Friday, June 6, 2014

Msichana wa kazi nae afungiwa miaka 3 ndani huu akipewa mateso makali.

Siku chache baada ya taarifa za kutoka Morogoro zilizomhusu Mtoto Nasra ambaye kwa sasa ni marehemu ambaye alifungiwa kwenye box kwa miaka 4,leo kutoka idara ya Hekaheka za leo kuna taarifa za namna hiyo.

mtotoTaarifa inasema kuwa kuna mwanamke alikuwa anaishi na msichana wake wa kazi amefanya unyama kwa msichana huyo kwa kumfungia ndani kwa miaka 3 na kumtesa kwa kumn’gata’kwa meno ikiwa ni pamoja na kumchoma na pasi.

Mengine amekua akimpiga kila sehemu ya mwili wa huyo binti huyo na kwa sasa ana makovu mpaka kwenye makalio na kitu ambacho hakijafamiaka ni msichana huyo kujisaifia haja ndogo kila baada ya dakika 5.

Tafadhali bofya like hapo juu kama bado hujabofya upate habari mpya haraka

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top