Friday, November 14, 2014

Tazama Video ya gari Mupya kabisa la aina yake lililotengenezwa Afrika Mashariki.

Taarifa ikufikie kwamba Afrika Mashariki imeingia kwenye headline ya mapinduzi makubwa ya kiteknolojia kwa kutengeneza gari ya aina tofauti na zile tulizozoea kuzitumia.
Kwanini nayaita mapinduzi makubwa katika industry? Sababu ni kwamba tumezoea kutumia magari yanayotumia mafuta na baadhi yanayotumia gesi, mpya ni kwamba Uganda inatarajia kuzindua gari ya kwanza kutengenezwa nchini humo ambayo inatumia umeme hivi karibuni, ambayo imetengezwa kwa msaada wa Serikali ya Uganda.
Tazama video ya gari hiyo hapa.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online