Jokate Mwegelo amesema kuwa anatamani sana kuoleWa na kuzaa watoto hasa kwa umri wake wa miaka 27 alionao sasa.
Akizungumza na gazeti moja Jokate alisema kuwa hata hivyo hawezi kukimbilia kila mwanaume sababu anataka mume mchapakazi,
anayejiheshimu sana na mwenye kujua majukumu ya kifamilia
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment