Monday, April 28, 2014

Angalia picha za mshikaji aiyenaswa akimla udenda mdada ndani ya DCM la Gungulamboto lilojaa kupindukia.

Watu hawana hata aibu kwani kubabanana mno kulisababishwa jamaa na manz mmoja ndani ya DCM linalofanya safari zake kati ya Ubungo na Gungulamboto kulambana LIVE wakiaamini kwa vile ilikuwa usiku na watu walijaa kiasi cha kukosa hata nafasi ya kugeuka ili watu wa jinsia Tofauti wasitazamane kushindikana Ndipo wawili hao walifanya Tukio hilo lililomshitua Mother mmoja mtu mzima aliewajia juu na kuleta Zogo ndani ya gari hilo.

Baada ya Zogo kuwa kubwa walijisikia aibu sana hali iliyowalazimu kuteremka maeno ya Tazara wakati safari yao ya GungulaMboto ilikuwa Bado.

Sijui nn kiliendelea manake Mpiga wetu aliyeripot taarifa anasema yeye aliendelea na Safari ya Gungula Mboto.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top