Emanuel Okwi amechukua maamuzi ya kusaini kucheza timu ya Simba baada ya Yanga kumuacha.
Friday, August 29, 2014
Emmanuel Okwi arudi Simba baada ya Yanga kumtema.
Emmanel Okwi ameamua kurejea katika timu yake ya zamani ya Simba Sports Club,Emanuel Okwi ambaye ni raia wa Uganda rasmi leo amesaini kujiunga na Simba baada ya kuelewana na uongozi wa klabu hiyo.
Emanuel Okwi amechukua maamuzi ya kusaini kucheza timu ya Simba baada ya Yanga kumuacha.
Emanuel Okwi amechukua maamuzi ya kusaini kucheza timu ya Simba baada ya Yanga kumuacha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment