Friday, August 29, 2014

Emmanuel Okwi arudi Simba baada ya Yanga kumtema.

Emmanel Okwi ameamua kurejea katika timu yake ya zamani ya Simba Sports Club,Emanuel Okwi ambaye ni raia wa Uganda rasmi leo amesaini kujiunga na Simba baada ya kuelewana na uongozi wa klabu hiyo.


Emanuel Okwi amechukua maamuzi ya kusaini kucheza timu ya Simba baada ya Yanga kumuacha.


Onyesha uzalando kwa Kubofya Like Hapo Juu

MUME WA MTU MTAMU SANA: SIMUACHI NG’O; AUNT.


PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top