Tuesday, February 4, 2014

Walichokifanya akina Wema na Aunt Ezekiel pale Triple A ni aibu jionee mwenyewe hapa.

 
 
Kajala, Wema, Aunt na Zamaradi wakiwa katika pozi tofauti.


 



 Wakicheza na Mirror

 
Msanii Dyana Kimaro katika pozi.
MASTAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Kajala Masanja pamoja na wasanii wa Bongo Fleva Chid Benz na Miraji Hussein ‘Mirror’ hivi karibuni  walitinga katika jiji la Arusha kwa ajili ya kumtambulisha msanii Mirror kwenye klabu ya Triple A.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top