
Mkongwe wa uigizaji Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’
“Mimi nashangaa haya maneno yanatokea wapi sijui, lakini sipendi kusikia Steve Nyerere amejiuzulu na kama akijiuzulu, atakayekuja hawezi kuwa kama yeye ni mtu wa watu, hachagui habagui,” alisema.
ZIFAHAMU HATUA MUHIMU UNAPOFIKIRIA KUTONGOZA.

Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’
“Katika viongozi waliopita hakuna hata aliyeleta maendeleo ya klabu yetu zaidi ya majungu tu, hata hivyo mimi naona Steve yuko sahihi sielewi wenyewe wanajifikiriaje,” alisema.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment