Katibu wa Chadema Wilaya ya
Iringa Vijijini, Felix Nyondo (kulia) akipokea fomu kutoka kwa Mwalimu
Vitus Lawa (kushoto). Fomu hizo ni kwa ajili ya kuwania kinyang'anyiro
cha kuwa mgombea wa Chadema Jimbo la Kalenga, Iringa.
Baadhi ya wadau
waliomsindikiza Mwalimu Vitus Lawa kurejesha fomu za kuchaguliwa kuwania
Ubunge wa Jimbo la Kalenga katika ofisi za chama hicho zilizoko kata ya
Gangilonga, Iringa.
Mwalimu Vitus Lawa akizungumza
na waandishi (hawapo pichani) baada ya kurudisha fomu za kuwania
kuchaguliwa Ubunge wa Jimbo la Kalenga katika ofisi za chama hicho
zilizoko Kata ya Gangilonga, Iringa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment