Sunday, October 26, 2014

JOKATE ATAFUTA MWANAMME RASMI WA KUMZALISHA MTOTO..!!!


Jokate Mwegelo amesema kuwa anatamani sana kuoleWa na kuzaa watoto hasa kwa umri wake wa miaka 27 alionao sasa.
Akizungumza na gazeti moja Jokate alisema kuwa hata hivyo hawezi kukimbilia kila mwanaume sababu anataka mume mchapakazi,
anayejiheshimu sana na mwenye kujua majukumu ya kifamilia

PICHA MBALIMBALI ZA HALI ILIVYOKUA BAADA YA NAIBU WAZIRI KURUSHIANA RISASI NA MWANAE.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top