Tukio
hili limetokea leo asubuhi ,katika mji wa Iringa maeneo
ya mwangata. Paparazzi wetu alifanikiwa kulinasa hili tukio.Jamaa mmoja
jina halikuweza kupatikana amemfumania mkewe gesti baada ya kumfumania alichokifanya ni kumruhusu yule mwanaume aliyemfuma na mke wake nakusema jamaa hana kosa mwenye kosa ni mke wake.Jamaa akazidi kufunguka
nakusema mke
wake alitakiwa kukataa alipotongozwa moja kwa moja mke wangu ndiye mwenye makosa huyu mgoni hana kosa kabisa.
Kilichofuata baada ya hapo alimpa kichapo kikali kama unavyoona kwenye picha. Mwisho wa
siku akambeba na kurudi naye nyumbani maeneo ya mwembetogwa ili
kumfungashia mizigo yake na kumrudisha kwa wazazi wake.
Picha hii jamaa amembeba mke wake baada ya kumfumania na kumpa kipigo kikali wakielekea nyumbani
Maoni yetu: Ukimegewa sh wako basi komaa na aiyekumegea mbona waleta ujinga kumpiga mkeo.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment