feed her 6-year-old daughter Belle who is the oldest of her children and Denise says she'll continue do to so until Belle decides it's time to stop.

"I'll feed Belle as long as she asks," the 44-year-old mother told Daily Mail.The little girl nurses anywhere from twice a day to once a week. Sometimes she'll join her 18-month-old brother, Beau in a feeding. Other times she'll latch one when she's looking for some one-on-one time with her mother.

"I don't think there's anything weird about it. I feed both children on demand, whenever they want it," Denise says.

sponsored post

Denise, a Ph.D. student studying ancient science in London, credits her "mama's milk" to the vigor of her kids.

She says, "My children have hardly been ill. Beau came down with something the other day and because I nursed him through it he was better in 24 hours. I've had similar with Belle. If they're upset it calms them. It helps them sleep."

"I used to get the odd comment from relatives who'd say, 'Here we go with the milk thing again,' but I think because people know I'm confident in my decision they let me get on with it."

"People think by feeding Belle this long I will stunt her confidence. But she is extremely independent," she continued.

"Her teachers say she is mature for her age. If you'd asked me five years ago I never would have thought I'd still be breast-feeding Belle. However, it turned out to be one of the best things I could have done for my family."

Denise says that her daughter understands that she is not the norm. She even pretends to breast-feed her dolls.

"When Belle finishes I'll be sad but it's a natural progression. Her milk teeth are going and I get the impression she won't be feeding for much longer. But she can take her time." And as for her son, Denise intends to breast-feed him as long as she has Belle, provided that's what he wants. "The other day at play group Beau picked up a toy bottle and didn't have a clue what it was. I was proud of that."

OFFICIAL VIDEO: ALIKIBA - MWANA.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

UMEIPATA HII YA BILL GATES KUNYWA MAJI YA KINYESI.

Bill Gates akinywa maji yaliyotokana na kinyesi.
Mmiliki wa kampuni ya Microsoft Bill Gates amekunywa maji yaliotengenezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya itakayoweza kutoa maji safi katika mataifa yanayoendelea.
Mwanzilishi huyo wa Microsoft amesema kuwa ataisambaza mitambo ya teknolojia hiyo mpya kote duniani baada ya kuifanyia majaribio mwishoni mwa mwaka huu.Teknolojia hiyo imeungwa mkono na shirika la WaterAid ambalo limesema kuwa itasaidia sana katika maeneo ya miji.
Kulingana na shirika hilo la hisani takriban watu millioni 748 hawana maji safi ya kunywa.katika kanda ya video iliyowekwa katika blogu yake,Bwana Bill Gates alishuhudia kinyesi cha Binaadamu kikiingizwa katika mtambo huo kabla ya kunywa maji yaliokuwa yakitoka kutoka kwa kikombe.
''Maji hayo ni mazuri sana ikilinganishwa na maji yoyote yale niliokunywa,na baada ya kusomea teknolojia hii nitayanywa kila siku.Maji haya ni salama kabisa'',aliandika katika blogu yake.Kulingana na mtengenezaji wa mtambo huo Peter Janicki,maji taka hayo huchemshwa kabla ya mvuke wa maji hayo kutengwa na taka ngumu.
Taka hizo ngumu baadaye huwekwa katika moto na kutoa mvuke unaoendesha mashine zinazotoa nguvu za umeme kwa mtambo huo na pia kwa wakazi wa eneo hilo.Maji hayo baadaye hutiwa ndani ya mtambo wa kusafisha maji ili kutoa maji safi ya kunywa.
''lakini kwa nini mtu awe na wazo la kubadilisha uchafu kuwa maji ya kunywa na umeme'',aliuliza Gates.Jibu aliloandika ni kwamba kwa sababu magonjwa yanayosababishwa na mazingira machafu huwaua watoto 700,000 kila mwaka na huwakinga wengine wengi dhidi ya kuathirika kiakili na kimwili.

OFFICIAL VIDEO: ALIKIBA - MWANA.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Wednesday, January 7, 2015

Ngumi, mabomu uapishaji wenyeviti wa mitaa.


ENEO la Riverside Ubungo jijini Dar es Salaam, jana liligeuka uwanja wa mapambano baada ya polisi kutumia risasi za moto na mabomu ya machozi ili kunusuru hafla ya kuapishwa wenyeviti wa Serikali za Mitaa katika Wilaya ya Kinondoni.

Dalili za kuibuka kwa fujo zilianza kuonekana kwa wananchi waliokuwa wamekusanyika nje ya hoteli ya Land Mark ambako hafla hiyo ilipangwa kufanyika, waliokuwa wakipinga kuapishwa kwa waliokuwa wagombea uenyekiti kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliodai walishindwa katika uchaguzi huo.

Wananchi hao ambao wengi wao wanatoka mitaa ya Msisiri ‘A’, Kawe Ukwamani, Kata ya Saranga, Kimara King’ong’o na Mtaa wa Temboni, Kata ya Msigani, walidai katika maeneo yao, wagombea wa CCM walipewa ushindi kinyume na matokeo halali.

Walidai kuwa katika uchaguzi huo, wagombea halali walioshinda wanatoka Chama cha Wananchi (CUF), lakini matokeo yalibadilishwa siku ya pili baada ya kutangazwa.
MABOMU NA RISASI

Katika tukio hilo, polisi walilazimika kupiga mabomu ya machozi na kurusha juu risasi za moto, huku wakiwataka wananchi kuondoka eneo hilo baada ya kuona fujo zinaweza kuwa kubwa.
Wakati risasi zikirushwa, wananchi hao walikuwa wakiimba kwa kutaja neno “Ukawa, Ukawa…” na wengine walikuwa wakisikika wakisema “zipigwe risasi nyingine” ndipo polisi walipoanza kupiga mabomu ya machozi.
Pamoja na mabomu kupigwa, wananchi waliamua kuhamia upande wa pili wa hoteli hiyo.
Hali ilikuwa ngumu katika geti la kuingia hotelini hapo ambapo muda wote lilionekana limezingirwa.


NDANI YA MTARO
Mambo yalibadilika zaidi, baada ya aliyekuwa mgombea kutoka Mtaa wa Msisiri ‘A’, Juma Mbena (CCM) kushindwa kuingia ndani, baada ya kuzuiwa na wananchi.

Inadaiwa katika mtaa huo, matokeo halali yalibadilishwa, licha ya kuonyesha mgombea wa CUF, Gasper Chambembe ni mshindi kwa kupata kura 497 dhidi ya 450 za Mbena.
Muda wote wananchi walikuwa wakimtaka Mbena kuondoka eneo hilo, huku wakimvuta shati lake hadi kuchanika wakidai si kiongozi wao halali.

Baada ya kuona amezidiwa, Mbena alikimbia na kwenda kujificha ndani ya mtaro wa maji machafu.
“Huyu kiongozi aliyekuja kuapishwa hapa tutahakikisha haingii kwa kuwa si chaguo letu, eneo letu alishinda mgombea wa CUF, tuliamka asubuhi lakini ilipofika saa 4 matokeo yalibadilishwa na ofisa mtendaji kwa kufutwafutwa kwa kalamu ya wino na kumpa ushindi mgombea wa CCM ambaye alishindwa katika uchaguzi,” alisema mmoja wa wananchi hao aliyefahamika kwa jina moja la Nassoro.

Wananchi kutoka eneo la Kawe Ukwamani walifika kwenye hoteli hiyo wakiwa na aliyekuwa mgombea wao wa uenyekiti, Nasri Mohamed (CUF), lakini alizuiwa kuingia ndani kwa kile kichodaiwa hakuwa na barua ya mwaliko kutoka Manispaa ya Kinondoni.

“Mimi nimeingia ndani nikatolewa, amebaki mwenzangu wa CCM ambaye katika uchaguzi ule nilimshinda,” alisema Mohamed.
Alisema katika uchaguzi huo alishinda kwa kupata kura 568 dhidi ya aliyekuwa mgombea wa CCM, Suleiman Jeta aliyepata kura 560.
 MKURUGENZI WA MANISPAA
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mussa Nati, alisema wenyeviti 154 waliapishwa kati ya 191.
“Tumeapisha wenyeviti 154 kati ya 191. Kutokana na sababu mbalimbali zikiwamo ugonjwa na dharura nyingine wengine wameshindwa kufika,” alisema Nati.

Alipoulizwa kuhusu malalamiko ya wananchi na kuhusishwa kuvuruga uchaguzi huo, alisema hana jibu kwakuwa alikuwa akipata majina ya washindi kutoka kwa watendaji wa mitaa na kata.
Wenyeviti hao waliapishwa na Mwanasheria wa Manispaa hiyo, Burton Mahenge.

KAMANDA WA POLISI
Akizungumzia vurugu hizo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura, alikiri kutokea na kusema hadi jana walikuwa wanashikilia watu saba.

Aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Kinyaiya Shiriri, Fadhili Ally, Wilfred Ngowi, Stanley Hurio, Prisan Clement, Joseph Samki na Zito Fabiani.

Alisema wanaendelea kuwahoji na uchunguzi utakapokamilika jalada lao litapelekwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili sheria ichukue mkondo wake.

VPL: Matokeo ya Yanga vs Azam FC haya hapa.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

BREAKING NEWS: Kashfa ya Escrow yamng’oa Chenge rasmi...atangaza kuachia nafasi ya uwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti.

WAKATI Watanzania wakisubiri hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambaye Rais Jakaya Kikwete alisema anamuweka kiporo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, ametangaza rasmi kuachia nafasi hiyo.

Bunge lililopita baada ya kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu miamala iliyofanyika kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa Benki Kuu ya Tanzania, lilipitisha maazimio manane ikiwa ni pamoja na kuazimia kuwajibishwa viongozi wa Serikali na wale wa kamati za Bunge walioonekana kuhusika katika kashfa hiyo.

Viongozi wa kamati ambao Bunge liliazimia wawajibishwe ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Chenge, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, William Ngeleja na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Tanesco, Victor Mwambalaswa.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo tulizipata jana, Chenge alitangaza kujiuzulu nafasi yake juzi baada ya kamati yake kukutana kwenye ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam.
“Amejiuzulu jana (juzi), saa tano asubuhi wakati wa kikao cha Kamati ya Bajeti kilichokutana kwenye Ukumbi wa Mkwawa, ofisi ndogo za Bunge Dar es Salaam.
“Aliwaambia wajumbe kuwa hataki malumbano na wabunge na hataki msuguano wowote, nafasi yake kwa sasa inashikiliwa na Dk. Festus Limbu, ambaye alikuwa makamu mwenyekiti wa kamati,” alisema mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo.

Mkurugenzi wa Idara ya Shughuli za Bunge, John Joel, alipotakiwa kuthibitisha suala hilo, alisema hayuko ofisini, hivyo hawezi kuwa na jibu la moja kwa moja juu ya suala hilo.
Alisema kama Chenge mwenyewe amefikia uamuzi huo, atakuwa amempunguzia kazi Spika.

Joel alisema kujiuzulu kwake kutakuwa ni kutimiza maazimio ya Bunge jambo ambalo ni lazima litekelezwe.
Akifafanua juu ya kumpata mwenyekiti mpya wa kamati hiyo, Joel alisema mara baada ya wajumbe hao kukutana kama viongozi hawapo, jambo la kwanza ni kufanya uchaguzi.

Alisema Chenge alichaguliwa na Spika kuongoza kamati hiyo kwa kuwa ilikuwa ni kamati mpya na ambayo ni nyeti sana.
“Wajumbe wake ukiangalia wengi walitoka kwenye Kamati ya Kushauri Vyanzo Vipya vya Mapato, Spika aliomba kumchagua mtu ili apate mtu makini anayejua vyanzo vya mapato,” alisema.

Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, alipoulizwa kama ofisi yake ina taarifa za kujiuzulu kwa Chenge, alisema yupo jimboni na hana taarifa hizo ila anachojua suala la kuwajibika kwa wenyeviti waliotajwa kwenye ripoti ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) juu ya kashfa ya Escrow ni la lazima na halihitaji mtu kuandika barua ya kujiuzulu.

“Hakuna kuandika barua ya kujiuzulu, yale ni maamuzi ya Bunge, kinachotakiwa ni kamati kukaa na kuchagua viongozi wengine,” alisema.
Ndugai akizungumza na gazeti hili mwanzoni mwa juma lililopita, alisema kamati ambazo viongozi wake walihusishwa na kashfa ya Tegeta Escrow, zitakapokutana jukumu la kwanza litakuwa ni kuchagua viongozi wapya kwani tayari chombo hicho kilishaazimia kuwawajibisha.

Katika kashfa ya Escrow, Chenge anadaiwa kupokea Sh bilioni 1.6, kutoka kwa James Rugamalira ambaye ni mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering iliyokuwa na asilimia 30 kwenye Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), inayodaiwa kuuzwa kinyemela kwa Kampuni ya Pan African Power (PAP).

VPL: Matokeo ya Yanga vs Azam FC haya hapa.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...
 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top