Unaambiwa siu hiyo ni ruksa kwa yeyote unayemkuta barabarani kumpiga busu .Sipati picha kama ingekuwa hapo bongo namna ambavyo vijana wangechangamkia fursa hii.
Ama kweli duniani kuna mambo na visa haviishi kila siku binadamu anabuni wazo jipya pengine wazo linaweza kuwa lakijinga ila likawa kivutio kwa wengi.. wazo hili ni hili la kuanda mashindano ya kupigana mabusu katika style ya kipee..ilianzia china ikaenda mpaka thailand wapenzi walioshinda walibusiana kwamuda wa masaa mawili na dakika 43.2 hours and 43 minutes
shindano hili hufanyika kila mwaka katika sikukuu za wapendanao yani Valentine's Day
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment