Wednesday, August 13, 2014

Eti Rihanna Anataka Kuinunua Club ya Liverpool Liverpool;

 
Moja ya watu maarufu waliokumbwa na joto kubwa la soka wakati wa michuano ya kombe la dunia, alikuwa ni mwanamuziki  Rihanna.
Alikuwa akituma tweets karibia kwenye michezo yote na mwishoni alienda kuhudhuria fainali ya michuano hiyo iliyopigwa kwenye dimba la Maracana kati ya Ujerumani dhidi ya Argentina.

Siku kadhaa nyuma gazeti la Daily Mail la Uingereza liliripoti kwamba staa huyo alikuwa anajiandaa kununua hisa kwenye moja ya vilabu vikubwa nchini Uingereza, lakini hawakutaja jina la timu.
Lakini leo hii Jumanne, gazeti moja huko Catalunya liitwalo El Mundo Deportivo limethibitisha kwamba Rihanna anataka kununua hisa nyingi kwenye klabu ya Liverpool.

Rihanna amewahi kuripotiwa kwamba anaishabikia klabu ya Liverpool, jambo ambalo inawezekana El Mundo Deportivo wamemhusisha na ununuzi wa klabu hiyo ya Anfield.
Liverpool kwa sasa inamilikiwa na mmiliki wa makampuni ya American Fenway Sports Group  John W. Henry.
 
One of the undoubted social media stars of the 2014 World Cup was pop princess Rihanna.
She Tweeted throughout almost every game and made an appearance at the final in Rio before partying with the victorious Germany players after their World Cup final win over Argentina.
The Daily Mail originally reported a few days ago that Rihanna was interested in buying a Premier League team, but did not specify which club.

On Tuesday, Catalan paper El Mundo Deportivo have confirmed that the club Rihanna wants to buy is none other than Liverpool!

It is understood that Rihanna has taken advice from Chelsea striker Didier Drogba on what club to move for but the Blues would be hugely difficult to buy due to Roman Abramovich’s ownership.
Rihanna has once claimed she is a Liverpool fan, which is perhaps why El Mundo Deportivo have linked her with a move for the Anfield club.


Bonyeza Like HAPO JUU USHINDE ZAWADI YA BAHATI NASIBU WAWEZA SHINDA HADI MILLION MOJA.

Liverpool are currently owned by the American Fenway Sports Group and whilst we suspect John W. Henry and co would love to get Rihanna on board in some capacity, they are unlikely to sell control of the club having made so much progress in recent years.
Both on the pitch and off it, with the redevelopment of Anfield.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top