Mwanamuziki Monica Miczura maarufu kama Mitsou alisema Bey na Jay Z pamoja na Producer wao Timbaland waliuchukua mashairi ya wimbo huo aliourekodi mwaka 1995 kisha kuutumia bila ruhusa yake.
lovvvvvMitsou alisema hakuwapa tuhusa ya kutumia wimbo wake na mbaya zaidi wimbo huo ulitumika bila ya yeye kujua ..”Waliubadilisha sehemu ndogo sana katika mashairi yake na badala yake wakaongeza vionjo vya mapenzi,ni wimbo wangu unajulikana kwa jina la Bja,Bja Pelem“.
Mwimbaji huo alisema ana nithibitisho vyote na anataka alipwe na pia amemtaka mwanasheria wake kuzuia wimbo huo kuendelea kuchezwa mpaka hapo mashtaka yake yatakaposikilizwa.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment