Friday, November 14, 2014

News! Jengo la wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga Complex) lililopo jijini Dar linawaka moto muda huu.


Habari zilizotufikia hivi punde kutoka jijini Dar es salaam zinasema kuwa jengo la wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga Complex) lililopo jijini humo linawaka moto muda huu.

Tunaarifiwa kuwa juhudi za kuuzima zinaendelea.

Tutawaletea taarifa zaidi..

chanzo-Radione stereo


Wema Sepetu Releases Picha kali sana Baada ya kuzinguana na Jamaa, Zicheki Hapa kweli Kaumbika


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

MCHUNGAJI AFARIKI MARA MOJA BAADA YA KUJARUBU KUTEMBEA JUU YA MAJI.

 Mchungaji kutoka Nigeria, Frank Kabele akizama alipojaribu kutembea juu ya maji kama Yesu.

...Akiomba msaada kutoka kwa waumini wake bila mafanikio.

Mchungaji kutoka Nigeria, Frank Kabele (35) amesombwa na maji katika mto mmoja nchini hiyo na kufariki alipojaribu kutembea juu ya maji kama Yesu.

Frank Kabele aliwaambia waumini wake kuwa mtu mwenye imani anaweza kufanya miujiza yeyote ila tu uwe na imani.

Aliwaahidi wafuasi wake kuwa atatembea juu ya maji pindi tu atakapomaliza maombi yake.

Lakini mambo yalienda ndivyo sivyo baada ya mchungaji huyo kujaribu kutembea katika mto mkubwa, alididimia mtoni humo na ilikuwa vigumu kwa waumini wake kumsaidia kwani maji yalikuwa na nguvu nyingi na kufariki dunia.
Je alikosea nn toa maoni yako hapo chini

Wema Sepetu Releases Picha kali sana Baada ya kuzinguana na Jamaa, Zicheki Hapa kweli Kaumbika


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

SABABU INAYOMALIZA VOCHA HARAKA KWENYE SIMU YAKO HII HAPA....

Watumiaji wengi wa huduma ya simu za mkononi wamekuwa wakilalamikia wizi wa pesa unaofanywa na baadhi ya makampuni hayo, leo katika kikao cha Bunge Dodoma Serikali imesema inatambua kuhusu wizi unaofanywa na baadhi ya makampuni ya simu za mkononi na kutoa tamko namna ambavyo imejipanga kukabiliana na wizi wa aina hiyo.

Akitoa tamko hilo Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia January Makamba amesema Serikali itaanzisha kituo maalum cha kushughulikia malalamiko hayo CCC, kitakachokuwa kinasimamiwa na TCRA.
Akiuliza swali kuhusiana na jinsi Serikali ilivyojipanga kukabiliana na wizi huo Mbunge wa Konde Khatib Said Haji amesema; “… Wizi huu unaofanywa na makampuni ya simu si wizi mkubwa kama ule wa ESCROW.. ni wizi mdogo mdogo unaowaibia Watanzania elfu tano elfu tatu lakini kwa ujumla wake, Mpemba aliyeko Konde akiibiwa elfu tatu, Mnyamwezi wa Tabora elfu mbili, Ukizijumlisha ni mamilioni ya shilingi wanaibiwa Watanzania… Leo watu hao elfu tatu elfu mbili unawaambia wapeleke malalamiko yao, gharama hiyo umeikadiriaje hata mtu huyo akadai malalamiko ya elfu tatu..”

“.. Hivi serikali yenu makini imekuwa wapi muda wote mpaka kukiri kama Watanzania wamekuwa wakiibiwa na bila wenyewe kujijua?, na bado hamna hatua mlizozichukua, ni nani aliyeko nyuma ya pazia hili la kuibia Watanzania na ninyi mkaridhia ama ni yale yaliyosemwa kama CCM ina fund katika wizi huu..?”- Khatib Said Haji.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia January Makamba amesema; “…Napenda nikiri tatizo la wizi au dhuluma kwa wateja lipo na ndio lililopelekea tukaweka hizi kanuni ambazo zinaweka adhabu na hatua za kuchukua katika kuchukua katika kudhibiti wizi huo.. Licha ya utaratibu wa kawaida wa kulalamika katika makampuni ya simu, kwa sababu moja ya matakwa ya sheria ni kwamba kampuni za simu zinapaswa kuweka utaratibu wa kuhudumia watekja wake, lakini tumebaini kwamba utaratibu huo una matatizo, unaweza ukapiga simu muda mrefu isipokelewe, unaweza kuambiwa usubiri na wakati unasubiri kulalamika pia unakatwa..

Kwa hiyo Serikali inafahamu hilo, pamoja na hatua tulizozichukua ni kuweka ule mtambo wa kufuatilia mawasiliano ambao moja ya kazi yake sio kufuatilia tu mapato lakini ubora wa mawasiliano.. Kwa kutambua kuwa makampuni ya simu haya wakati mwingine yanachelewa wakati mwigine yanapuuza wateja, kituo hiki ambacho tunakianzisha namba zake zitasambazwa kila mtu atakuwa nayo, kwa hiyo huna haja kusafiri kufuatilia shilingi elfu mbili elfu tatu elfu tano. Kutakuwa na namba ambayo ni bure kupiga..”- January Makamba.

“ Kila utakapopiga kulalamika utapewa namba maalum ya lalamiko lako, na lisiposhughulikiwa hata kitengo cha kampuni ya simu kutoshughulikia lalamiko lako na yenyewe itakuwa sababu ya makampuni hayo kuadhibiwa..”- January Makamba.

BABY MADAHA; SIJAWAI KUTUMIA KINGA HATA SIKU MOJA.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Tazama Video ya gari Mupya kabisa la aina yake lililotengenezwa Afrika Mashariki.

Taarifa ikufikie kwamba Afrika Mashariki imeingia kwenye headline ya mapinduzi makubwa ya kiteknolojia kwa kutengeneza gari ya aina tofauti na zile tulizozoea kuzitumia.
Kwanini nayaita mapinduzi makubwa katika industry? Sababu ni kwamba tumezoea kutumia magari yanayotumia mafuta na baadhi yanayotumia gesi, mpya ni kwamba Uganda inatarajia kuzindua gari ya kwanza kutengenezwa nchini humo ambayo inatumia umeme hivi karibuni, ambayo imetengezwa kwa msaada wa Serikali ya Uganda.
Tazama video ya gari hiyo hapa.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

White Widow death riddle: Conflicting reports as to how the world's most wanted woman died.


A journalist has claimed Samantha Lewthwaite died a "slow and agonising" death as the hands of a Russian snipper

Reported dead: Samantha Lewthwaite

The alleged death of the terror suspect known as the White Widow remains a mystery.

Samantha Lewthwaite, 30, reportedly died a “slow and agonising death” at the hands of a Russian sniper.

The claim she was killed fighting alongside Ukrainian forces has been dismissed as propaganda for Russia.

But journalist Alexey Toporov, who backs rebels in eastern Ukraine, insisted: “She ended in a bad way.”

No image has been shown of the body of the wife of 7/7 bomber Germaine Lindsay.

Lewthwaite, dubbed the world’s most wanted woman, was reportedly killed two weeks ago by a Russian sniper after teaming up with the pro-Ukrainian government battalion Aidar.

Britain is seeking to verify shock claims that she was gunned down by pro-Moscow rebel forces, as reported by Regnum news agency in Moscow.

The journalist behind the story, Toporov, a supporter of the separatists, claimed: “It is said that her death was not quick - which was the right way to do it.”

PA Photo issued by Interpol of Samantha Lewthwaite
Killed: Samantha Lewthwaite


His words implied that the 30 year old jihadist suffered a lingering death after being shot by “a young but already experienced sniper volunteer from Russia”.

The journalist, Regnum News Agency and rebels forces in eastern Ukraine have failed so far to provide any evidence for her presence in the country, or of her death.

No pictures have been released of her body, nor any personal papers indicating she was in Ukraine.

Nor is it clear how the rebels knew her identity.

Toporov claimed on a social media site that Lewthwaite had come to Ukraine under a false name and was deployed as a sniper in Donetsk region.

He added: “The White Widow ended in a bad way. To be more exact, she ended up killing people.

“She was a sniper in one of the (Ukrainian) punishment battalions, supposedly Aidar. She killed many of our guys.

“He did not even care for the $5 million USD promised by Interpol for the head of this viper. “

The journalist, a former editor from Kazan, capital of the Russian republic of Tatarstan, has campaigned against radical Muslims.
SOURCE:MIRROR


Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

DUU!!! AUNT, ODAMA WATIMULIWA BONGO MOVIE.

 UPEPO mbaya unaendelea kuvuma ndani ya Klabu ya Bongo Movie Unity! Safari hii umewakumba mastaa wakubwa klabuni hapo, Devotha Mbaga, Aunt Ezekiel na Jennifer Kyaka ‘Odama’ ambao wanadaiwa kutimuliwa kundini kwa sababu ya kujiweka karibu na mwenyekiti wa klabu hiyo aliyejiuzulu, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’.

Mwanadada anaye tamba katika tasnia ya filamu bongo, Aunt Ezekiel

Kwa mujibu wa chanzo makini kilichozama katika kikao kilichofanyika juzikati, uongozi ambao ulibaki madarakani kundini baada ya Steve kujiuzulu, ulifanya tathmini upya ya memba waliobaki kisha kuwachuja hadi kubaki na wasanii 20 pekee wenye sifa.

“Wamewaengua baadhi ya wasanii ambao wameona hawana sifa ya kubaki kundini, miongoni mwao ni Devotha, Aunt na Odama. Wamesema wanahitaji mastaa wenye msimamo siyo kujipendekeza upande wa Steve, siku si nyingi watayaanika majina ya wenye sifa za kubaki kundini,” kilisema chanzo hicho.

Staa wa filamu bongo Devota Mbaga.

Chanzo hicho kilizidi kumwaga ‘ubuyu’ kuwa, wasanii walioenguliwa ni wanachama hai lakini si wanachama wenye msimamo na baadhi yao wameonesha udhaifu wa kuwa karibu na Steve Nyerere ambaye sasa anafanya harakati zake peke yake.

Baada ya habari hizo kutua katika rada ya Ijumaa, mapaparazi wetu waliwaendea hewani mastaa hao wakubwa waliodaiwa kufukuzwa, mambo yalikuwa hivi:

Mkali wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka 'Odama'.

Devotha: Mimi ndiyo kwanza nakusikia wewe siku zote nipo nyumbani sijui hata habari za kikao hicho na sielewi wameniengua vipi wakati mimi ni mwanachama hai na ni miongoni mwa waanzilishi toka tulipokuwa watu saba, lakini kama wameamua hivyo sawa kwani siyo kwamba ukitoka ndiyo mwisho wa maisha.

Odama: Hakuna kitu kama hicho, wanaoenguliwa ni viongozi siyo wanachama, watanienguaje bila kunipa taarifa? Kwanza ndiyo nasikia sijui chochote ndiyo napata taarifa kutoka kwako.
Kwa upande wa Aunt Ezekiel, simu yake iliita bila kupokelewa.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

LULU. SIPENDI KUWA KATIKA UHUSIANO WA MAPENZI NA MASHAROBARO ILA NAZIMIKA NA WATU WAZIMA WALIONIZIDI UMRI.

Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na masharobaro akidai kuwa siku zote ni pasua kichwa ila anazimikia watu wazima waliomzidi sana umri.

Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akipozi..

Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Lulu alisema akiwa na mwanaume anapenda ampite angalau miaka kumi na kuendelea kwa kuwa anakuwa ni mtu mzima na muelewa siyo masharobaro kila wakati wanafikiria jinsi gani wataonekana smati na si kufikiria maisha.

“Masharobaro hawana nafasi kwangu, kwa sababu hawafikirii maisha kabisa, hata mwanaume atakayenioa nafikiri atanipita zaidi ya miaka kumi, hapo ndiyo itakuwa sawa tofauti na hivyo sitaki masharobaro,” alisema Lulu.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

DIAMOND NA ZARI; GUMZO KUBWA AIRPORT WALIPOSINDIKIZANA WAKIWA KATIKA MAHABA MAZITO, PICHA ZOTE HIZI...


 BAADA ya kula bata za kutosha Bongo, wakati wakisindikizana kimahaba, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mrembo mkali kutoka Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady, wamezua gumzo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar, Ijumaa lina mchapo kamili.

Mrembo mkali kutoka Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady (mwenye gauni jekundu) akishuka kutoka gari la ‘Diamond Platnumz’.

HABARI KAMILI
Tukio hilo lililoshuhudiwa na wanahabari wetu lilijiri mishale ya mchana, Jumanne iliyopita katika maegesho ya airport (uwanja wa ndege) ambapo Diamond alikuwa akimsindikiza Zari aliyekuwa akitimua Bongo baada ya kufanya yao kwa siku kadhaa.

KABLA YA TUKIO
Awali kabla ya tukio hilo, gazeti hili lilipokea ‘ubuyu’ kutoka kwa chanzo chake cha kuaminika kwamba, wawili hao walikuwa wakijiandaa katika hoteli waliyokuwa kwa siku kadhaa iliyopo kwenye Ufukwe wa Bahari ya Hindi, tayari kuelekea uwanja wa ndege.

Zari au The Boss Lady akimwelekeza kitu mpambe wa 'Diomond'.

“Ijumaa acheni kulaza damu, kwa taarifa yenu Diamond ndiyo anajiandaa kumpeleka Zari airport wahini pale mpate tukio kamili ili kumaliza ubishi kuwa kweli walikuwa wote Bongo,” kilisema chanzo hicho kikiomba hifadhi ya jina gazetini.

IJUMAA MZIGONI
Baada ya kunyetishiwa ishu hiyo, wanahabari wetu walitia gia kwenye ‘motokaa’ ambapo dakika kadhaa baadaye walikuwa wametega satelaiti zao uwanjani hapo tayari kwa kunasa tukio.

Gari jeusi aina ya BMW X6 ya mkali 'Diamond' ikiendeshwa na mpambe wake aliyejulikana kwa jina la Q-Boy huku mwenyewe (Diamond) siti ya nyuma.

BMW X6 LATOKEA
Wakati wanahabari wetu wakiwa wanakaribia kukata tamaa, ghafla lilitokea gari jeusi aina ya BMW X6 ambalo tofauti na magari mengine, badala ya namba za usajili, lenyewe lilikuwa na maandishi yaliyosomeka kwa herufi kubwa ‘PLATNUMZ’ kisha likapaki kwenye eneo la maegesho uwanjani hapo.
Gari hilo lilikuwa likiendeshwa na kijana mmoja wa Diamond aliyejulikana kwa jina la Q-Boy na pembeni mwake kwenye siti ya abiria alikuwepo mpambe mwingine wa msanii huyo ambaye jina halikupatikana.

DIAMOND AJIFUNGIA
Wakiwa siti ya nyuma, wakati Zari anashuka, Diamond alijifungia kwenye gari ili kuwakwepa mapaparazi baada ya kuwashtukia kuwa walikuwa wakimsubiri.

Zari au The Boss Lady akisindikizwa na mpambe wa 'Diamond'.

WAZUA GUMZO
Wawili hao walizua gumzo uwanjani hapo ambapo baadhi ya watu wakiwemo Wazungu walikuwa wakiwashangaa huku Wabongo wakitamani Diamond atoke kwenye gari amtambulishe Zari kama ndiye mrithi wa Wema au la!

“Huyu Diamond naye balaa. Kampata wapi mtoto mrembo kiasi hiki? Hakyanani na mimi bora niwe msanii nitafaidi. Mtoto kaumbika hasa,” alisikika mmoja wa madereva teksi huku wenzake wakimkatisha tamaa kuwa hawezi kuwa msanii. Zari alishuka na yule mpambe wa Diamond na kuambatana hadi sehemu ya kukaguliwa ili akapande ndege.

Zari, 'The Boss Lady' akilonga jambo na paparazi wa gazeti la Ijumaa.

IJUMAA LAMBANA ZARI
Kabla ya kufikia sehemu hiyo, wanahabari wetu walibahatika kumfotoa picha za kutosha Zari kisha kumfuata na kumuuliza alikuwa na ishu gani na Diamond ambaye alikuwa naye hotelini Bongo kwa takriban siku tano.

Hata hivyo, Zari alishindwa kujibu na kuishia kusema kuwa hana maoni.“No comment,” alisema Zari na hata alipoombwa kufafanuzi kidogo aligoma.

DIAMOND AFUNGUKA
Baada ya tukio hilo, wanahabari wetu walimtafuta Diamond kwa njia ya simu ili azungumzie kwa kina juu ya uwepo wa Zari Bongo na tuhuma za kujihusisha naye kwenye mapenzi ambapo Diamond alifunguka:

“Niliwaona airport mkimpiga picha na gari langu na mkaongea naye.
“Kweli ninyi ni noma sana, lakini nadhani mliandika hivi karibuni kuwa mimi nimeachwa na Wema (Sepetu).

“Ukweli hakuna mwanaume anayeweza kujitoa kwa demu wake hasa kumpatia zawadi ya gari kama niliyotoa kwenye bethidei ya Wema halafu baadaye usikie kuna mwanaume mwingine katoa zaidi na ukaendelea kufurahia.

ZARI NI RAFIKI TU JAMANI!
“Sitaki kuongea mengi ila Zari naomba atambulike kama rafiki yangu tu jamani.”

YATOKANAYO
Hivi karibuni Diamond alimwagana na Wema ambapo siku chache baadaye habari zilivuja kwamba Zari ambaye ni msanii wa kike tajiri Afrika Mashariki ndiye mwenye uwezo wa kuziba pengo hilo mara tu baada kuonekana na jamaa huyo.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

AIBU! PICHA ZA JACK DUSTAN AKIOGA BAFUNI BAADA YA KULEWA ZAVUJISHWA ; ZICHEKI HAPA.


Msanii wa filamu ambaye sasa amejichimbia Dubai akisaka maisha, Jacqueline Dustan amevujisha picha zinazomuonesha akioga bafuni huku akionekana yuko bwii,  jambo ambalo ni kinyume na maadili.

Msanii wa filamu bongo, Jacqueline Dustan akioga huku akinywa.

Picha hizo zinamuonesha msanii huyo akiwa kwenye sinki lenye mapovu na nyingine zikimuonesha hadi sehemu zake muhimu.

Hizi ni picha zikionyesha Jacqueline Dustan akioga kwa kujiachia.

Katika kutaka kupata sababu ya mwanadada huyo kuziachia picha hizo ambazo Ijumaa imezipata kutoka kwa rafiki yake wa karibu (jina tunalihifadhi) ikidaiwa kuwa aliyempiga ni bwana wake, mwandishi wetu alimtafuta kupitia simu yake ya kiganjani na alipopatikana alisema: Cha ajabu kipi hapo, nilikuwa naoga kwa raha zangu nikamuita mtu akanifotoa, tatizo liko wapi?”

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Thursday, November 13, 2014

Baadhi ya picha za ajali ya basi leo eneo la Mwanga.

 Habari zilizotufikia kutoka Mwanga Mkoani Kilimanjaro zinasema kuna ajali mbaya imetokea maeneo ya Mwanga wakati basi la kampuni ya Mbazi Travellers lililokua likitokea Arusha kuelekea Dar es salaam kupinduka.

