Saturday, December 20, 2014

MDAHALO WA KATIBA WAFANYIKA LEO MWANZA.


Aliyekuwa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akiwasili jioni ya leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Gold Crest jijini mwanza.

Umati wa watu waliojitokeza katika mdahalo wa Katiba katika Ukumbi wa Hoteli ya Gold Crest jijini mwanza.

Aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba Jaji msitaafu Joseph Sinde warioba amewahutubia wananchi jijini Mwanza kuhusiana na katiba inayopendekezwa na kuwashauri wananchi hao kuisoma kwa umakini kwanza kabla ya kuipigia kura kwani kuna baadhi ya vipengele vimentofolewa katika katiba hiyo.

Akizungumza  katika mdahalo maalum ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika hotel ya Gold Crest Warioba amesema kuwa watanzania kwa pamoja wapige kura ya ndiyo kama yale waliyoyapendekeza yamo kwenye katiba na wapige kura ya hapana kutokana na kuwa yale waliyoya pendekeza hayapo katika katiba hiyo.

OFFICIAL VIDEO: ALIKIBA - MWANA.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top