Tuesday, September 30, 2014

HAYA NDIO MAGALI MAWILI ALIYOPEWA WEMA SEPETU SIKU YA BERTH DAI YAKE.

 
Miss Tanzania 2006 ambae bado analinda jina lake lisipotee midomoni mwa watu Wema Abraham Sepetu, ameshangazwa na watu wake wa karibu kwa zawadi alizopokea.

Wema alipokea gari mbili ambapo moja alipewa na Mpenzi wake Chibu Dangote "Diamond Platnumz" aina ya Nissan Murano ipo kwenye hapo chini pamoja na BMW ambayo hii wengi hawakujua imetoka kwa nani lakini baadae ukweli umetambulika kwamba imetoka kwa Kaka Manager Martin Kadinda. Martin amemkabidhi Wema gari hilo pamoja na kadi ya Gari ikiwa imeandikwa jina lake.

 Hii ndio Nissan Murano aliyopewa na Diamond

Martin Kadinda akimuonesha Wema Sepetu kadi ya gari

Wema Sepetu baada ya kutoka nje na kuona gari hiyo

MSANII SHILOLE APOROMOSHEWA MATUSI MARA BAADA YA KUWEKA PICHA TATA KWENYE MTANDAO WA KIJAMII.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top