Saturday, April 26, 2014
Tuwaenzi waasisi wa muungano.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa
ameshikilia picha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage huku Rais
wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwa
ameshikilia picha ya Rais wa kwanza wa Zanzibar Sheikh Abeid Amani
Karume baada ya kuzipokea kutoka kwa vijana waliofanya matembezi ya
Uzalendo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment