Wednesday, February 12, 2014

Mwalimu ajitokeza kuwania uwakilishi wa CHADEMA katika kinyang'anyiro cha ubunge Kalenga.

Katibu wa Chadema  Wilaya ya Iringa Vijijini, Felix Nyondo (kulia) akipokea fomu kutoka kwa Mwalimu Vitus Lawa (kushoto). Fomu hizo ni kwa ajili ya kuwania kinyang'anyiro cha kuwa mgombea wa Chadema Jimbo la Kalenga, Iringa.





Baadhi ya wadau waliomsindikiza Mwalimu Vitus Lawa kurejesha fomu za kuchaguliwa kuwania Ubunge wa Jimbo la Kalenga katika ofisi za chama hicho zilizoko kata ya Gangilonga, Iringa.


Mwalimu Vitus Lawa akizungumza na waandishi (hawapo pichani) baada ya kurudisha fomu za kuwania kuchaguliwa Ubunge wa Jimbo la Kalenga katika ofisi za chama hicho zilizoko Kata ya Gangilonga, Iringa.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online