Thursday, June 5, 2014

DUU!! UKWELI NDO HUU MSIKILIZE MUME WA FLORA MBASHA AKIKUBALI KUBAKA NA KUOMBA MSAMAHA KWA SHEMEJI YAKE.

Tunaomba usikilize hii audio Mume wa Flora Mbasha akiomba msamaha na akifichua mambo magumu mazito yanyoendelea ndani ya famili hiyo ambayo imezua gumzo mtaani kwa kile kinachofikiriwa kua imepoteza uaminifu kutokana na jamii inavyoichukulia ,kua ni familia yenye hofu kubwa ya Mungu,lakini jamii imesahau kua hawa ni binadamu 100% kuna kuanguka ,tunaomba maoni yako unasemaje juu ya hili.

Tafadhali bofya like hapo juu kama bado hujabofya upate habari mpya haraka

MSIKILIZE HAPA CHINI USIJE UKASEMA ETI HOO HAINA UKWELI
CREDIT bongoclantz.com
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top