Ajali IITaarifa kutoka kwa ripota wangu wa nguvu zinasema ajali hiyo ilitokea baada ya basi hilo kujaribu kulipita basi jingine huku kukiwa hakuna mtu aliyepoteza maisha lakini inasemekana kuna idadi kubwa ya majeruhi ambao walikimbizwa katika hospitali ya KCMC Moshi.


Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

UMEIPATA HII YA PENNY NA WEMA KUMMKEJELI DIAMOND? HII HAPA!


 Mastaa wawili hapa Bongo ambao huko nyuma walikuwa katika bifu kali, Wema Sepetu na Penny Mwingilwa wameonekana kumkejeli aliyekuwa mpenzi wao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa kutumia neno Project.

Staa wa bongo Penny Mwingilwa,  'penny'.

Mastaa hao walionekana wameweka picha yao wakiwa pamoja wamejilaza chini nyumbani kwa Wema  na kuandika kuwa wakiwa katika Project yao neno ambalo lilitumiwa na Diamond akiwa na mwanadada Zarina Hassan  ‘Boss lady’ anayedaiwa kutoka kimapenzi na mwanamuziki huyo.

Staa wa filamu bongo,  Wema sepetu ' Madam'.

Gazeti hili lilifanikiwa kuzungumza na Penny kwa njia ya simu ambapo alisema kuwa siku hiyo walikutana na kuzungumza na rafiki yake huyo wa muda mrefu na mambo ya project yalitokea tu.
“Sisi tulimisiana sana na tulikutana na kuzungumza mambo mengi ya zamani, hiyo project iliingia tu,” alisema Penny.

BAAMEDI NA MME WA MISS, WAPEWA KICHAPO HEAVY BAADA YA KUBAMBWA WAKIFANYA MAMBO KAMA MME NA MKE.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Roboti yarudisha picha ya kwanza duniani baada ya kutua kwenye kimondo angani; Icheki hapa.

Baada ya safari ya miaka kumi katika anga za juu, chombo cha anga za mbali cha Ulaya kimevuka kilomita chache za mwisho kutoka ardhini kutekeleza kile kitakachokuwa kifaa cha kwanza kuwahi kutengenezwa na binadamu kutua kwenye kimondo.

Roboti hiyo iliyotengezwa Ulaya kwa jina Philae, imefanikiwa kutua katika kimondo likiwa ni jambo la kihistoria kuwahi kushuhudiwa.

Aidha roboti hiyo ilitua katika Kimondo kinachojulikana kama 67P/Churyumov-Gerasimenko saa kumi jioni saa za Ulaya.

Kulikuwa na vifijo na nderemo pamoja na wanasayansi kupigana pambaja katika chumba ambako shughuli hiyo ilikuwa inadhibitiwa mjini Darmtadt, Ujerumani baada ya ishara kuonyesha kuwa roboti hiyo ilikuwa imetua kwenye kimondo.

Ishara ya kuonyesha kuwa roboti hiyo ilifanikiwa kutua ulikuwa mwanga kutoka kwenye roboti hiyo.

"Hii ni hatua kubwa sana katika historia ya binadamu kulingana na wanasayansi hao.
SOURCE; BBC/SWAHILI

Huu si ushabiki ni Ngono zembe; Yaani wanafanya Hivi eti kisa Gor Mahia Kushinda KPL.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Kim Kardashian Is The Latest Celebrity To Have Nud3 Photos Leak Online.


 It comes as no news to many that Mrs. Kim Kardashian West is the latest celebrity to have her nud3 photos leak online especially when her entire body in a s3xual act has been fully explored by many during a leaked s3x tape with ex-boyfriend Ray J and I believe but for the sheer fact that you want to refresh your memory of what is beneath her skirt, you wouldn’t be here anyway, lol.

Well, her leaked photos are wildly circulating all over social media and it is quite unknown who could be behind this.


Just Google and you may find one. Good luck.

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Download na Sikiliza mp3 ya wimbo mpya wa Ney Wa Mitego- Akadumba.

WIMBO MPYA WA NAY WA MITEGO 'AKADUMBA'

Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

BAAMEDI NA MME WA MISS, WAPEWA KICHAPO HEAVY BAADA YA KUBAMBWA WAKIFANYA MAMBO KAMA MME NA MKE.


MREMBO Mariam Mohamed ambaye alishiriki na kushika nafasi ya pili ya Shindano la Miss Mara mwaka 2003, wiki iliyopita alizusha vurumai kubwa kwa kuzichapa kavukavu na mumewe usiku baada ya kumkuta akiwa na baamed ndani ya nyumba moja iliyopo Njiro eneo linalojulikana kama Nguzo Moja jijini Arusha, Amani lina mkanda kamili.

Mrembo Mariam Mohamed akizichapa kavukavu na mumewe, Rasha Idrisa (38).

Licha ya kuzichapa na mumewe huyo ambaye ni mfanyabiashara aitwaye Rasha Idrisa (38), mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, baamed huyo aitwaye Prisila, naye alipata kipigo kikali toka kwa Miss huyo aliyekuwa akisaidiana kutoa dozi na mpambe wake.

