Friday, February 14, 2014

Mke mapepe wa Bosi, Abakwa na houseboy na kushika mimba,Mkanda kamili huu.

ILIKUWA saa 5:30 asubuhi, Reswita alikuwa amekaa sebuleni analia. Aliona dunia inazunguka kwa kasi. Hata sauti ndogo iliyopenya masikioni mwake, alihisi kelele. Kichwa kilimuuma, aliumia moyo, kwani mapigo yalikwenda kwa kasi sana.

“Yaani Gozi amenifanyia hivi?” Reswita alijiuliza akiwa haamini kilichotokea. Ni kile alichotendwa asubuhi mapema ya siku hiyo na Gozbert ambaye ni mlishaji wa mifugo wa nyumbani kwake.

Akiwa katikati ya msitu wa mawazo, Roselyn ambaye ni rafiki wa Reswita aliingia. Alimkuta shosti wake akijitahidi kufuta machozi ili asijulikane kama alikuwa analia. Hata hivyo, haikuwa rahisi, alijua na akamuuliza:
“Shoga kulikoni?”
“We’ acha tu, sijui uso wangu nitauweka wapi?”

“Kuuweka wapi kivipi? Nini kimetokea?”
“Ni Gozi, huyu houseboy wetu anayelisha mifugo hapa nyumbani, amenikosea adabu, amenikwaza sana.”
“Kama amekukosea adabu si ungemshirikisha mumeo au umfukuze?”
“Kumwambia mume wangu haiwezekani, nikifanya hivyo ndoa itavunjika.”

Haikuwa uongo, kama mume wa Reswita, Diabi, angejua kilichotokea lazima talaka ingetoka. Kwa hulka za wanaume ni vigumu kuvumilia makosa mfano wa hilo. Zaidi ni kuwa alijitakia mwenyewe, alipokea mshahara wake. Baadaye akawa analia na kujuta ila majuto mjukuu.

Alijenga mazoea mabaya. Kwa vile yeye ndiye mama mwenye nyumba, mke wa bosi, basi kila alichotaka kufanya aliona kipo sahihi. Aliwanyanyasa sana wafanyakazi wake. Hakuhisi kama hao nao ni binadamu. Alidhihirisha dharau yake waziwazi.
Alikuwa na housegirl anayeitwa Moza ambaye naye alinyanyasika sana. Kuna nyakati Reswita alimshika Moza maeneo nyeti na hata kumuingizia vidole mahali patakatifu, eti akidai anamkagua kama ni msafi, kwamba hataki mtu asiyejipiga sopsop ndani ya nyumba yake.

Hakuishia hapo, akahamishia mashambulizi kwa Gozbert. Bila haya wala woga, Reswita aliingia chumbani kwa kijana huyo na kukagua nguo zake za ndani eti akiangalia usafi wake. Kipindi kingine usiku alimvamia chumbani kuangalia kama amelala ametandika kitanda.

Kwani hilo ni kubwa basi? Wakati mwingine Reswita aliingia chumbani kwa Gozbert asubuhi sana na kumuamsha awahi kwenda kuilisha mifugo. Alivyomuamsha ndiyo ugomvi mtupu, maana alimuamsha kwa kuuvuta mkwaju wa kijana huyo. Kama ujuavyo, muda huo mkwaju huwa umesimama dede sawia.

Gozbert akishaamka, Reswita alimuulia: “Unanikosea adabu siyo, hiyo bakora yako kwa nini unaisimamishia kwangu?”
“Hapana mama siyo hivyo,” Gozbert alijibu.

Aliendelea na tabia yake, siku moja Moza akiwa anateta na Gozbert, alisema: “Basi tu sema mimi ni mwanamke, ila kama ningekuwa kama wewe, lazima ningembaka siku moja ili ashike adabu.”

Maneno hayo yaliingia kichwani kwa Gozbert, alishinda nayo, akalala nayo. Alfajiri Reswita alipoingia chumbani kwake, wala hakufanya ajizi, alimziba mdomo, akamfunga mikono kitandani, akamuwekea vitambaa mdomoni, akambaka!

Kijana akanogewa, mzunguko wa kwanza ulipoisha alivuta pumzi na kuendelea na wa pili na tatu huku ‘wazungu’ akiwadondoshea ndani bila woga. Miezi tisa baadaye, Reswita alijifungua mtoto anafanana na Gozbert kila kitu. Kumbe siku ya kubakwa alipata mimba ila yeye hakujua, alidhani ni kazi ya mumewe.
CREDIT: GPL
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top