Wednesday, August 27, 2014

LICHA YA DIMPOZI KUTAJWA VANESSA NA JUX YADAIWA NI WAPENZI PIA.


 MBONGO-Fleva anayefanya poa na ngoma yake ya Nitasubiri, Juma Mussa ‘Jux’ na staa mwenzake ambaye ana kofia nyingine ya utangazaji, Vanessa Mdee ‘V-Money’ wanadaiwa kuwa ni wapenzi, Risasi Jumatano limeinyaka.

Juma Mussa ‘Jux’ akiwa na Vanessa Mdee ‘V-Money’ wanaodaiwa kuwa ni awapenzi.

Madai ya wawili hao kuhusishwa kimapenzi yameendelea kujidhihirisha siku hadi siku na zaidi ni hivi karibuni walipokutana kwenye ziara ya Serengeti Fiesta 2014 mkoani Kagera na Tanga, ambapo muda mwingi walionekana kugandana kama luba hadi wenzao kudai kuwa walikuwa hata wakilala chumba kimoja hotelini.

Katika kuwafuatilia, mwanahabari wetu alifanikiwa kupata baadhi ya picha za matukio yao yaliyoonesha michakato na harakati zao za kimalovee zinavyokuwa siku zote.

Wakiteta jambo.

Jux na Vanessa, wakiwa mkoani humo walionekana muda mwingi wakiwa pamoja kwenye gari walipokuwa wakienda kumuona Babu Njenje na wakati wakiwa wanaelekea Uwanja wa Mkwakwani kwenye shoo.

JIONEE BAADHI TU YA MAMBO WAFANYIWAYO MABINTI WAENDAO COCO BEACH HAPA......

Hata baada ya Jux kushuka stejini, alionekana akiwa amekaa ‘very close’ na Vanessa huku wakiwa kwenye mazungumzo yaliyodaiwa ni ya kimahaba niue.

Wakiwa pamoja kama kumbikumbi.

Mwandishi wetu alifanya jitihada za kuzungumza na Jux juu ya uhusiano wao, lakini jamaa huyo alimchomolea kwa kusema kwamba hayuko tayari kuzungumzia ishu hiyo kwani Vanessa ni mshikaji wake tu na hakuna kibaya juu yao zaidi wanafanya kazi pamoja tu.

“Kiukweli sihitaji kuzungumza lolote juu yangu na Vanessa ila ni mwanamuziki mwenzangu hivyo tunafanya kazi pamoja,” alisema Jux.Vanessa kwa upande wake alipoulizwa juu ya ishu hiyo, alimtaka mwandishi wetu ‘kuipotezea’ habari hiyo kwani si muhimu kwa sasa.

MAINDA: NIMEFANYA SANA YALE MAMBO, SASA BASI!

Mbali na Vanessa, Jux aliwahi kudaiwa kutoka na mwigizaji Jacqueline Wolper na modo Jacqueline Patrick huku Vanessa naye akiwa alisharipotiwa kutoka na Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

PICHA NA VIDEO ZA SHILOLE AKIWA MZIWANDA KITANDANI ZAVUJA MTANDAONI, JIONEE MWENYEWE HAPA.
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top