Sunday, March 30, 2014

Tazama picha za Wema Sepetu akimuaga mumewe Diamond tayari kwa safari ya kwenda Nigeria kufanya video.


Wiki iliyopita Diamond Platnumz alisema anatarajia kusafiri kwenda nchini Nigeria (March 30) kwaajili ya kufanya video ya wimbo wake mpya aliofanya collabo na mastaa wa huko.

Diamond akiwa na Bab Tale tayari kwa safari yao .Usiku wa kuamkia leo Platnumz amepost picha Instagram akiwa ameongozana na meneja wake Bab Tale wa Tip Top Connection, wakiwa uwanja wa ndege JNIA tayari kwa safari yao ya Lagos.

Wema hakukosa kumsindikiza kipenzi chake uwanja wa ndege
Hivi karibuni hit maker huyo wa ‘Number 1’ alisema mbali na kushoot video, kitu kingine anachoenda kukifanya Nigeria ni pamoja na kufanya collabo zaidi na wasanii wa huko kwa lengo la kuliteka soko la Afrika kwa ujumla.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top