Goli la Costa Rica lilifungwa kwenye dakika na B. Ruiz 44' na limedumu hadi mechi kwisha.
Italy watajilaumu wenyewe kwani walikuwa hawampatii Baloteli mipira mtu ambaye angeweza kubadilisha matokeo na waliruhusu Costa Rica wamthibiti vizuri pirlo mtu anayeichezesha timu hivyo watakuwa na kibarua kigumu kushinda mechi ya mwisho ili wapita la sivyo wametoka.\
Ikumbukwe kuwa mechi ya mwisho watacheza na Uruguay Suarez ambaye amepona na yuko fit.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment