Friday, June 6, 2014

BABY MADAHA: SIAMINI MPAKA NIONE MAKABURI


MSANII
wa filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ambaye kwa sasa yuko Kenya amesema kuwa, haamini kama kweli wasanii wa filamu Recho Haule na Adam Kuambiana wamefariki dunia mpaka siku atakapoyaona makaburi yao.
Akizungumza na Ijumaa kwa njia ya simu, Madaha alisema ameshitushwa na vifo hivyo na vimemfanya akose amani kutokana na namna walivyoondoka duniani ghafla.

“Nilitamani sana kuwepo lakini niko mpakani mwa Kenya na Uganda kuna ziara maalum ya kikazi naifanya.Yaani bado siamini kama kweli wamefariki, mpaka nije nione walipozikwa,” alisema Baby Madaha.

Tafadhali bofya like hapo juu kama bado hujabofya upate habari mpya haraka

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top