
Mwanamke huyo Maria Butziki (33) mama wa watoto wawili anauita uamuzi huo kuwa ni perfect solution ya tatizo lililokuwa linamtatiza la kushindwa kumuacha yeyote kati yao sababu anawapenda wote. people might think it's weird but I love both men and couldn't choose between them, alisema Maria katika mahojiano.
Cha kushangaza zaidi ni kuwa wanaume wote wawili wamekubaliana na uamuzi huo na wanaishi kwa furaha kama familia moja pamoja na watoto wawili wa Maria. Maria aliwahi kuachana na mumewe Paul na kuanzisha uhusiano na Peter kabla hajagundua kuwa moyo wake hauwezi kumsahau mumewe na wakati huo huo hawezi kumuacha Peter.
Upande wa mumewe Paul yeye kamsifia mume mwenza Peter is a great guy. When Maria first had the affair with him I was just heartbroken. But as I got to know him, I realised we have so much in common. We both adore fishing, and he's like a surrogate dad to the kids
Upande wa Peter naye amesema anaelewana vizuri na mume wa mpenzi wake na wala haoni wivu kushare naye mpenzi We all get on so well. It doesn't feel as if I'm Âsharing Maria. There's no jealousy it feels as if we area team.
BINTI ANAYEDAI KUBAKWA NA MUME WA FLORA MBASHA AIELEZA MAHAKAMANI JINSI ALIVYOBAKWA.
Pamoja na kuwa wana mahusiano ya kimapenzi lakini Maria amesema huwa hajichanganyi nao chumba kimoja, boyfriend hulala kwenye kochi wakati mume ana chumba chake na Maria hulala na mtoto wake mkubwa wa kike."The three of us never share a bed. Although I have a sexual relationship with each man, that side is kept very private"Alisema Maria.
Najua unaweza kuwa unajiulizaja watatu hawa wanautaratibu upi katika swala la kushiriki tendo la ndoa, Maria amesema mmoja kati yao anapokuwa ametoka basi aliyebaki ndio anapata nafasi ya kufanya naye mapenzi lakini hawajawahi kuzungumza kwa pamoja kuhusu swala hilo aliloliita
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment