
Baadhi ya silaha walizotumia waandamanaji kujaribu kuingia bungeni.
VURUGU zimezuka kati ya polisi na kundi dogo la waandamanaji waliokuwa wakitaka kuingia bungeni asubuhi hii jijini Hong Kong nchini China.
Baadhi ya waandamanji hao wakiwa wamevaa mask walitumia vyuma kujaribu kuvunja mlango mmoja wa pembeni wa bunge kabla ya kudhibitiwa na polisi walioamua kutumia maji ya kuwasha kuwatawanya.
Takribani wiki nane sasa waandamanaji wamekuwa wakiandamana kudai demokrasia katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo la Hong Kong.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment