hayo yamekuja baada ya mechi ya leo kushinda goli 4 bila dhidi ya Totttenham na kuwa kileleni mwa EPL kwa point 71 mbele ya Chelsea yenye 69 na Man city yenye 67.
Kinachowafanya waombe ni kwamba wamecheza game 32 na City wamecheza game 30 hivyo ni kama city wana point 6 mkononi.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment