
Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa Mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (katikati) akionyesha cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014 kwa wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni Miss Tanzania, Sitti Mtemvu.

Cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.

Hashim Lundenga akiongea jambo kwa wanahabari.

Hashim Lundenga akionyesha baadhi ya hati mbalimbali za washiriki wa Miss Tanzania mwaka huu.

Afisa masoko wa Sahara, Joan John akimpatia King'amuzi cha kampuni hiyo kama zawadi kwa mshindi wa Miss Tanzania wa kwanza hadi wa tatu.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment