Rahma Bagenzi ‘Rayuu’
Akipiga
stori na paparazi wetu, Rayuu alisema kipindi cha nyuma aliwahi kutoka
kimapenzi na mume wa mtu (hakumtaja jina) na kufikia hatua ya kufikishwa
polisi na mwenye mke lakini haimaanishi kuwa hatatembea tena na mume wa
mtu.
“Nikila kiapo cha kutotembea na waume za watu nitakuwa naongopa, kwanza dini yetu imeruhusu ndoa za uke wenza huenda Mungu kaniandikia niolewe ndoa ya aina hiyo sina uwezo wa kupingana naye,” alisema Rayuu.
CREDIT: GPL
“Nikila kiapo cha kutotembea na waume za watu nitakuwa naongopa, kwanza dini yetu imeruhusu ndoa za uke wenza huenda Mungu kaniandikia niolewe ndoa ya aina hiyo sina uwezo wa kupingana naye,” alisema Rayuu.
Tafadhali bofya like kama bado hujabofya kwenye page yetu


0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment