Showing posts with label ufuska. Show all posts
Showing posts with label ufuska. Show all posts

Saturday, December 20, 2014

MZAZI MWENZIYE NA SUGU AVAA PEMPASI UKUMBINI, JIONEE MWENYEWE HAPA.

Kituko! Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, aligeuka kituko baada ya kuingia ukumbini akiwa amevalia mavazi wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’.

Faiza akiwa na pempasi ukumbini.

Tukio hilo lilitokea juzikati katika Hotel ya Sea Cliff iliyopo Masaki jijini Dar, ambako walialikwa watu wachache kwa ajili ya kula chakula cha jioni pamoja.

Wakati wageni waalikwa wakiwa tayari ukumbini huku wakifikiria jinsi mwenyeji wao atakavyotinga hotelini hapo, ghafla walimuona Faiza akiingia ukumbini akiwa ndani ya mavazi hayo yaliyosindikizwa na kishati kidogo alichovaa juu na kuwafanya waalikwa wote kuangua kicheko.

...Akiwa na rafiki yaake.

“Nimefikiria sana kwa nini nianze kujipa gharama za nguo na nilipomuangalia mwanangu Sasha anavaaga pempasi na mimi nikasema ngoja nifanye hivyo,” alisema Faiza.

Faiza akiwa na Sugu.

Faiza na Sugu waliodumu katika uhusiano kwa miaka mingi na kufanikiwa kupata mtoto mmoja, Septemba, mwaka huu walimwagana na sasa kila mmoja amechukua hamsini zake.

Unaambiwa Zari ampokea Diamond Kampala kwa mbwembwe zote...jionee hapa!



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

MPAMBE WA MGOMBEA URAIS AVISHWA SHANGA BAADA YA KUFUMANIWA AKINANILII KWENYE GESTI.


 JAMAA anayedaiwa kwamba ni mpambe mkubwa wa mmoja wa wagombea urais mwakani ambaye ni fundi wa kufunga madishi, mkazi wa Magomeni-Makanya jijini Dar es Salaam, almaarufu Mgosingwa, amejikuta akivishwa shanga baada ya kunaswa na mke wa mtu chumbani kwake.

Mgosingwa akivishwa shanga baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.

FUMANIZI
Tukio hilo la aina yake la kufungia mwaka 2014 lilijiri kwenye fumanizi la jamaa huyo lililochukua nafasi nyumbani kwake maeneo ya Magomeni-Makanya, Dar, Jumanne iliyopita ambapo alifumwa na mke wa jamaa aliyejitambulisha kwa jina moja la Faki aitwaye Mwanahamisi akidaiwa kumrubuni kwa nguo za Sikukuu ya Krismasi.

Kwa mujibu wa mwenye mke, baada ya Mgosingwa ambaye mkewe alikuwa safarini, kunaswa laivu alitaka kuchoropoka kupitia dirishani lakini jamaa alimkamata miguu na kumrudisha ndani.

OFM
Kama kawa, makamanda wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publisher wanaotumia bodaboda ziendazo kasi, walitonywa na kufanikiwa kufika eneo la tukio ndani ya dakika sifuri.



OFM walipofika walikuta mtiti umeshika kasi ambapo kabla ya kufikia hatua ya kudhuriana, polisi waliokuwa doria mtaani waliitwa na wasamaria wema na kwenda kuokoa jahazi.

AVISHWA SHANGA
Polisi walipofika walimkuta mwenye mke akiwa na shanga mkononi akimvalisha Mgosingwa ambaye tayari hakuwa na ujanja.Hata hivyo, polisi hao walifanya kazi ya ziada kumdhibiti mwenye mke ambaye alikuwa akipambana nao akitaka aachiwe apambane na mgoni baada ya kumvisha shanga.

MAYOWE
“Niacheni jamani lazima na mimi leo nim….(tusi), haiwekani kabisa mtu atake kumdhalilisha mke wangu.
“Mke wangu nitajua cha kumfanya tukifika nyumbani, yaani ukweli nampenda sana mke wangu,” alisikika mwenye mke akipiga mayowe.

Dk. Wilbrod Slaa,

WAAMRISHWA WAVAE NGUO
Tukio hilo lilisababisha mjumbe wa nyumba kumi wa eneo hilo aliyejitambulisha kwa jina la Mama Vicky na Afisa Mtendaji wa Mtaa wa Makanya (hakutaja jina) wafike eneo hilo na kuwaamrisha waliofumaniwa wavae nguo kwanza.

SERIKALI YA MTAA
Baada ya kuvaa, wahusika wote walipelekwa kwenye ofisi ya mtendaji wa mtaa huo ili wazungumze na ikiwezekana wayamalize kwani wahusika hao walikuwa ‘hawajaduu’ bado.

January Makamba.

MSAMAHA
Baada ya kufika ofisi ya mtendaji, Mgosingwa alimpigia magoti mwenye mke na kumuomba msamaha huku akikiri kuwa alikuwa akitaka kula tunda la mkewe lakini alikuwa bado hajathubutu kufanya hivyo hata siku moja.

“Chondechonde kaka, mimi ni mwanaume mwenzako na wote, mimi, wewe na mkeo tunatoka pamoja pale Makorora (Tanga) na familia zetu zinajuana fika.“Naomba unisamehe ndugu yangu niko tayari kukulipa fidia ya kunishika ugoni,” aliomba Mgosingwa.

