Binti alipost picha yake ambayo imeelezwa kuwa ni ya nusu uchi kwenye
page yake ya facebook na kama kawaida ya internet ikasambaa
ghafla.
Mama wa binti huyo baada ya kusikia hizo habari hakuweza kujizuia na
kumpa kichapo kikali kwa kuchapa na mkanda binti yake huyo mwenye umri
wa miaka 12.
Baada ya video hii kusambaa mama huyo raia wa Trinidad and Tobago
amesema hajilaumu kumchapa mwanae na wala haogopi kwenda jela kwasababu
alikuwa anamuonyesha mwanae njia nzuri ya kuishi.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment