Thursday, June 5, 2014

LUCY KOMBA: NIACHENI NIDENDEKE NA MZUNGU WANGU KWANI ANA MALENGO NAMI.

Msanii wa filamu za Kibongo, Lucy Komba akiwa na mchumba wake aliyetambulika kwa jina la Janus.
MSANII
wa filamu za Kibongo, Lucy Komba amefunguka aachwe adendeke hadharani na mpenzi wake Mzungu Janus kwani ni mtu mwenye malengo naye.

Akizungumza na mwandishi wetu mara baada ya kuhojiwa juu ya picha zilizozagaa mitandaoni, Lucy alisema kuwa picha hizo alizipiga akiwa na mchumba wake huyo kwa hiari yake.

“Huyo mzungu ni mchumba wangu wa siku nyingi anaitwa Janus, tunapendana sana ndiyo maana sijaficha kitu niliamua kuziweka picha hizo kwenye ukurasa wangu wa Instagram. Niacheni nifanye yangu,” alisema Lucy.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top