Mgosingwa aliendelea kuomba radhi ambapo mjumbe wa nyumba kumi na afisa mtendaji walimshauri mwenye mke kupunguza jazba kisha akubali kuzungumza na mgoni wake, wasifike mbali na kuyamaliza ili kuepusha usumbufu.

Benard Membe.

FAINI MIL. 1.5
Baada ya kushauriwa kwa muda mrefu, mwenye mke aliiheshimu mamlaka hiyo ya serikali na kukubali kulipwa faini shilingi milioni moja na nusu za Kitanzania ili kumsamehe mgoni na kumpa onyo kali endapo wataendeleza kamchezo hako.Baada ya hapo, Mgosingwa aliendelea kuwapigia simu ndugu zake wamtumie fedha kwenye simu ili amalize tatizo hilo.

NI MPAMBE WA MGOMBEA GANI?
Kwa mujibu wa majirani wa Mgosingwa ni mpambe wa mmoja wa wanasiasa maarufu anayedaiwa kuwa kwenye ‘resi’ za kugombea urais mwakani, kufumaniwa kwake kumetajwa pia kama ni njia mojawapo ya kumchafua mgombea huyo.Mgosingwa alipoulizwa kama ni mpambe wa mgombea gani hakuwa tayari kutaja.

Waziri mkuu Mizengo Pinda.

WANAOTAJWA URAIS 2015
Baadhi ya vigogo wanaotajwa kutaka kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 ambao wana wapambe kila kona Bongo ni pamoja na Mizengo Pinda, Benard Membe, January Makamba, Frederick Sumaye, Dk. Khamis Kigwangala, Dk. Wilbrod Slaa, Wiliam Ngeleja, Steven Wasira, Dk. Mohamed Shein, Dk. Emmanuel Nchimbi, Dk. Asha-Rose Migiro na Edward Lowassa.

Unaambiwa Zari ampokea Diamond Kampala kwa mbwembwe zote...jionee hapa!



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Friday, December 12, 2014

Pale ambapo operator anajikuta akiweka picha za utupu katika bango uwanjani.

Ajali popote, huyu jamaa amepata ajali kazini tena huenda katika mazingira ambayo hakuwahi kutarajia.

Kutokana na sheria kali za China, hii haikuwa makusudi lakini kwa sababu tayari kashafanya kosa anastahili hukumu.

Tumezoea kuona mabango ya kisasa katikati ya Miji kama Dar ambayo yanakuwa yanaonyesha picha kama Tv ambapo picha zinazoonekana kuwa zinabadilika badilika.

Nje ya Uwanja wa Maryland, Langzhou China jamaa anayehusika kuoperate bango moja amejikuta akiwa na hatia ya kukaa jela kwa siku 15 pamoja na na kulipa faini ya kiasi cha Yuan 3000 za China zaidi ya Dola 484 kwa kosa la kuweka picha za wasichana wakiwa tupu kwenye bango lililopo nje ya uwanja huo.

Japo walinzi waliwahi kuchomoa waya wa umeme kulizima bango hilo haikusaidia, watu walioshuhudia picha hizo zikionekana kwa  sekunde 12 walirekodi video na picha ambazo walianza kushare kupitia mitandao ya kijamii.

Mhandisi wa Kampuni inayohusika na kuweka mabango hayo naye pia amekamatwa japo hukumu yake bado haijafahamika.

LULU AMUWAHI IDRIS; ASEMA ANA URAFIKI NAE.


UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Mfahamu mama anayepata mamillion kwa kuuza maziwa yake.

 Rebecca Hudson, kutoka mjini Manchester,Uingereza amepata zaidi ya pauni 3,000 kwa kuuza maziwa ya mama.
Mama huyo mwenye umri wa miaka 26, anasema kuwa wakati mwanawe alipozaliwa mapema mno , wiki kumi kabla ya siku iliyotarajiwa, matiti yake yakawa hayawezi kutoa maziwa.
Lakini baadaye alianza kupata maziwa mengi sana kupita kiasi.

Na kwa sababu mtoto wake alizaliwa kabla ya siku yake, alihitaji tu kutoa maziwa kidogo kama chakula cha mtoto wake aliyekua katika mashine hospitalini.

Alisema ''sikutaka kuyamwaga maziwa yaliyosalaa, kwa sababu ni kazi ngumu sana kwa mama kutoa maziwa kwenye Matiti yake.''
"kwa hivyo nilitafakari ili niweze kupata pesa za ziada, sioni ubaya wowote ikiwa nitayauza maziwa yangu. ''

Maziwa ya mama aliyohifadhiwa kwenye jokofu
Kwa hivyo Rebecca alikwenda kwenye mtandao wa Internet, na kugundua kuwa nchini Marekani kuna wanawake ambao tayari wanauza maziwa hayo. Hapo ndipo aliamua kuanza kuuza maziwa yake kwenye mtandao.

Ana wateja ambao yeye huwauzia maziwa yake kwa pauni 12.50 kwa kila chupa.
Wateja wake wengi huwa ni wanyanyuaji uzani ambao hutumia maziwa hayo yanayosemekana kuwa na madini muhimu sana kwa mwili, pamoja na wapishi ambao hutumia maziwa hayo kwa upishi. Kadhalika watu hununua maziwa hayo wakiamini kuwa inawapa nguvu za kimwili na kuwaezesha kingono.

Rebecca Hudson alisema kuwa kwake yeye kile ambacho wateja wake wanatumia kufanyia maziwa ni shauri yao, ''sitabagua na kuwauzia watu fulani na kuwaacha wengine.''

Alisema marafiki wake walimshangaa sana hasa kwa pesa alizoweza kupata kwa kuuza maziwa yake wakisema ni njia rahisi sana kujipatia pesa na kwamba wanatafakari kufanya hivyo na wao

BILIONEA NIGERIA AMZAWADIA TAYO $ 350,000 BAADA YA KUKOSA ZA BIG BROTHER HOTSHOTS.



UNGANA NAMI KATIKA FACEBOOK KWA KUBOFYA Like HAPO JUU

habari kamili :: read more...

Thursday, December 4, 2014

BINTI WA KIGOGO AFANYISHWA MAPENZI KWENYE MAJI HUKU AKIWA UCH* WA MNYAMA COCO BEACH.


 Binti akijiachia na njemba huyo baada ya kupiga urabu wa kutosha.

Ndivyo unavyoweza kusema kuhusu kilichomtokea mtoto wa kigogo mmoja aishie Masaki ambaye alijikuta akifanyiwa kitu mbaya ndani ya maji kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi, eneo la Coco jijini Dar, Jumamosi iliyopita.

Kabla ya tukio hilo, inadaiwa kuwa dada huyo ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, alikesha katika klabu moja iliyopo ufukweni hapo, akipiga ulabu yeye pamoja na kampani yake.Ilipofika asubuhi, inadaiwa kuwa, ili kupunguza ulevi aliokuwa nao kichwani, aliamua kwenda kuogelea, ili akae sawa.

Chanzo kilichoshuhudia tukio hilo kilishadadia maneno kwa mpigapicha wetu kwa kusema kuwa, wakati mrembo huyo anaenda kuogelea ndipo alipoangukia kwenye mikono ya njemba mmoja aliyekuwa akifanya mazoezi pembeni mwa ufukwe huo ambapo pia alikutana na wachezaji wa Azam FC waliokuwa wakifanya mazoezi mambo yakaharibika.

...Akionyesha kufurahia hali hiyo.
“Wakati anawafuata wale wachezaji, redio za watu wa bajaj zilikuwa zimefungulia muziki kwa sauti, akawa anacheza, jamaa walipoona vile wakaongeza sauti na kumwekea wimbo wa Davido wa Aye, dah, ndio akachizika kabisa, jinsi alivyokuwa akikata mauno na nguo alizovaa, aliwachanganya kabisa wachezaji wa Azam ambao walikuwa wakimtumbulia macho kwa udenda,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kuwapagawisha wachezaji hao, binti huyo alipomfuata njemba mmoja aliyekuwa kando na kumuomba amfundishe kuogelea, jamaa akachukua tairi la gari na kumwingiza baharini ambako alianza makeke ya kumfundisha huku wakizamia kuonesha kuna kamchezo kachafu kanaendelea.
Baadaye akiwa kama aliyeshtuka, alikurupuka majini humo na kutoka nje akikimbia, akimuacha njemba aliyekuwa naye baharini akimtumbulia macho ya kutoamini kilichotokea.

Former BBA Winner Dillish Mathews goes topless in Ova Himba Cultural attire.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

LAVEDA ARUDI BIG BROTHER AFRICA -BBA.


MWANADADA aliyewakilisha Tanzania katika shindano la BIG BROTHER 2014 ‘HOTSHOTS’ nchini Afrika Kusini. Irene Neema Vedastous 'La Veda' ameitwa tena ili kushuhudia fainali za kinyang’anyiro hicho.
Mrembo huyo amepanda pipa juzi saa 8 mchana kuelekea Sauz ambapo atakaa kwa muda wa wiki moja.

Akizungumza na paparazi, La Veda alisema ameitwa Sauz japo bado hajajua anaenda kufanya nini hasa japo anaamini hataingia kwenye jumba la BBA kama mshiriki.
‘’Nimeitwa BBA ila si kwa maana ya kushiriki bali kama mmoja wa washiriki ili kushuhudia fainali za BBA zinazotegemea kufanyika hivi karibuni.
Ninafurahi kwa sababu nitakutana na washiriki wenzangu, kama nikibahatika kupata nafasi ya kuimba, wimbo wangu mpya wa LET IT GO, nitafanya makubwa sana maana muda mwingi na akili yangu nimeviwekeza kwenye muziki, nitakuwa Sauz kwa wiki moja kisha nitarejea nyumbani kujipanga zaidi kimuziki" Alisema La Veda.
Aidha La Veda amemtakia kila la heri mshiriki mwenzie Idris Sultan ashinde na amewaomba Watanzania kumuombea kwani ushindi wake ni ushindi wa Watanzania wote.
Irene Neema Vedastous 'La Veda'.

Former BBA Winner Dillish Mathews goes topless in Ova Himba Cultural attire.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Tuesday, November 25, 2014

BABY MADAHA ADAIWA KUAMBUKIZWA GONJWA BAYA LA ZINAA.

MSANII wa Bongo Fleva, Baby Madaha anadaiwa kuambukizwa gonjwa hatari la zinaa ambalo halikutajwa jina lakini likielezwa kuwa linampa wakati mgumu kisaikolojia. Chanzo kimoja kimeiambia show bize kuwa, nyota huyo amekuwa akitumia dawa za kusafisha haja ndogo kwa muda mrefu lakini bila mafanikio.

Msanii wa Bongo Fleva, Baby Madaha.

Show bize ilimsaka Baby Madaha mwenyewe ambapo aling’aka kwa ukali.
“Hizo habari nani kakupa wewe? Hayo si moja ya maisha ya wanadamu kwani kipi kibaya hapo? Oke, sawa naumwa na hao wanaume wanaotaka nikatibiwe wanajua mimi naumwa nini? Magonjwa ya zinaa si yana dawa?” alihoji.

Hata hivyo, mrembo huyo alisema yeye ana tatizo la haja ndogo kuwa chafu lakini si ugonjwa wa zinaa.

Polisi amvua mwanamke nguo Kenya.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Friday, November 21, 2014

LICHA YA KUKATAZWA KANGA MOKO LADAIWA KUENDELEA MITAANI KAMA KAWA.

MIEZI michache kufuatia tamko la serikali  kuzuia ngoma zinazokesha maarafu kama Kanga Moko kwa kukiuka maadili, imebainika kuwa ngoma hizo zinaendelea kufanya mambo kama kawa kana kwamba hazijakatazwa, Ijumaa limeshuhudia.

Baadhi ya wadada wakicheza ngoma ya kibao kata wakiwa ndani ya kanga moja.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili juzikati umebaini kuwa ngoma hizo ambazo wanawake hucheza wakiwa ndani ya kanga moja, zinaendelea kufanyika kwa siri katika viunga mbalimbali vya Jiji la Dar es Salaam.Chanzo makini kimevujisha habari kuwa, wahusika wamekuwa wakipashana habari kupitia kwenye mitandao ya kijamii kisha kukutana katika maeneo tulivu hasa kwenye fukwe na kufanya yao.

Wadada hao wakicheza ngoma hiyo huku wakipata sapoti kutoka kwa shabiki wa mchezo huo.

“Siku hizi wanatangaziana kwenye mitandao ya kijamii kisha mashabiki na wadau wakubwa wa ngoma hizo wanakwenda kuwashuhudia,” kilisema chanzo.Kuonesha kwamba kipo ‘serious’, chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kwa kunyetisha siku ambayo ngoma hizo zilifanyika katika ufukwe mmoja uliopo Mikocheni jijini Dar.

Wengine walishiriki mashindano ya umiss.

“Jumamosi hii (iliyopita) watafanya mambo yao katika ufukwe wa...(anautaja jina) uliopo maeneo ya Mikocheni, kama mtaweza fikeni muone jinsi usiku unavyotumika vibaya na ngoma hiyo,” kilisema chanzo hicho.

Wadada hao wakizidi kutoa shoo.

Siku ya tukio, mapaparazi wetu walitinga katika ufukwe huo na kujionea wadada watatu wakionesha ufundi wa kucheza ngoma hiyo wakiwa wamevalia kanga moja kama kawaida yao.Mara baada ya mapaparazi wetu kunasa picha kadhaa, walijaribu kuwauliza wadada hao kwa nini wanakaidi agizo la serikali, lakini hawakuwa tayari kuzungumza lolote.

Ma DJ wakinogesha 'beach party' hiyo.

Mapema mwaka huu, Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), lilipiga marufuku ngoma hizo kwa kuonekana hazina maadili na si utamaduni wa Mtanzania.


NIMETENGWA, KISA USAGAJI.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Wednesday, November 19, 2014

Cossy Orjiakor:: 'You don’t have to Work Very Hard to Get Money".

Who else agrees with heavily endowed Nollwood actress Cossy Orjiakor? In a new interview with Encomium magazine, here's what Cossy had to say when she was asked why her acting and music career has not been on the rise. Excerpts:

What has been happening to your acting career?

I just got back from location. I featured in a movie entitled, Beach 24. It is produced by Ahumadu. My character is more like a mermaid in the movie.

sponsored post

The tale is that you don’t get movie roles again?

That is not true. Of course, I get offers but I am very choosy. I don’t just accept roles like that. If the

pay is very okay, if I have a couple of friends among the people on location I can go for it. It can be stressful going to locations when the pay is not good. At this stage, I should be the one giving out roles. I am old enough to start producing movies myself.

How many films have you featured this year?

I think one. If I do a movie a year, it is okay for me. It is all about comfort not competition. I started acting in 2012 when I came to Lagos, I was in Dark Angels, One Million and some others.

What about your music career?

I take life easy. I am not in a competition. I am in a league of my own. When I am in the mood, I will do my music. I have released a video this year entitled, Sexual Seduction. I featured Durella.

What else fetches you money?

You don’t have to work very hard to get money, just work smart. People can pay you a huge amount just as a guest appearance. You will go there enjoy yourself, have champagne, that is all.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

BINTI WA KIARABU ALEWA, AFANYA VIOJA VYA KUWAKATIKIA WANAUME VIBAYA HADI MMOJA AKA......

POMBE si chai! Binti mrembo mwenye asili ya Kiarabu ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akifanya vioja baada ya kulewa chakari na kusababisha midume kumtolea udenda, Ijumaa Wikienda lilimpiga chabo.

Binti huyo ambaye hakufahamika jina lake mara moja akifanya yake.

Tukio hilo la aibu lilijiri kwenye onesho la Kundi la Mashauzi Classic ndani ya Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar ambapo lilikuwa likitambulisha albam yake mpya ya Sura Surambi, Sura Siyo Roho.

...Akizidi kuserebuka ndani ya ukumbi huo.

Awali binti huyo alionekana ukumbini humo akiwa mpole na mwenye sura ya soni huku akipata kilaji polepole kabla ya kumkolea na kuwa staa wa kubinuka kihasarahasara na kumwaga ‘lazi’ mbele ya kadamnasi huku akiacha sehemu ya maungo yake nyeti kweupe.

“Jamani pombe mwanaharamu. Muone yule binti wa Kiarabu, kaja mpole lakini hebu ona vituko utadhani kuna skruu imefunguka kichwani,” alisema mmoja wa mashuhuda.Katika hali iliyoonekana kuzidi kuelemewa na kilaji, binti huyo alianza kuwavaa wanamuziki stejini na kuwakumbatia kisha kuinua mguu na kurusha mateke ya kinyumenyume kama mwanasoka, Cristino Ronaldo wa Real Madrid.

Vioja vya binti huyo havikuishia hapo kwani aliwavaa wanaume na kuwakatikia vilivyo.
Wakati tukio hilo likiendelea, jamaa mmoja alimfuata akidai ni mkewe ambapo alimfokea mwanahabari wetu akimtisha kwamba endapo akiziona picha gazetini atamfanya lolote akafie jela Segerea.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

AMFUMANIA MUMEWE, AJISAULA HADHARA MBELE ZA WATU! MWONE HAPA...

HATARI! Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Tatu Ikoko mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, hivi karibuni alifunga mtaa kwa kutembea bila nguo baada ya kumfumania mumewe akiwa na mwanamke mwingine.

Mwanamke anayejulikana kwa jina la Tatu Ikoko akitishia kusaula mbele ya watu.

Chanzo chetu cha kuaminika kilisema mwanamke huyo aliondoka nyumbani kwake usiku wa Ijumaa iliyopita na aliporejea asubuhi, alimkuta mwenzake akiwa na kigori mwingine ndani ndipo alipopagawa.

“Alitoka usiku mzima akarudi saa moja asubuhi akamkuta bwana’ke yuko na mwanamke mwingine ndani,  akaanzisha vurugu, akavua nguo na kubaki na kanga moja na kuanza kupita mtaani huku akisema nivue nisivue na watu wakawa wanamuitikia vua.

Tatu Ikoko akiwa katika hali ya kuvurugwa baada ya kumfuma mumewe na hawara.

“Baada ya hapo tu watu wazima na mashosti zake  walimshika na kumsitiri, akaja bwana’ke akamchukua wakaenda nyumbani kwao,” kilisema chanzo hicho.

Chanzo kiliendelea kufunguka kuwa tukio hilo siyo mara ya kwanza kwa mwanamke huyo kwani alishawahi kufanya hivyo akiwa na mwanamume mwingine aliyejulikana kama Kisiso mtaani hapo na waliachana kwa tabia hiyo.

Majirani wakimsitiri Tatu Ikoko.

“Akiwa na mwanaume halafu akamfumania, ndiyo huwa anafanya hivi na yule mshikaji wa kwanza kwa aibu ilibidi ahame, sasa hivi anaishi Mbagala,” kilisema chanzo hicho.imeandikwa na shani ramadhani na mayasa mariwata.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Friday, November 14, 2014

AIBU! PICHA ZA JACK DUSTAN AKIOGA BAFUNI BAADA YA KULEWA ZAVUJISHWA ; ZICHEKI HAPA.


Msanii wa filamu ambaye sasa amejichimbia Dubai akisaka maisha, Jacqueline Dustan amevujisha picha zinazomuonesha akioga bafuni huku akionekana yuko bwii,  jambo ambalo ni kinyume na maadili.

Msanii wa filamu bongo, Jacqueline Dustan akioga huku akinywa.

Picha hizo zinamuonesha msanii huyo akiwa kwenye sinki lenye mapovu na nyingine zikimuonesha hadi sehemu zake muhimu.

Hizi ni picha zikionyesha Jacqueline Dustan akioga kwa kujiachia.

Katika kutaka kupata sababu ya mwanadada huyo kuziachia picha hizo ambazo Ijumaa imezipata kutoka kwa rafiki yake wa karibu (jina tunalihifadhi) ikidaiwa kuwa aliyempiga ni bwana wake, mwandishi wetu alimtafuta kupitia simu yake ya kiganjani na alipopatikana alisema: Cha ajabu kipi hapo, nilikuwa naoga kwa raha zangu nikamuita mtu akanifotoa, tatizo liko wapi?”

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Thursday, November 13, 2014

BAAMEDI NA MME WA MISS, WAPEWA KICHAPO HEAVY BAADA YA KUBAMBWA WAKIFANYA MAMBO KAMA MME NA MKE.


MREMBO Mariam Mohamed ambaye alishiriki na kushika nafasi ya pili ya Shindano la Miss Mara mwaka 2003, wiki iliyopita alizusha vurumai kubwa kwa kuzichapa kavukavu na mumewe usiku baada ya kumkuta akiwa na baamed ndani ya nyumba moja iliyopo Njiro eneo linalojulikana kama Nguzo Moja jijini Arusha, Amani lina mkanda kamili.

Mrembo Mariam Mohamed akizichapa kavukavu na mumewe, Rasha Idrisa (38).

Licha ya kuzichapa na mumewe huyo ambaye ni mfanyabiashara aitwaye Rasha Idrisa (38), mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, baamed huyo aitwaye Prisila, naye alipata kipigo kikali toka kwa Miss huyo aliyekuwa akisaidiana kutoa dozi na mpambe wake.

Prissila anayefanya kazi kwenye baa moja iliyopo maeneo ya Njiro (jina linahifadhiwa) alijaribu kujitetea kuwa hakufahamu kama mpenziwe huyo alikuwa mume wa mtu, alishambuliwa sehemu mbalimbali za mwili wake, ikiwa ni pamoja na kukabwa shingo, hali iliyomuacha hoi na kuapa kutoendelea tena kuiba vya watu.

Operesheni Fichuo Maovu (OFM) ya Global Publishers ilitonywa mapema juu ya kuwepo kwa mpango wa kumfumania Rasha, anayedaiwa kuwa alisafiri kibiashara akimuaga mkewe kuelekea Zambia, tokea Agosti mwaka huu.

Mrembo Mariam Mohamed akizidi kumtaiti mumewe.

Chanzo chetu kinadai kuwa kitu kilichompa mashaka Mariam ni wakati alipokuwa akiwasiliana kwa simu na mumewe, kwani miito yake ilionyesha kuwa mpigiwaji alikuwa nchini. Baada ya kuona hivyo akaanza udadisi wa kujua ni wapi hasa alipo mumewe.

Siku chache zilizopita, chanzo hicho kilisema msichana huyo alipata taarifa kutoka kwa marafiki zake waliopo Arusha, juu ya kuonekana kwa mumewe akila maisha na msichana mmoja mhudumu wa baa, na kwamba alikuwa akitanua naye kila siku na mara nyingi walilala pamoja.

“Mariam amepanga kesho ndiyo aende akawafumanie, kama ni pale baa au wanakoendaga, kwa hiyo nyinyi mnaweza kwenda pale ili mjue kitakachoendelea,” chanzo chetu kiliwasiliana na OFM ambao walifika katika baa anayofanya kazi Prisila bila yeye kufahamu na baadaye Mariam akiwa na mpambe wake nao waliwasili.


Baamedi, Prisila akipokea kichapo kutoka kwa rafiki wa Mariam Mohamed kwa kula ujana na mume wa mtu.

Akiwa hatambui kama anafuatiliwa, Prisila pamoja na rafiki yake mmoja ambaye hakufahamika jina lake, waliondoka eneo hilo na kwenda kupanda daladala lililokuwa likielekea Njiro na kuteremka eneo la Nguzo moja. Mariam naye aliondoka na kuchukua usafiri binafsi kwa ajili ya kuwafuatilia wasichana hao huku nyuma yao wakiwa OFM.

Prisila aliingia katika nyumba moja iliyokuwa na geti jeusi majira ya saa tatu na muda mfupi baadaye Mariam na mpambe wake nao waliwasili na kuukuta mlango ukiwa wazi.Baada ya kuingia ndani, waliwakuta wawili hao wakiwa katika mkao wa kimahaba na mara moja Mariam akiwa na fimbo, alianza kumchapa mumewe aliyejaribu kumsihi kwa kupiga magoti ili walimalize jambo hilo kwa mazungumzo. Wakati mume akipigwa na mke, mpambe alikuwa akimpa kichapo cha maana Prisila.

Mume wa mtu na baamedi kwa pamoja wakiwajibishwa kwa kuvunja amri ya sita.

Rasha hata hivyo, baadaye alifanikiwa kumnyang’anya fimbo mkewe huyo na kuanza kutoa vitisho kwa OFM waliokuwa wakipiga picha za tukio hilo. Akizungumza wakati wa sekeseke hilo, Mariam alisema amekuwa akimfumania mumewe mara kwa mara akiwa na wanawake tofauti na mara zote huomba msamaha.

Ingawa hawajafunga ndoa, Mariam alisema alianza kuishi na mwanaume huyo tangu mwaka 2004 na kwamba maisha yao yametawaliwa na migogoro kutokana na ukware wa mumewe.
Kwa upande wake, Rasha alisema yupo tayari kuachana na mkewe ili awe huru na maisha yake.



Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU 

VIDEO YA TUKIO BOFYA HAPA

habari kamili :: read more...

Wednesday, November 12, 2014

Nuhu Mziwanda ajitetea kuhusu kipigo anachopewa na Shilole, Eti cha mahaba…

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda amefunguka kuwa  watu wanaomsema vibaya kuhusu yeye kupewa kichapo na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ wanakosea kwani anaamini kufanywa hivyo ni mahaba.

