Thursday, June 26, 2014

Picha za Mashabiki wa Yanga wakimlaki Marcio Maximo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.


Kocha mpya wa Yanga SC, Marcio Maximo baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar.

Polisi akidumisha ulinzi wakati wa mapokezi ya Maximo.

Maximo akiwanyooshea mkono mashabiki wa Yanga.

Mashabiki waliofika kumpokea Maximo.

Mashabiki wa Yanga wakipozi na kocha wao mpya.

Kocha Marcio Maximo ametua jijini Dar muda mfupi uliopita kwa ajili ya kukamilisha mchakato wa kuanza kuifundisha timu ya Yanga. Maximo amepokelewa kwa shangwe katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na mashabiki wa Yanga.

Ungependa stori kama hizi zisikupite na zikufikie wakati wowote? niko tayari kukutumia wakati wowote iwapo utajiunga na mimi kwa kubonyeza Like hapo juu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top