Monday, February 17, 2014

Jamaa amgwaya mgoni na kumpa kichapo mkewe baada ya kuliwa uroda usiku kucha na mshikaji huyo.

Hapa akiwa amelala hajitambui baada ya kupata kipigo
Tukio hili limetokea leo asubuhi ,katika mji wa Iringa maeneo ya mwangata. Paparazzi wetu alifanikiwa kulinasa hili tukio.Jamaa mmoja jina halikuweza kupatikana amemfumania mkewe gesti baada ya kumfumania alichokifanya ni kumruhusu yule mwanaume aliyemfuma na mke wake nakusema jamaa hana kosa mwenye kosa ni mke wake.Jamaa akazidi kufunguka nakusema mke 
wake alitakiwa kukataa alipotongozwa moja kwa moja mke wangu ndiye mwenye makosa huyu mgoni hana kosa kabisa.

Kilichofuata baada ya hapo alimpa kichapo kikali kama unavyoona kwenye picha. Mwisho wa siku akambeba na kurudi naye nyumbani maeneo ya mwembetogwa ili kumfungashia mizigo yake na kumrudisha kwa wazazi wake. 





 Hapa wananchi wakiwa wanashudia jamaa akimpa kichapo mkewe baada ya kumfumania
 
Picha hii jamaa amembeba mke wake baada ya kumfumania na kumpa kipigo kikali wakielekea nyumbani
Maoni yetu: Ukimegewa sh wako basi komaa na aiyekumegea mbona waleta ujinga kumpiga mkeo.  
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top