Saturday, February 22, 2014
Mwanafunzi ajidunga kisu baada ya kufeli kidato cha nne.
Kijana ambae jina lake halijafamika mpaka sasa,anayeishi mwnanyamala dar es salaam ambaye inasemekana kuwa ni mwanafunzi ambae alimaliza kidato cha nne mwaka jana yan elfu 2013 alikutwa amejichoma kisu shingoni na kuwahishwa hospital ,huku chanzo kikisemekana kuwa ni matokeo yako ya kidato cha nne,matokeo yake hayakuwa mazuri maana amefeli kwa kupata zero.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment