Monday, March 31, 2014

Polisi jijini New York walazimika kusimamisha show ya Davido baada ya ukumbi kuzidiwa na mashabiki.

 Polisi wamelazika kusimamisha baada ya idadi ya watu kuwa wengi na bado nje ya ukumbu kulikuwa na wengi wakitaka kuingia ambao waliaanzisha vurugu baada ya kuzuiliwa kuingia.







Mtu kapoteza fahamu baada ya kuzidiwa na hali ya hewa.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top