Friday, August 29, 2014

SUALA LA OKWI KUSAINI SIMBA, MANJI ACHARUKA NA KUMSHATI OKWI, SIMBA NA VIONGOZI WAKE.

   Manji akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).

Wanahabari wakisikiliza kwa makini.

Kikao kikiendelea.

Mwenyekiti wa Yanga (Manji) akisisitiza jambo, kushoto ni Makamu wake, Clement Sanga.

Msistizo ukiendelea.


... Akionesha kidole kutoa mfano.

Kocha Marcio Maximo (kushoto) akizungumzia kuimarika kwa timu yake Visiwani, Zanzibar.

BAADA ya jana uongozi wa timu ya Simba chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Zacharia Hans Pope, kutangaza kumsainisha mshambuliaji, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda, uongozi wa Yanga kupitia mwenyekiti wake, Yusuph Manji, mchana huu nao umetoa tamko rasmi la kumshitaki mchezaji huyo kwa shirikisho la soka nchini (TFF) pamoja na viongozi wa Simba na Klabu hiyo.

Katika mashitaka hayo Yanga imemshitaki Okwi, Simba na viongozi wake kwa kuvunja mkataba wakati mgogoro wa mchezaji huyo na Yanga ukiwa haujapatiwa ufumbuzi. Manji amesema katika madai hayo wanadai fidia ya dola milioni mia tano za Kimarekani.

Wakati huohuo, kocha wa kikosi hicho Mbrazil Marcio Maximo ameelezea kuimarika kwa kikosi chake kwenye kambi ya wiki mbili waliyofanya Visiwani Unguja na Pemba.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

Emmanuel Okwi arudi Simba baada ya Yanga kumtema.


PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU 

MUME WA MTU MTAMU SANA: SIMUACHI NG’O; AUNT.

 

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top