Thursday, February 13, 2014

Liverpool waponea chupu chupu kwa Fulham,wakati Man Utd na Arsenal washindwa kutambiana.

FT Arsenal 0-0 Man Utd
Mechi za jana ilikuwa ni ivumbi hasa kwani point tatu zilikuwa muhimu sana kwa kila timu lakini mambo hayakwenda kama ilivyotarajiwa na wengi.

Katika mechi ya kwanza majira ya saa 22:45GMT Arsenal wakiwa nyumbani kwao walienda sare ya 0-0 na Man Utd.


FT Fulham 2-3 Liverpool

Katika Mechi nyingine Liverpool walinusurika kwenda sare ya 2-2 ambapo penati ya dakika ya 91 aliwapa hauheni na wakampa Gerald apige na kiifanya ishide 3-2 dhidi ya Fulham.
Wafungaji wa LIver walikuwa ni D. Sturridge (41), Philippe Coutinho (72), S. Gerrard (Pen 90+1) wakati wale wa Fulham ni K. Touré (OG 8), K. Richardson (63).

FT Newvastle 0-4 Tottenham
Mechi nyingine ya kusisimua jana ni ile ya Emmanuel Adebayor yaani Spurs walipoitupia Newcastle 4-0 uwanjani kwao.
Wafungaji wa spurs walikuwa ni E. Adebayor (19, 82), Paulinho (53), N. Chadli (88).

Msimamo ni huu baada ya mechi za jana
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top