Prissila anayefanya kazi kwenye baa moja iliyopo maeneo ya Njiro (jina linahifadhiwa) alijaribu kujitetea kuwa hakufahamu kama mpenziwe huyo alikuwa mume wa mtu, alishambuliwa sehemu mbalimbali za mwili wake, ikiwa ni pamoja na kukabwa shingo, hali iliyomuacha hoi na kuapa kutoendelea tena kuiba vya watu.

Operesheni Fichuo Maovu (OFM) ya Global Publishers ilitonywa mapema juu ya kuwepo kwa mpango wa kumfumania Rasha, anayedaiwa kuwa alisafiri kibiashara akimuaga mkewe kuelekea Zambia, tokea Agosti mwaka huu.

Mrembo Mariam Mohamed akizidi kumtaiti mumewe.

Chanzo chetu kinadai kuwa kitu kilichompa mashaka Mariam ni wakati alipokuwa akiwasiliana kwa simu na mumewe, kwani miito yake ilionyesha kuwa mpigiwaji alikuwa nchini. Baada ya kuona hivyo akaanza udadisi wa kujua ni wapi hasa alipo mumewe.

Siku chache zilizopita, chanzo hicho kilisema msichana huyo alipata taarifa kutoka kwa marafiki zake waliopo Arusha, juu ya kuonekana kwa mumewe akila maisha na msichana mmoja mhudumu wa baa, na kwamba alikuwa akitanua naye kila siku na mara nyingi walilala pamoja.

“Mariam amepanga kesho ndiyo aende akawafumanie, kama ni pale baa au wanakoendaga, kwa hiyo nyinyi mnaweza kwenda pale ili mjue kitakachoendelea,” chanzo chetu kiliwasiliana na OFM ambao walifika katika baa anayofanya kazi Prisila bila yeye kufahamu na baadaye Mariam akiwa na mpambe wake nao waliwasili.


Baamedi, Prisila akipokea kichapo kutoka kwa rafiki wa Mariam Mohamed kwa kula ujana na mume wa mtu.

Akiwa hatambui kama anafuatiliwa, Prisila pamoja na rafiki yake mmoja ambaye hakufahamika jina lake, waliondoka eneo hilo na kwenda kupanda daladala lililokuwa likielekea Njiro na kuteremka eneo la Nguzo moja. Mariam naye aliondoka na kuchukua usafiri binafsi kwa ajili ya kuwafuatilia wasichana hao huku nyuma yao wakiwa OFM.

Prisila aliingia katika nyumba moja iliyokuwa na geti jeusi majira ya saa tatu na muda mfupi baadaye Mariam na mpambe wake nao waliwasili na kuukuta mlango ukiwa wazi.Baada ya kuingia ndani, waliwakuta wawili hao wakiwa katika mkao wa kimahaba na mara moja Mariam akiwa na fimbo, alianza kumchapa mumewe aliyejaribu kumsihi kwa kupiga magoti ili walimalize jambo hilo kwa mazungumzo. Wakati mume akipigwa na mke, mpambe alikuwa akimpa kichapo cha maana Prisila.

Mume wa mtu na baamedi kwa pamoja wakiwajibishwa kwa kuvunja amri ya sita.

Rasha hata hivyo, baadaye alifanikiwa kumnyang’anya fimbo mkewe huyo na kuanza kutoa vitisho kwa OFM waliokuwa wakipiga picha za tukio hilo. Akizungumza wakati wa sekeseke hilo, Mariam alisema amekuwa akimfumania mumewe mara kwa mara akiwa na wanawake tofauti na mara zote huomba msamaha.

Ingawa hawajafunga ndoa, Mariam alisema alianza kuishi na mwanaume huyo tangu mwaka 2004 na kwamba maisha yao yametawaliwa na migogoro kutokana na ukware wa mumewe.
Kwa upande wake, Rasha alisema yupo tayari kuachana na mkewe ili awe huru na maisha yake.



Wema Sepetu Releases New Hot Photos With Strong Captions Baada ya kuzinguana na Jamaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU 

VIDEO YA TUKIO BOFYA HAPA

habari kamili :: read more...

Huu si ushabiki ni Ngono zembe; Yaani wanafanya Hivi eti kisa Gor Mahia Kushinda KPL.

Photos of Gor Mahia Fans have sex on top Of cars after Winning the KPL.


KUONA VIDEO YA KILICHOENDELEA BOFYA HAPA


Wema Sepetu Releases Picha kali sana Baada ya kuzinguana na Jamaa, Zicheki Hapa kweli Kaumbika


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

BABY MADAHA; SIJAWAI KUTUMIA KINGA HATA SIKU MOJA.

BAADA ya hivi karibuni Msanii wa Filamu na Muziki Bongo, Baby Madaha kusema ameamua kuwapanga wanaume, hivi sasa ameibuka na jipya na kudai kwamba huwa hatumii kinga ‘kondom’ hata siku moja.

Msanii wa Filamu na Muziki Bongo, Baby Madaha

Akipiga stori na paparazi wetu, Baby Madaha alisema kabla hajaanguka penzini na mwanaume lazima akapime kwanza Ukimwi na baada ya hapo ndipo mambo mengine yanaendelea hivyo akishahakikisha huyo mwanaume ni mzima huwa ahangaiki kutumia kinga.

“Japokuwa nawapanga wanaume lakini najali sana afya yangu yaani kila baada ya miezi mitatu huwa naenda kupima kabla sijaingia naye kwenye uhusiano, nikikuta yuko fresh tunaendelea na mapenzi yetu na huwa situmii kinga kwa sababu nakuwa nimeshajua afya yake.

Ikitokea amenizingua nampiga chini namchukua mwingine naenda kumpima hivyohivyo maisha yanasonga mbele,” alisema Baby Madaha.

Wema Sepetu Releases Picha kali sana Baada ya kuzinguana na Jamaa, Zicheki Hapa kweli Kaumbika


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

UROHO WA PESA WAMFANYA MUME AMKATA NYETI MKEWE AZIUZE MIL. 5.


Unyama wa kutisha kisa utajiri! Mwanamke mwenye umri wa miaka 60 (pichani jina linahifadhiwa), anadai kukatwa sehemu zake za siri (nyeti) na mumewe aliyemtaja kwa jina moja la Mashaka ili akauze Sh. milioni tano za Kitanzania akauze kwa mganga wa kienyeji ili apate mtaji.

Mwanamke mwenye umri wa miaka 60 aliyekatwa sehemu zake za siri (nyeti) na mumewe anayefahamika kwa jina moja la Mashaka.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo baya, mama huyo amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora, Kitete ambapo anadaiwa kukutwa na kisanga hicho hivi karibuni.
Mwanamke huyo anadai kujeruhiwa na mumewe usiku wakati wakiwa wamelala nyumbani kwao Mtaa wa Kazaroho Kata ya Mbugani, Manispaa ya Tabora.

Akizungumza na mwanahabari wetu kwa tabu akiwa wodini kwenye hospitali hiyo akiwa na maumivu makali, mama huyo alikuwa na haya ya kusema:
“Siku ya tukio, nakumbuka mume wangu alikwenda kutembea, aliporejea nyumbani alifuatana na mtu mmoja ambaye ni mganga wa kienyeji.

“Walipofika nyumbani aliniambia yupo na mganga wa kienyeji ambaye alikuwa akitafuta viungo vya sehemu za siri za mwanamke akiwa na fedha milioni tano.
“Mimi nilikataa baada ya kunishawishi lakini usiku nilipokuwa nimelala, mume wangu alinikata huku akiniamuru nisipige kelele kwa kuwa alikuwa ameshapatana bei na kwamba ulikuwa ni utajiri mkubwa.”

Alisema baada ya tukio hilo alijikuta amelazwa hospitalini hapo hivyo hajui kama mumewe huyo alishakamatwa au la.
Kwa mujibu wa majirani zao, Mtaa wa Kazaroho, lilikuwa ni tukio la kutisha kwani wasamaria wema ndiyo waliomkimbiza mama huyo hospitalini ili kuokoa uhai wake.

Majirani hao walimtaka Waziri wa Maendeleo ya Wanawake Jinsia na Watoto, Sophia Simba kufanya kazi ya ziada ili sheria ichukue mkondo wake ili kupunguza vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto vinavyoshamiri kwa kasi nchini.

Kwa mujibu wa mmoja wa madaktari hospitalini hapo ambaye hakutaka kutajwa jina kwa kuwa si msemaji, mama huyo alifikishwa hospitalini hapo akiwa katika hali mbaya lakini baadaye alipata nafuu hivyo anaendelea vizuri na matibabu.

Jitihada za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Suzane Kaganda aliyehamishiwa mkoani hapa hivi karibuni hazikuzaa matunda hivyo zinaendelea.


PICHA ZA MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKIIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Wednesday, November 12, 2014

PICHA ZA MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKIIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA.

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata Ikulu mjini Lusaka Zambia jana Novemba 11,2014.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal wa kwanza (kushoto) akiwa na Rais Mstaafu wa Zambia Mhe. Rupia Banda, Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta, Rais wa Msumbiji Mhe. Ermando Guebuza na Kaimu Rais wa Zambia Dkt. Guy Scott kwenye Misa Maalum ya kuaga mwili wa Rais Michael Sata iliyofanyika jana Novemba 11,2014 kwenye Uwanja wa Taifa mjini Lusaka Zambia.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Tawala cha PF Mhe. A.B. Chikwanda kwenye Viwanja vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa wakati mazishi ya Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata yaliyofanyika jana Novemba 11,2014 kwenye uwanja wa Taifa mjini Lusaka Zambia.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimfariji Rais mstaafu wa kwanza Zambia Dkt. Keneth Kaunda mara baada ya kumalizika maziko ya Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata kwenye Viwanja vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa yaliyofanyika jana Novemba 11,2014 mjini Lusaka Zambia.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimfariji Rais mstaafu wa Zambia Mhe. Ruphia Banda baada ya kumalizika mazishi ya Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata kwenye Viwanja vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa yaliyofanyika jana Novemba 11,2014. katikati Rais mstaafu wa kwanza wa Zambia Dkt. Keneth Kaunda.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akisaini kitabu cha maombolezo ya Rais wa Zambia Marehemu Michael Chilufya Sata kwenye Viwanja vya Ubalozini katika Makaburi ya Viongozi wa Kitaifa yaliyofanyika jana Novemba 11,2014.

Wema Sepetu Releases Picha kali sana Baada ya kuzinguana na Jamaa, Zicheki Hapa kweli Kaumbika


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Wanted British 'White Widow' terrorist Samantha Lewthwaite 'shot dead by Russian sniper in Ukraine'.


A British female terrorist nicknamed the 'White Widow' has reportedly been shot and killed in Ukraine.

Samantha Lewthwaite, 30, was gunned down by a Russian sniper two weeks ago, according to Moscow news agency Regnum.

One of Britain's most wanted people, she was reported last month as fighting for the Islamic State's terrorists in Syria.

The extraordinary Russian claim has not yet been formally verified.

White Widow's life in pictures:

Samantha Lewthwaite in 1991 VIEW GALLERY

Lewthwaite was married to 7/7 suicide bomber Germaine Lindsay, 19, a Jamaican-born Yorkshireman, and allegedly left Britain in 2009 before being linked to atrocities in Africa.

"One of the world's most wanted terrorists Samantha Lewthwaite who fought as part of a Ukrainian battalion has been killed by a volunteer sniper," said the news agency report.

"According to our information, the White Widow fought on the side of Ukrainian volunteer battalion Aidar as a sniper.

"She was killed by "a volunteer sniper who came to fight at the Lugansk front from Russia".

The report continued: "The Russian sniper who killed the British terrorist now has a price of nearly one million dollars on his head from Ukrainian special services."

The extraordinary unconfirmed claim came amid a welter of propaganda from Moscow and Kiev over the Ukrainian crisis.Reports last month claimed Lewthwaite - a former soldier's daughter - joined Islamic State earlier this year and became one of the most powerful women in the network.

Born in Northern Ireland and schooled in Aylesbury, she was not previously linked to Ukraine.She was responsible for training a special team of female suicide bombers in Syria, it was alleged.

White Widow's victims:

US freezes assets of three Kenyans linked to Al-Shabaab Terror group VIEW GALLERY

Lewthwaite allegedly trained and mentored British converts who volunteered to fight for the IS.The 7/7 attack on the London transport network on 7 July 2005 killed 52 people.

Lewthwaite had been viewed as the innocent Home Counties' wife of a suicide bomber but was later seen as "the world's most dangerous female terrorist".

In June 2012 two men and a white woman - believed to be her - wearing Islamic dress killed three and injured 25 at a beer garden in Mombasa after throwing grenades at foreigners watching England play Italy at Euro 2012.

She was also linked to another grenade attack which killed security guards in an upmarket restaurant.
SOURCE: MIRROR

Wema Sepetu Releases Picha kali sana Baada ya kuzinguana na Jamaa, Zicheki Hapa kweli Kaumbika



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

MENINA:KAMWE SIJATOA MIMBA

Mwanamuziki Hot Sexy hapa Bongo, Meninah Atick.

Mwanamuziki Hot Sexy hapa Bongo, Meninah Atick ameifungukia ishu ya kuchoropoa mimba ya msanii Nasibu Abdul ‘Diamond’ na kusema hajawahi kubeba mimba ya staa huyo na wala katika maisha yake hajawahi kufanya kitendo hicho.

“Jamani mimi ni mdogo, kwanza kwa nini watu wanapenda kunibebesha vitu vikubwa, mimi sijawahi kubeba wala kuchoropoa mimba katika maisha yangu,” alisema msichana huyo.

Meninah alienda mbele zaidi na kusema maneno hayo yanaweza kuwapandisha hasira wapenzi wa Diamond na kumjengea nao chuki, wakati ukweli ni kwamba hajawahi kutoka na msanii huyo mwenye historia ya kutoka na wasichana wengi.

UNAAMBIWA KWA SASA DIAMOND NA ZARI WAPO KWENYE MAHABA MAZITO.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...

Suspected bomber dies in Niger college.

A suspected female suicide bomber on Wednesday detonated a bomb hidden in her body at the entrance of a library at the Federal College of Education, Kontagora, at 12.30pm.

The suspected bomber was burnt beyond recognition, while a student was seriously wounded.

sponsored post

The Provost of the college, Dr. Nathaniel Odediran, confirmed the incident.

The scene of the incident has been cordoned off by the military.

Wema Sepetu Releases Picha kali sana Baada ya kuzinguana na Jamaa, Zicheki Hapa kweli Kaumbika


UNAAMBIWA KWA SASA DIAMOND NA ZARI WAPO KWENYE MAHABA MAZITO.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

habari kamili :: read more...
 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top