Monday, February 17, 2014

Ukiwa na mke wa staili hii basi ujue hamna kitu hapo ebu cheki anachokifanya anapokuwa bafuni.

Ukiona una mke anakienda kuoga anakawia sana basi ujue ndo anafanya haya ya huyu mdada na kama uamini basi nyemelea siku moja utagundua.

Huyu ni mwanamuziki toka nchini Nigeria aitwaye Maheeda, ni mmoja kati ya wanamuziki wasioisha na vituko. Kimtindo ni mwehu na hakika hatoacha wehu wake
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top