Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond'.
Baada ya wacheza shoo wake kukamatwa, hatimaye Diamond naye
ajisalimisha Kituo cha Polisi cha Oysterbay, ahojiwa kwa saa kadhaa
kisha kuachiwa kwa dhamana baada ya kukabidhi sare za JWTZ kituoni
hapo. Kwa mujibu wa chanzo chetu, JWTZ wamezichukua sare zote za wasanii
hao kwa ajili ya uchunguzi zaidi kabla ya kuamua kuchukua hatua zaidi
za kisheria dhidi yao.Diamond aliongozana kituoni hapo na promota wa wasanii, Chief Kiumbe.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment