Thursday, November 20, 2014

HALIMA KIMWANA: SIHUSIKI KAMWE UHUSIANO WA DIAMOND NA ZARI.

Mdada wa mjini ambaye ni dada wa hiyari wa msanii, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Halima Kimwana amedai kuwa hahusiki na uhusiano unaoendelea kati ya kaka yake huyo na mrembo kutoka Uganda, Zari.

Dada wa hiyari wa msanii, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Halima Kimwana akipozi naye..

Akizungumza na waandishi wetu, Halima alisema kuwa hawezi kuzungumzia suala lolote la Diamond na uhusiano wake na Zari kwa kuwa hahusiki na jambo lolote kati yao.

“Jamani mimi sifahamu chochote na siwezi kuzungumzia kwa kuwa sijui na sihusiki,” alisema Halima anayedaiwa kumuunganishia Diamond kwa mademu kibao japo tuhuma hizo anazipinga.

Cossy Orjiakor:: 'You don’t have to Work Very Hard to Get Money".


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

JIONEE HAPA OFFICIAL VIDEO: DIAMOND PLATNUMZ - NITAMPATA WAPI

VIDEO HIYO HAPO CHINI

Cossy Orjiakor:: 'You don’t have to Work Very Hard to Get Money".



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Van Gaal: Messi and Ronaldo don't deserve Ballon d'Or.

Louis van Gaal is expecting either Lionel Messi or Cristiano Ronaldo to win the Ballon d'Or but feels one of Germany's World Cup-winning squad would merit the award more.

The Barcelona and Real Madrid stars are favourites to be crowned on January 12, 2015, but the Manchester United manager feels the pair do not deserve the honour.

Messi, a four-time winner, was handed the Golden Ball at the World Cup after helping Argentina to the final while Ronaldo, a two-time winner, lifted the Champions League with Real Madrid.

But Van Gaal feels a member of the triumphant Germany squad would be more worthy victors, with Toni Kross, Philipp Lahm, Thomas Muller, Manuel Neuer, Bastian Schweinsteiger and Mario Gotze all nominated.

"Most of the time it is always the well known players [who win the Ballon d'Or]," he told MUTV.

"It is more for the football world and outside world than for other things I believe. I think it will be Ronaldo or Messi but I want to say that you have to win something.

"The best thing to win is the World Cup. I hope it shall be a German player because they deserve it.

"The level of the Bundesliga matches is also very high so I think it should be a German player."

Umeipata hii ya Mwanamke aliyekaa Mochwari kwa saa 11, HII HAPA..


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Wednesday, November 19, 2014

Umeipata hii ya Mwanamke aliyekaa Mochwari kwa saa 11, HII HAPA..


Ya leo inaweza kuwa moja kati ya zilizowahi kukushangaza zaidi, inahusu mwanamke Janina Kolkiewicz raia wa Poland, mwenye umri wa miaka 91 ambaye amekaa kwa muda saa 11 katika chumba cha kuhifadhia maiti huku mwili wake ukiwa ndani ya jokofu baada ya kuthibitishwa na daktari wa familia yake kwamba amefariki, muda mfupi baadaye wahudumu wa mochwari waligundua kwamba ni mzima baada ya kuhisi anatikisika ndani ya mfuko alimowekwa.

Baada ya kurudi nyumbani kwake akitokea mochwari, alilalamika kuhisi baridi kali na kupatiwa bakuli la supu ya moto na mkate.

Daktari aliyethibitisha mauti ya mtu huyo anasema hata yeye anashangazwa na tukio hilo kwani vipimo vyote vilionyesha kuwa mapigo ya moyo yalisimama na hakuwa hai.

Taarifa za kuwa hai mwanamke huyo zilimshtua kila mtu kwenye familia yake na kujikuta ikibatilisha hati ya kifo iliyotolewa kwa ajili ya mazishi yake ambayo yalipangwa kufanyika siku mbili baadaye..

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

HALI ILIVYO HONG KONG LEO.

 Polisi wakikabiliana na waamdamanaji waliotaka kuingia bungeni jijini Hong Kong leo.

Baadhi ya silaha walizotumia waandamanaji kujaribu kuingia bungeni.

VURUGU zimezuka kati ya polisi na kundi dogo la waandamanaji waliokuwa wakitaka kuingia bungeni asubuhi hii jijini Hong Kong nchini China.

Baadhi ya waandamanji hao wakiwa wamevaa mask walitumia vyuma kujaribu kuvunja mlango mmoja wa pembeni wa bunge kabla ya kudhibitiwa na polisi walioamua kutumia maji ya kuwasha kuwatawanya.

Takribani wiki nane sasa waandamanaji wamekuwa wakiandamana kudai demokrasia katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo la Hong Kong.

Tazama Video ya gari Mupya kabisa la aina yake lililotengenezwa Afrika Mashariki.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Cossy Orjiakor:: 'You don’t have to Work Very Hard to Get Money".

Who else agrees with heavily endowed Nollwood actress Cossy Orjiakor? In a new interview with Encomium magazine, here's what Cossy had to say when she was asked why her acting and music career has not been on the rise. Excerpts:

What has been happening to your acting career?

I just got back from location. I featured in a movie entitled, Beach 24. It is produced by Ahumadu. My character is more like a mermaid in the movie.

sponsored post

The tale is that you don’t get movie roles again?

That is not true. Of course, I get offers but I am very choosy. I don’t just accept roles like that. If the

pay is very okay, if I have a couple of friends among the people on location I can go for it. It can be stressful going to locations when the pay is not good. At this stage, I should be the one giving out roles. I am old enough to start producing movies myself.

How many films have you featured this year?

I think one. If I do a movie a year, it is okay for me. It is all about comfort not competition. I started acting in 2012 when I came to Lagos, I was in Dark Angels, One Million and some others.

What about your music career?

I take life easy. I am not in a competition. I am in a league of my own. When I am in the mood, I will do my music. I have released a video this year entitled, Sexual Seduction. I featured Durella.

What else fetches you money?

You don’t have to work very hard to get money, just work smart. People can pay you a huge amount just as a guest appearance. You will go there enjoy yourself, have champagne, that is all.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

NABII NAYE AIBUKA NA YAKE KUHUSU URAISI 2015.

 Nabii wa Kanisa la The Revelation lililopo Buza Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera.

Akizungumza wakati wa ibada kanisani kwake na baadaye na waandishi wetu Novemba 16 mwaka huu, Nabii Yaspi alisema kuna mgongano mkubwa miongoni mwa watu wanaotajwa kugombea urais, ili kumrithi rais Jakaya Kikwete ambaye alimwelezea kama kiongozi anayemuona kiroho kila mara.

“Nilimuona katika maono yangu kama mtu aliye kwenye majaribu makubwa kiroho, nikaandaa maombi hapa kanisani na tukamuombea kwa muda wa nusu saa na tunashukuru Mungu hali yake inaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume nchini Marekani. Bado namuona akiwa na maumivu kuanzia sehemu za kiuno, uti wa mgongo na shingoni mwake.

Mhe. Edward Lowasa.

“Hivi sasa ninapomuombea atasikia moto unawaka na kupita kwenye sehemu hizo na kuwa mzima kabisa. Tunamuombea baraka na uzima rais ili aweze kukabidhi madaraka vizuri kwa rais ajae,”alisema Nabii huyo na kuongeza kuwa alilazimika kumuombea rais ili asipatwe na madhara kwani kama hali hiyo ingetokea, kungekuwa na vurugu kubwa kuelekea wakati wa Uchaguzi mkuu.

Waandishi wetu waliokuwa eneo la tukio walimshuhudia Nabii Yaspi akiwa ameshika picha ya Rais na waumini wake wakizama katika maombi kwa ajili ya Rais Kikwete huku na walipomaliza alisema tatizo lake limemalizika.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda.

Kana kwamba haitoshi, Nabii huyo alisema baadhi ya wagombea urais wanapita kwa waganga wa kienyeji lakini akasema hawatafanikiwa kwa kuwa yeye anaomba Rais ajaye atoke kwa Mungu kwa kuwa yeye atakuwa nyuma ya mgombea huyo bila kujali chama anachotoka.

Nje ya ukumbi wa kanisa, Nabii huyo alizungumza na waandishi wetu ambao walimuuliza kuhusu jinsi anavyoona kuelekea uchaguzi mkuu wa mwakani.Vipi kuhusu utafiti wa Twaweza

Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba.

Kuhusu utafiti uliotolewa hivi karibuni kuhusiana na uchaguzi mkuu kama ulivyowasilishwa na taasisi ya Twaweza, ambao umewagawa wananchi, Nabii huyo alisema anaunga mkono kwani umefanywa kwa usahihi kwa vile ndivyo hata yeye anavyoona.

“Utafiti umefanywa vizuri na nadhani kila kitu kipo kama kilivyoainishwa, lakini kama walivyosema wenyewe kwenye ripoti yao, upepo unaweza kubadilika wakati wowote maana miujiza ya Mungu huja bila kutarajiwa,” alisema.Nani atashinda Urais?

Wazari wa mambo ya nje Benard Membe.

“Hivi unauliza swali kama hilo kweli wakati huu? Ripoti iliyotolewa imemaliza kila kitu na majibu yako wazi kabisa,” alisema nabii huyo bila kutoa ufafanuzi zaidi.

Utafiti uliotolewa na taasisi hiyo ya Twaweza uliotolewa hivi karibuni, ulisema kuwa endapo Uchaguzi mkuu wan chi ungefanyika hivi sasa, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa angeibuka mshindi, huku akifuatiwa kwa karibu na Waziri Mkuu wa sasa, Mizengo Pinda na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa akiibuka katika nafasi ya tatu.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

BINTI WA KIARABU ALEWA, AFANYA VIOJA VYA KUWAKATIKIA WANAUME VIBAYA HADI MMOJA AKA......

POMBE si chai! Binti mrembo mwenye asili ya Kiarabu ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akifanya vioja baada ya kulewa chakari na kusababisha midume kumtolea udenda, Ijumaa Wikienda lilimpiga chabo.

Binti huyo ambaye hakufahamika jina lake mara moja akifanya yake.

Tukio hilo la aibu lilijiri kwenye onesho la Kundi la Mashauzi Classic ndani ya Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar ambapo lilikuwa likitambulisha albam yake mpya ya Sura Surambi, Sura Siyo Roho.

...Akizidi kuserebuka ndani ya ukumbi huo.

Awali binti huyo alionekana ukumbini humo akiwa mpole na mwenye sura ya soni huku akipata kilaji polepole kabla ya kumkolea na kuwa staa wa kubinuka kihasarahasara na kumwaga ‘lazi’ mbele ya kadamnasi huku akiacha sehemu ya maungo yake nyeti kweupe.

“Jamani pombe mwanaharamu. Muone yule binti wa Kiarabu, kaja mpole lakini hebu ona vituko utadhani kuna skruu imefunguka kichwani,” alisema mmoja wa mashuhuda.Katika hali iliyoonekana kuzidi kuelemewa na kilaji, binti huyo alianza kuwavaa wanamuziki stejini na kuwakumbatia kisha kuinua mguu na kurusha mateke ya kinyumenyume kama mwanasoka, Cristino Ronaldo wa Real Madrid.

Vioja vya binti huyo havikuishia hapo kwani aliwavaa wanaume na kuwakatikia vilivyo.
Wakati tukio hilo likiendelea, jamaa mmoja alimfuata akidai ni mkewe ambapo alimfokea mwanahabari wetu akimtisha kwamba endapo akiziona picha gazetini atamfanya lolote akafie jela Segerea.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

AMFUMANIA MUMEWE, AJISAULA HADHARA MBELE ZA WATU! MWONE HAPA...

HATARI! Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Tatu Ikoko mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, hivi karibuni alifunga mtaa kwa kutembea bila nguo baada ya kumfumania mumewe akiwa na mwanamke mwingine.

Mwanamke anayejulikana kwa jina la Tatu Ikoko akitishia kusaula mbele ya watu.

Chanzo chetu cha kuaminika kilisema mwanamke huyo aliondoka nyumbani kwake usiku wa Ijumaa iliyopita na aliporejea asubuhi, alimkuta mwenzake akiwa na kigori mwingine ndani ndipo alipopagawa.

“Alitoka usiku mzima akarudi saa moja asubuhi akamkuta bwana’ke yuko na mwanamke mwingine ndani,  akaanzisha vurugu, akavua nguo na kubaki na kanga moja na kuanza kupita mtaani huku akisema nivue nisivue na watu wakawa wanamuitikia vua.

Tatu Ikoko akiwa katika hali ya kuvurugwa baada ya kumfuma mumewe na hawara.

“Baada ya hapo tu watu wazima na mashosti zake  walimshika na kumsitiri, akaja bwana’ke akamchukua wakaenda nyumbani kwao,” kilisema chanzo hicho.

Chanzo kiliendelea kufunguka kuwa tukio hilo siyo mara ya kwanza kwa mwanamke huyo kwani alishawahi kufanya hivyo akiwa na mwanamume mwingine aliyejulikana kama Kisiso mtaani hapo na waliachana kwa tabia hiyo.

Majirani wakimsitiri Tatu Ikoko.

“Akiwa na mwanaume halafu akamfumania, ndiyo huwa anafanya hivi na yule mshikaji wa kwanza kwa aibu ilibidi ahame, sasa hivi anaishi Mbagala,” kilisema chanzo hicho.imeandikwa na shani ramadhani na mayasa mariwata.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Sunday, November 16, 2014

MAONESHO YA WADAU WA GESI NA OIL YAENDELEA MKOANI MTWARA.

 Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Wilman Ndile akizungumza na wafanyakazi wa benki ya Stanbick jana wakati alipotembelea banda lao katika maonesho ya wadau Gesi na Oil yanayoendelea mkoani Mtwara.

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Wilman Ndile akizungumza na Ofisa wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali TSN, Francis Kihinga wakati walipokutana kwenye mkutano wa wadau wa gesi unaoendelea mkoani Mtwara, TSN ni moja kati ya wadhamini wa mkutano huo.

Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye maonesho ya bidhaa za wadau mbalimbali wa madini yaliyofanyika sambamba na mkutano huo. Maonesho hayo yalifanyika katika umbi wa Mikutano wa Chuo cha Veta Mtwara wakati Mkutano wa wadau ulifanyika katika hoteli ya Naf.

Afisa Matekelezi wa NSSF mkoani Mtwara, Jamila Mfanga akimkabidhi wa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Wilman Ndile vipeperushi vya bidhaa zake.

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Wilman Ndile (kushoto) akiangalia bango la mafunzo ya Chuo Kikuu Huria ambao walifungua chuo chao mkoani humo, nao walikuwa ni baadhi ya waliojitokeza kwenye maonesho hayo pia pembeni yake ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho Tolly Mbwete.

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Wilman Ndile (kushoto) akiwaonesha baadhi ya wageni waliohudhuria mkutano wa kujadilia masuala ya gesi na Mafuta unaoendelea mkoani Mtwara, katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta binafsi nchini (TPSF) Godfrey Simbeye pembeni Mwenyekito wa Bodi ya Ushauri wa Madini, Richard Kasesela.


Tazama Video ya gari Mupya kabisa la aina yake lililotengenezwa Afrika Mashariki.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Saturday, November 15, 2014

MAYA APIGWA MAOMBI MAZITO NA KUZUIWA KUNYWA POMBE NA KUACHA MITUNGI.

Muigizaji wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’.

MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amezuiwa kunywa pombe baada ya kuangushiwa maombi mazito na kushauriwa kubadilika kitabia.

Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, juzikati Maya alifika katika kanisa moja lililopo Mbezi jijini Dar na kuombewa kisha mchungaji wa kanisa hilo akamzuia kunywa pombe.

“Kazuiwa lakini najua kwake itakuwa mtihani, sidhani kama ataacha kweli,” kilisema chanzo hicho.
Alipotafutwa Maya, alikiri kuombewa lakini alipotajiwa suala la kuzuiwa pombe na kama ataweza kweli kuacha, alikata simu ghafla.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

UNYAMA!! MWANAMKE MGONJWA ABAKWA NA WAFANYA KAZI WA HOSPITALI NDANI YA HOSPITALI YA SERIKALI.

Mwanamke nchini Pakistan Polisi nchini Pakistan wanawashikilia wanaume watatu kwa kosa la utumizi dawa za kulevya na ubakaji kwa mgonjwa aliyefuata matibabu katika hospitali ya serikali. Mwanamke huyo, ambaye alijifungua hivi karibuni,alikwenda katika eneo la Burewala Mashariki ya jimbo la Punjab,iliko hospitali hiyo na alikwenda hapo akiwa na mumewe pamoja na mtoto wao mchanga kwa uchunguzi wa kitabibu.

Mume wa mwanamke huyo alimwacha mkewe kitambo kifupi tu na aliporejea eneo alipokuwa ,hakumkuta ila mtoto na begi la mwanamke huyo vimetelekezwa. Saa kadhaa baadaye,alimpata mkewe akiwa amelala katika chumba chenye kiza ,kilichomo katika hospitali hiyo na kuthibitika kuwa amebakwa .

 Baada ya fahamu kumrejea mwanamke huyo alisema kwanza alichomwa sindano na wanaume hao watatu kisha wakaanza kumbaka kwa zamu. Wanaume wote hao ni wanafanya hospitalini hapo.

Wema Sepetu Releases Picha kali sana Baada ya kuzinguana na Jamaa, Zicheki Hapa kweli Kaumbika



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

MGAWO MALI ZA JIDE, GARDNER UTATA MTUPU.


 HALI tete! Bado vuguvugu la madai ya kuvunjika kwa ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni’ na Mbongo Fleva, Judith Daines Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide’, sasa lingine limeibuka ambapo mali za wawili hao zinatajwa kuzua utata, Risasi Jumamosi  linachambua.

Mbongo Fleva, Judith Daines Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide.

Kwa mujibu wa chanzo cha ndani, Gardner ameshapeleka hati ya kesi kwa mwanasheria wake kwa kusudio la kumpandisha kizimbani mtalaka wake huyo ili mgawo wa mali ujulikane na kila mmoja apate haki yake.

KILICHOZINGATIWA
Kilichozingatiwa katika mgawo huo ni uhalali wa ndoa yao iliyofungwa Mei 14, 2005 ambapo mali zote zilizopatikana ndani ya ndoa ni za wote kwa mujibu wa sheria ya Ndoa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nyumba anayomiliki Judith Daines Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee na aliyekuwa mumewe Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni.

“Gardner anataka mgawo wake, lakini sasa utata ulioibuka ni kwamba, inaonekana kama mali zote ni za Jide kwa vile zimeandikwa majina yake hivyo jamaa ana wasiwasi kwamba Jide anaweza kusema mahakamani kuwa alizichuma mali hizo kabla ya ndoa,” kilisema chanzo hicho kilicho jirani na familia hiyo.

Chanzo hicho kiliendelea kudai kwamba, utata huo umemfanya Gardner kuwa bize ili kuhakikisha anaumaliza hususan kwenye nyumba yao iliyopo Mbezi ambapo wengi wanaamini ilijengwa kwa kutumia fedha ya Jide kabla hawajafunga ndoa.

MALI ZINAZOTAJWA
Mali zinazotajwa kuibua utata ni Mgahawa wa Nyumbani Lounge uliopo Kinondoni, Dar ambao hivi karibuni Jide aliubadili jina na kuuita M.O.G Restaurant. Mgahawa huo walipangishwa na mtu.

Gari aina ya Range Rover Evoque linalomilikiwa na Judith Wambura ‘Lady Jaydee.

Kuna madai kwamba, Jide na Gardner kabla ya ndoa yao kuparaganyika walikwenda kwa mmiliki huyo na kusema wameamua kuuacha baada ya mkataba wao kumalizika. Lakini kilichoonekana baadaye, Jide alirudi kwa njia ya uani na kuanzisha mkataba mpya bila Gardner na kuuita M.O.G.

Mali nyingine mbali na nyumba na mgahawa ni mabasi madogo mawili aina ya Toyota Hiace, moja la Machozi Band na la M.O.G Restaurant. Mabasi hayo yameandikwa Lady Jaydee & Machozi Band. Hata hivyo, yapo madai kwamba Machozi Band nayo imebadilishwa jina, sasa inaitwa Lady Jaydee & The Band.

Mali nyingine ni Albamu zote za Jide alizotoa tangu mwaka 2005 wakiwa tayari kwenye ndoa ambapo kwa kawaida mauzo yake ni endelevu na gari la kutembelea aina ya Range Rover Vogue.
Albamu hizo ni  Moto (2005),  Shukrani, The Best of Lady Jaydee (2006) na Nothing But the Truth (2014).

la M.O.G Restaurant inayomilikiwa na Judith Wambura ‘Lady Jaydee.

KAMA NI KUPATA
Chanzo kinabainisha kuwa, uhakika wa mali anazoweza kupata Gardner ni mgawo wa pesa kwa mauzo ya gari hilo la kutembelea na nyumba ambapo inaaminika ndiyo mali ya kifamilia zaidi.

SHERIA YA TALAKA
Risasi Jumamosi lilitembea ofisi za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (Rita) jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujua sheria za talaka zinasemaje!

1. Mwenza mwenye nia ya kuomba ndoa ivunjwe anatakiwa kupeleka malalamiko yake  Baraza la Usuluhishi la Ndoa linalotambuliwa kisheria ambapo ni Ofisi ya Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Baraza la Kata, Mabaraza ya Ndoa ya Kidini katika Misikiti
na Makanisa.

2. Baraza litasikiliza malalamiko na likishindwa kusuluhisha, hati maalumu itaandikwa kwenda mahakamani ikielezea mgogoro kwa kifupi na baraza kutoa maoni yake kwa suala husika.
4. Mahakama itasikiliza shauri husika na ikiridhia itatoa tamko la kuvunjika kwa ndoa (decree).

Moja ya basi la Machozi Band linalomilikiwa na Judith Wambura ‘Lady Jaydee.

Tamko la kuvunjika ndoa litawasilishwa Rita kwa ajili ya kusajiliwa na kuingizwa katika daftari la talaka. Baada ya hapo msajili atatoa hati ya talaka ambayo ni uthibitisho wa kuvunjika kwa ndoa na utaratibu wa mgawanyo wa mali utafuata kwa kila kilichochumwa (hata kijiko) wakati watalaka hao wakiwa ndani ya ndoa.

JIDE AFICHA MAWASILIANO YAKE
Risasi Jumamosi lilimsaka Jide kwa njia mbalimbali lakini hakupatikana. Baadhi ya watu wamesema kwa sasa mwanamuziki huyo ameficha mawasiliano yake.

Judith Wambura ‘Lady Jaydee akiwa na aliyekuwa mumewe Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni.

ALICHOSEMA GARDNER
Gardner alipotafutwa na mwandishi wetu kwanza alianza kwa kukana madai kwa mtindo huu.
Mwandishi: (anajitambulisha kwa jina na kampuni anayofanyia kazi), najua uko kwenye mgogoro wa mali na shemeji (Jide).

Gardner: Kwanza huo mgogoro unaniambia wewe, mimi siujui. Lakini kwa hayo unayotaka kuniuliza nasema no comment (sina cha kusema).

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

TASWIRA YA ZIARA YA MWENYEKITI WA CHADEMA MH FREEMAN MBOWE MIKOANI.

 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kazuramimba mkoani Kigoma, katika mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM juzi.
 Wananchi wa kijiji cha Igalula mkoani Kigoma, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe wakati alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM juzi.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akisalimiana na Bi. Mariamu Ramadhani (86), baada ya kuwasili katika kijiji cha Kapalamsenga mkoani Katavi, ambako alihutubia mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM juzi.

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Zanzibar), Salumu Mwalimu akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kazuramimba mkoani Kigoma, katika mkutano wa hadhara wa Oparesheni Delete CCM juzi.

Badhii ya waliokuwa viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa serikali ya kijiji cha Kapalamsenga katika jimbo la Mpanda Vijijini, wakimkabidhi kadi za CCM Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, walipoamua kujiunga na Chadema, baada ya mkutano wa Oparesheni Delete CCM, uliofanyika kijijini Hapo juzi.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Friday, November 14, 2014

News! Jengo la wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga Complex) lililopo jijini Dar linawaka moto muda huu.


Habari zilizotufikia hivi punde kutoka jijini Dar es salaam zinasema kuwa jengo la wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga Complex) lililopo jijini humo linawaka moto muda huu.

Tunaarifiwa kuwa juhudi za kuuzima zinaendelea.

Tutawaletea taarifa zaidi..

chanzo-Radione stereo


Wema Sepetu Releases Picha kali sana Baada ya kuzinguana na Jamaa, Zicheki Hapa kweli Kaumbika


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

MCHUNGAJI AFARIKI MARA MOJA BAADA YA KUJARUBU KUTEMBEA JUU YA MAJI.

 Mchungaji kutoka Nigeria, Frank Kabele akizama alipojaribu kutembea juu ya maji kama Yesu.

...Akiomba msaada kutoka kwa waumini wake bila mafanikio.

Mchungaji kutoka Nigeria, Frank Kabele (35) amesombwa na maji katika mto mmoja nchini hiyo na kufariki alipojaribu kutembea juu ya maji kama Yesu.

Frank Kabele aliwaambia waumini wake kuwa mtu mwenye imani anaweza kufanya miujiza yeyote ila tu uwe na imani.

Aliwaahidi wafuasi wake kuwa atatembea juu ya maji pindi tu atakapomaliza maombi yake.

Lakini mambo yalienda ndivyo sivyo baada ya mchungaji huyo kujaribu kutembea katika mto mkubwa, alididimia mtoni humo na ilikuwa vigumu kwa waumini wake kumsaidia kwani maji yalikuwa na nguvu nyingi na kufariki dunia.
Je alikosea nn toa maoni yako hapo chini

Wema Sepetu Releases Picha kali sana Baada ya kuzinguana na Jamaa, Zicheki Hapa kweli Kaumbika


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

SABABU INAYOMALIZA VOCHA HARAKA KWENYE SIMU YAKO HII HAPA....

Watumiaji wengi wa huduma ya simu za mkononi wamekuwa wakilalamikia wizi wa pesa unaofanywa na baadhi ya makampuni hayo, leo katika kikao cha Bunge Dodoma Serikali imesema inatambua kuhusu wizi unaofanywa na baadhi ya makampuni ya simu za mkononi na kutoa tamko namna ambavyo imejipanga kukabiliana na wizi wa aina hiyo.

Akitoa tamko hilo Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia January Makamba amesema Serikali itaanzisha kituo maalum cha kushughulikia malalamiko hayo CCC, kitakachokuwa kinasimamiwa na TCRA.
Akiuliza swali kuhusiana na jinsi Serikali ilivyojipanga kukabiliana na wizi huo Mbunge wa Konde Khatib Said Haji amesema; “… Wizi huu unaofanywa na makampuni ya simu si wizi mkubwa kama ule wa ESCROW.. ni wizi mdogo mdogo unaowaibia Watanzania elfu tano elfu tatu lakini kwa ujumla wake, Mpemba aliyeko Konde akiibiwa elfu tatu, Mnyamwezi wa Tabora elfu mbili, Ukizijumlisha ni mamilioni ya shilingi wanaibiwa Watanzania… Leo watu hao elfu tatu elfu mbili unawaambia wapeleke malalamiko yao, gharama hiyo umeikadiriaje hata mtu huyo akadai malalamiko ya elfu tatu..”

“.. Hivi serikali yenu makini imekuwa wapi muda wote mpaka kukiri kama Watanzania wamekuwa wakiibiwa na bila wenyewe kujijua?, na bado hamna hatua mlizozichukua, ni nani aliyeko nyuma ya pazia hili la kuibia Watanzania na ninyi mkaridhia ama ni yale yaliyosemwa kama CCM ina fund katika wizi huu..?”- Khatib Said Haji.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia January Makamba amesema; “…Napenda nikiri tatizo la wizi au dhuluma kwa wateja lipo na ndio lililopelekea tukaweka hizi kanuni ambazo zinaweka adhabu na hatua za kuchukua katika kuchukua katika kudhibiti wizi huo.. Licha ya utaratibu wa kawaida wa kulalamika katika makampuni ya simu, kwa sababu moja ya matakwa ya sheria ni kwamba kampuni za simu zinapaswa kuweka utaratibu wa kuhudumia watekja wake, lakini tumebaini kwamba utaratibu huo una matatizo, unaweza ukapiga simu muda mrefu isipokelewe, unaweza kuambiwa usubiri na wakati unasubiri kulalamika pia unakatwa..

Kwa hiyo Serikali inafahamu hilo, pamoja na hatua tulizozichukua ni kuweka ule mtambo wa kufuatilia mawasiliano ambao moja ya kazi yake sio kufuatilia tu mapato lakini ubora wa mawasiliano.. Kwa kutambua kuwa makampuni ya simu haya wakati mwingine yanachelewa wakati mwigine yanapuuza wateja, kituo hiki ambacho tunakianzisha namba zake zitasambazwa kila mtu atakuwa nayo, kwa hiyo huna haja kusafiri kufuatilia shilingi elfu mbili elfu tatu elfu tano. Kutakuwa na namba ambayo ni bure kupiga..”- January Makamba.

“ Kila utakapopiga kulalamika utapewa namba maalum ya lalamiko lako, na lisiposhughulikiwa hata kitengo cha kampuni ya simu kutoshughulikia lalamiko lako na yenyewe itakuwa sababu ya makampuni hayo kuadhibiwa..”- January Makamba.

BABY MADAHA; SIJAWAI KUTUMIA KINGA HATA SIKU MOJA.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Tazama Video ya gari Mupya kabisa la aina yake lililotengenezwa Afrika Mashariki.

Taarifa ikufikie kwamba Afrika Mashariki imeingia kwenye headline ya mapinduzi makubwa ya kiteknolojia kwa kutengeneza gari ya aina tofauti na zile tulizozoea kuzitumia.
Kwanini nayaita mapinduzi makubwa katika industry? Sababu ni kwamba tumezoea kutumia magari yanayotumia mafuta na baadhi yanayotumia gesi, mpya ni kwamba Uganda inatarajia kuzindua gari ya kwanza kutengenezwa nchini humo ambayo inatumia umeme hivi karibuni, ambayo imetengezwa kwa msaada wa Serikali ya Uganda.
Tazama video ya gari hiyo hapa.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

White Widow death riddle: Conflicting reports as to how the world's most wanted woman died.


A journalist has claimed Samantha Lewthwaite died a "slow and agonising" death as the hands of a Russian snipper

Reported dead: Samantha Lewthwaite

The alleged death of the terror suspect known as the White Widow remains a mystery.

