Friday, November 14, 2014

AIBU! PICHA ZA JACK DUSTAN AKIOGA BAFUNI BAADA YA KULEWA ZAVUJISHWA ; ZICHEKI HAPA.


Msanii wa filamu ambaye sasa amejichimbia Dubai akisaka maisha, Jacqueline Dustan amevujisha picha zinazomuonesha akioga bafuni huku akionekana yuko bwii,  jambo ambalo ni kinyume na maadili.

Msanii wa filamu bongo, Jacqueline Dustan akioga huku akinywa.

Picha hizo zinamuonesha msanii huyo akiwa kwenye sinki lenye mapovu na nyingine zikimuonesha hadi sehemu zake muhimu.

Hizi ni picha zikionyesha Jacqueline Dustan akioga kwa kujiachia.

Katika kutaka kupata sababu ya mwanadada huyo kuziachia picha hizo ambazo Ijumaa imezipata kutoka kwa rafiki yake wa karibu (jina tunalihifadhi) ikidaiwa kuwa aliyempiga ni bwana wake, mwandishi wetu alimtafuta kupitia simu yake ya kiganjani na alipopatikana alisema: Cha ajabu kipi hapo, nilikuwa naoga kwa raha zangu nikamuita mtu akanifotoa, tatizo liko wapi?”

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online