Saturday, December 27, 2014

Naibu Waziri Mhe. January Makamba azindua Kundi la Kaone Sanaa Group Dar Live.

  Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia .Mhe. January Makamba amezindua Kundi la Kaone Sanaa Group Dar Live usiku huu, hapa akiwa katika picha ya pamoja baada ya uzinduzi huo.

Wasanii wa Kaole wakiwa stejini

...akiongea na wanahabari mara baada ya kuwasili Dar Live

...akiwa katika picha ya pamoja na Kaone

...akiongozwa na Meneja Mkuu wa Dar Live, Abdallah Mrisho kwenda meza kuu

...akiwa meza kuu na viongozi wa Kaone

....msanii Msaga Sumu akifanya vitu vyake jukwaani.

BREAKING NEWS: Mtu mmoja afariki dunia baada ya kulipuliwa na bomu aliotaka kuwarushia askari polisi.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top