Samantha Lewthwaite, 30, reportedly died a “slow and agonising death” at the hands of a Russian sniper.

The claim she was killed fighting alongside Ukrainian forces has been dismissed as propaganda for Russia.

But journalist Alexey Toporov, who backs rebels in eastern Ukraine, insisted: “She ended in a bad way.”

No image has been shown of the body of the wife of 7/7 bomber Germaine Lindsay.

Lewthwaite, dubbed the world’s most wanted woman, was reportedly killed two weeks ago by a Russian sniper after teaming up with the pro-Ukrainian government battalion Aidar.

Britain is seeking to verify shock claims that she was gunned down by pro-Moscow rebel forces, as reported by Regnum news agency in Moscow.

The journalist behind the story, Toporov, a supporter of the separatists, claimed: “It is said that her death was not quick - which was the right way to do it.”

PA Photo issued by Interpol of Samantha Lewthwaite
Killed: Samantha Lewthwaite


His words implied that the 30 year old jihadist suffered a lingering death after being shot by “a young but already experienced sniper volunteer from Russia”.

The journalist, Regnum News Agency and rebels forces in eastern Ukraine have failed so far to provide any evidence for her presence in the country, or of her death.

No pictures have been released of her body, nor any personal papers indicating she was in Ukraine.

Nor is it clear how the rebels knew her identity.

Toporov claimed on a social media site that Lewthwaite had come to Ukraine under a false name and was deployed as a sniper in Donetsk region.

He added: “The White Widow ended in a bad way. To be more exact, she ended up killing people.

“She was a sniper in one of the (Ukrainian) punishment battalions, supposedly Aidar. She killed many of our guys.

“He did not even care for the $5 million USD promised by Interpol for the head of this viper. “

The journalist, a former editor from Kazan, capital of the Russian republic of Tatarstan, has campaigned against radical Muslims.
SOURCE:MIRROR


Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

DUU!!! AUNT, ODAMA WATIMULIWA BONGO MOVIE.

 UPEPO mbaya unaendelea kuvuma ndani ya Klabu ya Bongo Movie Unity! Safari hii umewakumba mastaa wakubwa klabuni hapo, Devotha Mbaga, Aunt Ezekiel na Jennifer Kyaka ‘Odama’ ambao wanadaiwa kutimuliwa kundini kwa sababu ya kujiweka karibu na mwenyekiti wa klabu hiyo aliyejiuzulu, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’.

Mwanadada anaye tamba katika tasnia ya filamu bongo, Aunt Ezekiel

Kwa mujibu wa chanzo makini kilichozama katika kikao kilichofanyika juzikati, uongozi ambao ulibaki madarakani kundini baada ya Steve kujiuzulu, ulifanya tathmini upya ya memba waliobaki kisha kuwachuja hadi kubaki na wasanii 20 pekee wenye sifa.

“Wamewaengua baadhi ya wasanii ambao wameona hawana sifa ya kubaki kundini, miongoni mwao ni Devotha, Aunt na Odama. Wamesema wanahitaji mastaa wenye msimamo siyo kujipendekeza upande wa Steve, siku si nyingi watayaanika majina ya wenye sifa za kubaki kundini,” kilisema chanzo hicho.

Staa wa filamu bongo Devota Mbaga.

Chanzo hicho kilizidi kumwaga ‘ubuyu’ kuwa, wasanii walioenguliwa ni wanachama hai lakini si wanachama wenye msimamo na baadhi yao wameonesha udhaifu wa kuwa karibu na Steve Nyerere ambaye sasa anafanya harakati zake peke yake.

Baada ya habari hizo kutua katika rada ya Ijumaa, mapaparazi wetu waliwaendea hewani mastaa hao wakubwa waliodaiwa kufukuzwa, mambo yalikuwa hivi:

Mkali wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka 'Odama'.

Devotha: Mimi ndiyo kwanza nakusikia wewe siku zote nipo nyumbani sijui hata habari za kikao hicho na sielewi wameniengua vipi wakati mimi ni mwanachama hai na ni miongoni mwa waanzilishi toka tulipokuwa watu saba, lakini kama wameamua hivyo sawa kwani siyo kwamba ukitoka ndiyo mwisho wa maisha.

Odama: Hakuna kitu kama hicho, wanaoenguliwa ni viongozi siyo wanachama, watanienguaje bila kunipa taarifa? Kwanza ndiyo nasikia sijui chochote ndiyo napata taarifa kutoka kwako.
Kwa upande wa Aunt Ezekiel, simu yake iliita bila kupokelewa.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...
 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top