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda akiwa na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Mziwanda alisema kuna taarifa zimeenea kuwa huwa anapigwa na Shilole pindi anapokosea lakini ukweli si kupigwa ‘live’ bali ni kupigwa kimahaba.
“Jamani kupigwa wanakozungumzia watu sielewi lakini mimi ananipiga kimahaba, wanaosema kuwa mpenzi wangu ananipiga washindwe, watuache kwa raha zetu,” alisema Shilole.

Picha kali za Rihanna ndani ya Ikulu ya Marekani hizi hapa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Thursday, October 30, 2014

AIBU ILIYOJE KWA WAKWEWE! MUME WA MTU ANASWA NDANI YA DANGURO.


NI aibu iliyoje! Mwanaume mmoja ambaye anadaiwa kuwa ni mume wa mtu, amekutwa ndani ya danguro moja lililopo Sinza ya Mapambano jijini Dar ikiwa ni mazingira ya kutatanisha.

Njemba huyo akisihi kuachiwa baada ya sakata hilo.

Ishu hiyo ilijiri usiku wa manane wa Ijumaa kuelekea Jumamosi ya wiki iliyopita. Awali, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilipokea taarifa kutoka kwa vyanzo vyake kuwa ndani ya danguro hilo, ameingia mwanaume huyo aliyeonekana kuwa na heshima zake na kwa vile inaeleweka vitu vinavyoendelea, vyanzo vilikuwa na wasiwasi naye!Bila kupoteza muda, kikosi kazi cha OFM kilifuatilia eneo hilo na kufanikiwa kuingia ndani ya danguro hilo ambako walimkuta jamaa huyo akiwa anazungumza na wasichana watatu ingawa haikueleweka mara moja walikuwa wakizungumzia nini.

Mmoja wa changudoa hao akikurupushwa kutoka kwenye danguro hilo.

Baada ya kuwaona makamanda wa OFM, waliacha mazungumzo yao na kuwatumbulia, lakini walipoanza kupigwa picha, ukaibuka mzozo mpya baina ya watu hao wakisaidiwa na walinzi wanaolinda danguro hilo, dhidi ya waandishi.

OFM ambao walikuwa wameandamana na walinzi shirikishi ili kudhibiti usalama, walisimama kidete kutekeleza majukumu yao huku mwanaume huyo akitoa vitisho, kwamba atawaua kwa bastola waandishi, endapo hawataacha kupiga picha. Wakati akitoa vitisho hivyo alikuwa akielekea kwenye gari lake ambako alichukua kitu kinachofanana na chuma, kilichowafanya walinzi shirikishi kutimua mbio kuhofia kuuawa.

Machangudoa hao wakitiwa nguvuni.

Wakiwa wamebaki peke yao, waandishi wetu walianza kupigwa na wasichana, mwanaume huyo na walinzi waliokuwa na fimbo, mawe na silaha nyingine za jadi. Baadaye mapaparazi wetu walifanikiwa kupiga simu kwa kamanda mkuu wa OFM ambaye naye aliwasiliana na polisi waliofika eneo hilo dakika chache mbele.

Pamoja na ujio wa polisi hao, mwanaume huyo ambaye wakati huo alikuwa ameshawasababishia majeraha waandishi wetu, aliendelea kuwa mbishi, hadi baadaye alipokubali kuingia kwenye gari lake na askari kuelekea Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’ kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Njemba huyo akiwa chini ya ulinzi.

Akiwa njiani, mwanaume huyo aliliendesha gari kwa kasi na kutaka kuligongesha kwenye mti hali iliyomfanya askari aliyekaa mbele upande wa abiria  na bunduki kuruka ili kunusuru maisha yake.

Askari mwingine aliyebaki ndani ya gari na waandishi alifanikiwa kumtuliza mtu huyo ambaye baadaye alipigwa pingu na askari kuendesha gari hadi kituoni. Ili kujua nini kiliendelea, fuatilia kesho kwenye Gazeti la Ijumaa maana jamaa huyo alilala kituoni hapo tangu Ijumaa usiku hadi Jumatatu iliyopita kutokana na hali ya mwandishi mmoja kuwa mbaya. 

JOKATE ATAFUTA MWANAMME RASMI WA KUMZALISHA MTOTO..!!!


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Saturday, October 25, 2014

MGOMBEA 2015 ANASWA NA DENTI DOGO DOGO KABISA AKIMNANILII GESTI; PICHA LIVE ZA TUKIO HIZI HAPA.


HILI nalo janga! Mwanaume mmoja anayesemekana ni mfanyabiashara ambaye pia anatajwa kugombea udiwani wa kata moja iliyopo  Kinondoni jijini Dar es Salaam, aliyetajwa kwa jina moja la  mzee Beno amenaswa akiwa chumba cha gesti na denti wa chuo kimoja kilichopo Kibamba jijini Dar, Ijumaa ‘kubwa’ lina mkanda wote.

Mwanaume mmoja anayesemekana ni mfanyabiashara ambaye pia anatajwa kugombea udiwani wa kata moja iliyopo  Kinondoni jijini Dar es Salaam, Mzee Beno akificha sura kwa aibu ili asipigwe picha baada ya kufumaniwa.

Tukio hilo la aina yake lilijiri Oktoba 20, mwaka huu ndani ya gesti moja (jina tunalo) iliyopo Kimara-Suka jijini Dar es Salaam ambako mama mzazi wa wa binti huyo ndiye aliyemnasa mheshimiwa mtarajiwa huyo na binti yake.

WASIWASI KWANZA
Awali, mama huyo alisema  alianza kuwa na wasiwasi na mwenendo wa binti yake huyo kutokana na kuanza kale katabia ka’ kuchelewa mara kwa mara kurudi nyumbani akitoka chuoni, akajiongeza!
“Sisi tulishajua binti yetu ameanza katabia kabaya, akienda shuleni anachelewa kurudi wakati si kawaida yake, tukasema kuna jambo linaendelea kwake,” alisema mzazi huyo.

Akidhibitiwa baada ya kufumaniwa.

USHUSHUSHU
Kwa mujibu wa mzazi huyo aliyeonekana kufura kupita tafsiri ya neno lenyewe, alianza kibarua cha ushushushu kama si upelelezi wa kumfuatilia binti yake ambapo siku moja aliifanyia udukuzi simu yake na kukuta ujumbe mfupi wa maneno  (SMS) kwenye simu hiyo ukimtaka afike kwenye gesti hiyo.

MBALI NA UJUMBE
Ikadaiwa kuwa, mbali na SMS hizo, mama huyo aliwahi kumsikia binti yake akiwa hewani na ‘mheshimiwa’ huyo jambo lililozidisha hasira zake kama mama akiamini kuna mwanaume anamharibu binti yake aliye na malengo naye mazuri siku za usoni.

Mfanyabiashara na denti huyo wakijutia kwa kitendo walichokifanya.

BINTI ATII AMRI YA WAZAZI
Ndipo mama huyo akamuweka kikao kifupi binti yake na kumtaka aseme ukweli kuhusu mtu aliyemuita gesti Kimara-Suka.

NI KAMA WALISEMA
“Mtu gani mama?”
Mama: “We’ usinitanie, nimekuta meseji kwenye simu yako, kuna mwanaume umemsevu kwa jina la Sweet, amekuita gesti, ni nani?”
Binti: “Aaah! Ni mzee mmoja hivi.”
Mama: “Anaitwa nani?”

Mfanyabiashara huyo akisihi kuachiwa baada ya kufumaniwa.

Binti: “Anaitwa mzee Beno.”
Mama: “Ni mpenzi wako?”
Binti: (moyoni) “mama bwana, sasa si umeona nimemsevu Sweet anaweza kuwa mjomba ‘angu kweli?  (kwa sauti) “ndiyo mama lakini sijawahi kufanya naye chochote hata siku moja.”
Mama: “Apia.”
Binti: “Hakyamungu vile.”

MTEGO
Ikadaiwa kuwa baada ya hapo, binti akatakiwa kumjibu mzee huyo kwamba anakwenda wakutane huko gesti ili  wamalizane kwani ‘amemmisi’ sana siku hiyo, mzee akashindwa kujiongeza.
Binti akiwa na mzazi wake na skwadi nyingine walianza safari ya kwenda Kimara –Suka kwenye gesti hiyo ambapo walikaa baa ya jirani, binti akaenda ndani ambako mzee huyo alishafika zamani gani na kumsubiri.

Bw. Beno akiwa nje ya gesti hiyo iliyopo kimara suka mara baada ya kufumaniwa.

Baada ya muda, binti alituma meseji kwa mama yake akisema mambo tayari, wapo ‘weupe pee’ (hawana nguo). Ndipo mama huyo akachukua timu yake na kuvamia gesti hiyo kwa ajili ya kulianzisha.

OFM YAKATIZA MITAANI, YAKUMBANA NA KASHESHE
Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers ilikuwa ikikatiza mitaani kusaka matukio kwani ni ada yake, ndipo walipoibukia eneo lenye gesti hiyo na kukumbana na kasheshe hilo la nguvu.
 “Hawa wazee ndiyo wale ambao wanaharibu watoto wa watu huku yeye wanawe wakisoma vizuri na hakuna anaowaharibia masomo yao,” alisikika akichonga mama huyo.
Akaendelea: “Jamani nawaomba njooni na makamera yenu yote hapa.”

OFM YAPATA NGUVU
Kufuatia maneno ya mama, OFM walipata nguvu na kuanza kupiga picha za kumwaga kwa ajili ya kumbukumbu.

Huu ni usafiri aliokuja nao mzee Beno kwenye gesti hiyo.

MGOMBEA ASEMA NENO
Huku akiwa amekaa kwa tafakuri ya kina, mzee Beno alisema ameumbuka na kuitaka familia ya mwanafunzi huyo kumalizana kifamilia nje ya gesti hiyo huku akiwaomba OFM chondechonde wasiitoe habari gazetini.

Hata hivyo, mpaka tunakwenda mitamboni, mwanamke huyo alisema hawajamalizana chochote hivyo OFM inaendelea kufuatilia sakata hilo.

WEMA ANAPONDA RAHA NCHINI CHINA MCHEKI HAPA.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...
 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top