Monday, June 30, 2014

Mme wa mtu azua timbili na kahaba baada ya kudaiwa kushindwa kulipa kiasi chote cha pesa walichopatana.

 Watu waliokuwa kwenye baa jirani na eneo mzozo ulipotokea walikuja kumnusuru jibaba huyo ambaye alifyatuka mbio misili ya farasi baada ya kuokolewa kutoka mikononi mwa Jidada hilo.

Jidada hilo likitulizwa na wasamalia wema baada ya Mzozo.


Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top