Tuesday, December 16, 2014

Inasemekana Beyonce na Jay Z wameiba wimbo wao wa ‘Drunk in Love’.

Mwanamke mmoja nchini Hungary amewalalamikia mastaa Beyonce  na mumewe Jay Z akidai wamemwibia wimbo wake wa ‘Drunk in Luv‘ ambao tayari aliurekodi na kwa sasa umeonekana kama wa kwao.

Mwanamuziki Monica Miczura maarufu kama Mitsou alisema Bey na Jay Z pamoja na Producer wao Timbaland waliuchukua mashairi ya wimbo huo aliourekodi mwaka 1995 kisha kuutumia bila ruhusa yake.

lovvvvvMitsou alisema hakuwapa tuhusa ya kutumia wimbo wake na mbaya zaidi wimbo huo ulitumika bila ya yeye kujua ..”Waliubadilisha sehemu ndogo sana katika mashairi yake na badala yake wakaongeza vionjo vya mapenzi,ni wimbo wangu unajulikana kwa jina la Bja,Bja Pelem“.

Mwimbaji huo alisema ana nithibitisho vyote na anataka alipwe na pia amemtaka mwanasheria wake kuzuia wimbo huo kuendelea kuchezwa mpaka hapo mashtaka yake yatakaposikilizwa.

UPDATES ZA MATOKEO MIKOA MBALIMBALI YA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA YALIYOKWISHA TANGAZWA HADI SASA.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top