Marehemu Rachel Haule 'Recho' enzi za uhai wake.
MSANII wa filamu Rachel Haule 'Recho' aliyefariki
dunia siku ya jana atazikwa jijini Dar es Salamm siku ya kesho badala
ya Songea kama ilivyopangwa hapo awali.
Ratiba ya kuuaga mwili wa
marehemu inabaki pale pale siku ya kesho Leaders Club na baadae kwenda
kuzikwa katika makaburi ya Kinonondoni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment