Leo tunawashauri akinadada muwapo chumbani hasa maeneo ya joto kuvaa vazi la khanga kama inavyoonesha hapo.
Tuesday, March 11, 2014
Vazi hili linamvuto sana ukilivaa ukiwa na mumeo chumbani.
Kuna aia ya mavazi ambayo yanastaili kuvaliwa sehemu fulani ili kulingana na hali ya mazingira ya eneo husika.
Leo tunawashauri akinadada muwapo chumbani hasa maeneo ya joto kuvaa vazi la khanga kama inavyoonesha hapo.
Ila kwa wale munaishi sehemu za baridi kama Njombe na Makete msiige vazi hilo kwani mnaweza pata maradhi bora ujitupie nguo za joto.
Leo tunawashauri akinadada muwapo chumbani hasa maeneo ya joto kuvaa vazi la khanga kama inavyoonesha hapo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment