Tumezoea kuona mambo yaho yakifanyika marekani lakini kwa sababu ya utandawazi hata bongo yameshaf.
Wasanii wamarekani wanamivao gani isiyo na maadili?
Wanaume hushusha surali kwa nyuma kiasi cha kuonesha matako staili hii sio nzuri kabisa hapa kwani itaharibu kizazi kipya.
Wanawake nao huvaa mavazi au mafupi sana au yanayoonesha maumbile ya mwanamke hasa katika kiuno. Yaani wako tayari kujifunika kicha ila kiono kiwe wazi.
Nawaasawatanzania hizi sio staili za kuigwa.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment