Monday, October 6, 2014

TOT NA WAKALI WA HIP HOP WAPAGAWISHA MASHABIKI DARLIVE.


Mashabiki wakiserebuka.

H. Baba akiwapagawisha mashabiki.

H. Baba akiimba katika msitu wa mashabiki.

Meneja wa H. Baba aitwaye Dk Fadhil, akimmwagia pesa H. Baba.

Roma Mkatoliki akikamua.

…Akipagawisha mashabiki.

Mashabiki wenye mzuka.

Roma akiwapelekesha puta mashabiki.

Juma Nature akifanya yake.

…Akipeana ‘Hi’ na mashabiki wake.

JB akikamua.

Juma Nature na JB wakikamua.

UKUMBI wa maraha wa Dar Live ulioko Mbagala-Zakheem jijini Dar es Salaam jana ulifurika mashabiki wa muziki ambao uliporomoshwa na wasanii mahiri ambao ni Juma Nature, Roma Mkatoliki, H. Baba na mkewe H. Mama, na bendi ya taarab ya TOT.



HAUSIGERI ANASWA AKIJIUZA SINZA; MWENYEWE ASEMA ETI UGUMU WA MAISHA.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top