Naibu Katibu Mkuu CCM Bara,Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Njombe wakati alipotembelea Ofisi Mpya ya Hazina Ndogo Mkoa wa Njombe mapema leo Asubuhi ya Tar.30/01/2014
Naibu Katibu Mkuu CCM Tanzania Bara Mh;Mwigulu Lameck Nchemba akibadilisha mawazo na Mkuu wa Wilaya wa Wanging'ombe Wakati wakitoka Kutembelea Ofisi Ndogo Mkoa wa Njombe.
Mh;Mwigulu Nchemba akioneshwa moja ya Chumba cha Mapokezi ya Wageni kwenye Ofisi za Hazina Ndogo.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment